Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mahakama ya Rufaa Tanzania wamekuwa wakijinasibisha kuwa wanatumia kanuni ya FIFO (First In and First Out) kushughulikia mashauri ya madai mahakamani jambo ambalo si kweli. Nina madai ya rufaa...
3 Reactions
9 Replies
387 Views
1. Majuzi nilipata msiba wa Kaka yangu hapo Muhimbili basi akapelekwa Mochwari. 2. Siku ya kutoa maiti kwa ajili ya ibada na Maziko (mhudumu anataka TSH 200,000) mbali na zile gharama ambazo...
23 Reactions
99 Replies
8K Views
Behewa namba 14 kwenye treni ya Mwendokasi halina hewa. Kwa mujibu wa mhudumu, tangu asubuhi, leo Oktoba 3, 2025 behewa hili limepata hitilafu na halijatengenezwa hadi sasa na hawajui...
9 Reactions
14 Replies
758 Views
DAWASA sijui kazi yao nini, watu tulitegemea kipindi hiki cha uchaguzi angalau wangetudanganya na kutoa maji lakini wapi kuanzia awamu ya Mkapa, Kikwete maji ni shida sana angalau kipindi cha...
0 Reactions
13 Replies
496 Views
Hali ya upatikanaji wa Maji kwa sasa kwa Mji wa Geita ni asilimia 75 kwa Wakazi wasiopungua 360,000. Mji wa Geita ni moja ya miji ambayo inakuwa kwa kasi hasa kwa shughuli za kiuchumi na...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Hii ni hospitali binafsi iko opposite na Mount Meru-Arusha, kwanza kukaa mkabala na mount Meru ni kimkakati kupata wateja. Haya mahospitali hayana madaktari walioajiriwa wanategemea madaktari wa...
1 Reactions
5 Replies
381 Views
Hivi TUGHE hamzioni barua za vitisho toka kwa waajiri kuwalazimisha watumishi na wanafunzi kuhudhuria mikutano ya kampeni ya mgombea wa CCM? Barua za waajiri zinawataka watumishi kuhudhuria...
3 Reactions
37 Replies
3K Views
- Tatizo hili linaendelea hata baada ya kukamilika mradi wa maji wa tanki la bangulo uliogharimu bilioni 36.8 na maji hamna Kinyerezi. Wakazi wa Kinyerezi wapo katika wakati mgumu maji ya Dawasa...
0 Reactions
4 Replies
417 Views
Kumekuwepo na changamoto kubwa ya upatikanaji wa kadi za Mwendokasi. Abiria wanaokwenda kwenye vituo vilivyotajwa kama vile Kimara na Gerezani tunaambiwa kwamba kadi zimeisha. Hali hii imeathiri...
1 Reactions
11 Replies
727 Views
Siku ya ya leo tangia asubuhi hatuna umeme huku Arumeru mkoani Arsha, tatizo ni nini? Mbona hakuna hata taarifa, sasa leo tutakula wapi, kula yetu ni umeme. Tafadhali turudishie umeme.
0 Reactions
1 Replies
354 Views
Kama kuna Wizara ambayo imeshindwa kazi hapa mkoani na Jiji la Dar es salaam ni wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano. Nadiriki kusema Wizara hii imejaza vilaza walioko katika utendaji, kuanzia...
20 Reactions
76 Replies
3K Views
Mh. Rais ktk serikali yako waziri pekee aliye karibu na wananchi wako ni Dr. Dorothy Gwajima wengine hata matatizo yaandikwe mara ngapi huwezi kusikia wakijibu kero wananchi. Hili la watoto wa...
14 Reactions
100 Replies
4K Views
Mabasi ya kutoka Mbeya hasa yanayosafiri Usiku hayafuati ratiba ya safari, kwa mfano kuna siku nilipanda basi kutoka Mbeya kwenda Morogoro walisema linaondoka Saa 12:00 Jioni ila tuliondoka Saa...
2 Reactions
5 Replies
702 Views
Kama kuna aibu inayoinyemelea Halmashauri ya Mji Kibaha ni ubovu wa miundombinu ya barabara zake, na hasa zilizopo katikati ya Mji (Kata ya Maili Moja). Hii ni kero ya muda mrefu sana, kwa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii hospitali ya Mnazi Mmoja ina umuhimu mkubwa sana jijini hasa kwa wananchi wa chini. Jamani uongozi mjitathmini. Watumishi wengi mno ni kama mko pale kupoteza muda. 1. Huduma ya madaktari...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Mh mbunge nyumbani kwenu kunakaribia kutopitika. Hebu kaa na wahusika kabla njia haijakatika kabisa.☝️☝️
3 Reactions
10 Replies
647 Views
Mikoa mingi nchini Tanzania leo imekumbwa na tatizo la kukosekana kwa umeme kwa muda wote wa siku, jambo lililosababisha usumbufu kwa wananchi na shughuli za kimaisha. Wengi wanajiuliza ni nini...
1 Reactions
12 Replies
969 Views
Anonymous
Tatizo la bima kwa sasa limekuwa sugu kwakuwa hakuna hatua zozote zilizochukuliwa imekuwa ikifanyika kila mwaka wanafunzi wanapitia changamoto ya kukosa matibabu kwa wakati na bima wamelipia...
0 Reactions
2 Replies
502 Views
Wahitimu wa Chuo kikuu Mzumbe kampasi ya Upanga Dar Es Salaam wapo katika wakati mgumu baada ya chuo hicho kushindwa kuwapa vyeti vyao vya kuhitimu bila maelezo yanayoeleweka. Hatua hiyo imekuja...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Utangulizi Moshi mjini, maarufu kwa mandhari yake ya kuvutia na utamaduni wa kipekee, sasa unakabiliwa na changamoto kubwa ya usafi. Kituo cha mabasi kilichoko katikati ya mji kimekuwa kielelezo...
1 Reactions
3 Replies
645 Views
Back
Top Bottom