Najiuliza Lile kusanyiko la watu walio kwenda kwa balozi wa Vaticani kwenda kumshitaki faza Kitima na Askofu Rwaichi lilikuwa halali?
Pale waliopo kufanyika ni karibu kabisa na MAKAO MAKUU ya...
Huyu tapeli ana rekodi mbaya kwenye utapeli wa ardhi na madawa ya kulevya. Nawasihi BASATA au Tume ya uchaguzi (NEC) msimruhusu kamwe ajihusishe na uchaguzi mkuu wa 2025.
--
TAMASHA la kuombea...
Yanahitaji maandamano makubwa ya kudai miili ya wapendwa wetu.
Ukisikiliza watu wanaofika mbele ya tume kutoa ushahidi wa jinsi wapendwa wao walivyouawa na miili yao kupotezwa kwa kweli...
Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) ndugu Salum Mwalim ataongoza ujumbe wa viongozi na wanachama wa Chama hicho kwenda katika maziko ya Hayati Edwin Mtei yatakayofanyika...
MATUMIZI YA NISHATI SAFI YANALENGA KUPUNGUZA VIFO VYA WAMAMA WANAOPIKIA MKAA NA KUNI,
UTAFITI UNAONESHA KILA MWAKA WAMAMA ZAIDI YA 33,000 KILA MWAKA WANAKUFA KWAAJILI YA KUPIKIA KUNI NA MKAA...
Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 22, 2026, imekutana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais โ Menejimenti...
Bongo zozo amepost picha ya watoto wake na kuandika "madini niliyoiba" huku akiweka wazi kuwa watoto wake wamepolwa uraia wa Tanzania na serikali.
Aidha maneno yake ya "madini niliyoiba" yamezua...
Yale mauaji ya October 29 yaliyo ongozwa na Polisi wetu kuanzia aliesababisha mpaka alieshiriki kuua hapaswi kua Ofisini sasa hivi.Aliekua anampa report Rais kua wale ni raia kutoka nchi jirani...
๐๐, ๐ฆ๐๐ฅ๐ ๐ญ๐ ๐จ๐๐๐จ๐ ๐ ๐ญ๐ ๐ง๐๐ก๐ญ๐๐ก๐๐ ๐ญ๐๐ ๐๐๐๐ง๐ ๐ ๐๐๐๐จ๐ญ๐ ๐ฌ๐ ๐๐๐จ๐๐๐จ๐ ๐?
Tangu kupata uhuru, sera za uchumi za Tanzania zimepitia mabadiliko makubwaโkutoka mfumo wa ujamaa wa ๐จ๐ท๐ฎ๐บ๐ฎ๐ฎ, hadi uliberali wa soko...
Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, Januari 19, 2026, imekutana na Wananchi wa Wilaya ya Temeke kwa lengo la...
Nilipoona mtandaoni tu yakuwa siku yako ya KUZALIWA utaisherekea kwa kupanda miti, hapo hapo nikaanza mazoezi ya kunywa maji nikojolee miti yako istawi vyema.
Unasherekea miaka ya kuishi ili hali...
TUME ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 22, 2026, imekutana na viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa...
Ujui yakuwa ccm walipokosa RUSHWA WALIITUMIA mtutu wa bunduki kuua watu na kuwazika kwenye shimo Moja kama Taka taka?
Leo hii unamshangaa mtoto wa mhagama kituumiwa kutoa 500m Ili arisi nafasi ya...
Mpaka anaondoka Mbowe ilikuwa ni sehemu ya CCM kudanganya jumuia ya kimataif kuwa kuna upinzani nchini.
Ilikuwa ipo kibiashara zaidi ili kunufaisha matumbo ya mabwanyeye waliojipachika jina kuwa...
Naamini Jamii Forums ni kisima cha Maarifa ni kwamba huwa kuna Mkataba kati ya Airtel na Mteja hizi Agreement mara nyingi huwa ni ndefu na zimeandikwa kwa maandishi madogo lakini pia zinatumia...
Kampuni ya airtel sio kampuni ya kisiasa tunajua kilichotokea ni shinikizo na hii haifanyi kampuni imuunge mkono bali amejiongezea kesi madaraka yanaisha haya mtaona airtel ikimfungulia kesi hii...
Akizungumza na wananchi wa Ikungi mkoani Singida, katika mkutano unaofanyika Kata ya Puma leo Januari 22, 2026, Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, amesema kuwa...
Balozi wa Marekani Burkina Faso, Joann Lockard, ameomba kuonana na Captn. Traore, ila Captn akamjibu ana shughuli nyingi na akamtuma Waziri wake wa Mambo ya nje,mwezi huu.
Utakumbuka nimeripoti...