Pamoja na mapito ya hapa na pale na kufanyiwa mtimanyongo na mahasimu wake wa Kisiasa lakini Dr Kigwangalla amesimama Imara
Dr Kigwangalla ni Mzalendo asiyetaka ujinga, asiyeogopa kuhoji na...
Leo waziri wa Mawasiliano, Nape ametoa taarifa kuhusu kufungiwa kwa akaunti nyingi sana za Instagram, Facebook na Twitter zinazojuhusisha na suala la ushoga.
Wamewezaje kuzifungia akaunti katika...
Habari zenu wana JF wenzangu.
Katika pitapita zangu maeneo fulan nimekutana na hii habari kutoka kwa mtu wa karibu mno wa msanii huyo, akidai kwamba Diamond yuko katika mchakato wa kulishangaza...
Swali ni je imekuwa scientifically approved au politically approved?
The F.D.A. approved full licensure of the Pfizer vaccine this morning and has also, I’m sure you’re aware, back in August on...
Katika muktadha wa historia ya Zanzibar kuna wanaoamini kuwa hata Marehemu Mzee Karume mwenyewe alijutia yale maamuzi yake ya kuiunganisha Zanzibar na Tanganyika na kuunda Jamhuri ya Muungano wa...
Leo Bungeni, waziri Tax ametoa wito kwa pande zinazohasimiana Sudan zifikie suluhu na kulaani mapigano hayo. Tax amesema wapo watanzania 210 na hadi sasa hawajapata taarifa ya mtanzania...
Tunahitaji kuwekana wazi tujue na hao viongozi wajue kumbe jamii inawatizama utendaji wao wa kazi.
Mimi naanza na Jimbo la Kawe, wazee tuliyakanyaga. Gwajima hana jipya, tunaomba 2025 ifike...
Wabunge waache huu utaratibu wa kufuturishwa kule Dodoma, Bunge linazidi kuwa too low sana, Juzi niliona Benki ya CRDB inawafuturisha, sasa chukulia kwamba Benki ikajikuta kwenye kashifa kubwa za...
Fuatilia yanayojiri Bungeni leo Aprili 19, 2023 kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 9.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja amesema "Kuna changamoto ya Popo wanaozunguka...
Kama kweli hawa wabunge wanataka wabunge wote waangaliwe ushoga basi waite Daktari na wajue hakuna vifaa maalumu vya kuangalia.
Madaktari wanatumia kidole cha katikati na kuvaa gloves kupima...
Mapambano ya kupigania Uhuru wa Zanzibar yalisababisha Zanzibar kufuata mikondo ya siasa za kikabila ambayo ni ngoma iliyopigwa na kuimbwa vyema na wakoloni wa Kiingereza na kuwahemua Wazee wetu...
Kutokana na deni la taifa nchini Kenya kufikia 65%. Serikali imelazimika kusitisha ulipaji mishahara kwa mwezi march, ili badala yake iweze kulipia deni lake la nje!
Zaidi msikilizeni Rais Rutto...
Tundu Antipas Lissu hanaga Unafiki na ndio aina ya Viongozi wanaotakiwa zama Hizi za Sayansi na Teknolojia
Siasa za Uwongo na kuwafanya Wananchi mazuzu na misukule zimeshapitwa na wakati...
Mbunge wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma Mhe. Dkt. Florence George Samizi leo amechangia Bajeti ya Wizara ya TAMISEMI Bungeni Jijini Dodoma ambapo pamoja na mambo mengine ametoa hoja mbalimbali...
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Mkuu wa Majeshi Mstaafu George Marwa Waitara kwa kipindi kingine kuendelea kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Shirika la Hifadhi Tanzania (TANAPA)
Anthony...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amemteua Mhandisi Musa Ally Nyamsingwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO).
Mhandisi...
Nyerere baba wa taifa alisema Katiba ya JMT inamfanya Rais awe nusu Mungu
Sasa hawa wanahabari nguli Balile na Kibanda wanahoji nini? Katiba wameisoma na kulielewa?
Mnakula hela za Watu...
Hongera sana mheshimiwa Rais wa JMT, mama yetu Dr. SSH. Hakika wewe ni mzalendo haswa, na unaendeleaje kuupiga mwingi.
Jamani eeh!?... Tukubaliane hapa, mambo anayoyafanya Mama sio ya kawaida...
Kwa Mujibu wa ratiba iliyosambazwa na Chadema Kanda ya Nyasa , leo tarehe 26/02/2023 kuna mikutano miwili mikubwa ya hadhara itakayoburumishwa na Chadema .
Mapema Asubuhi hadi Mchana Mkutano...
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ina wasiwasi mkubwa juu ya hali mbaya ya usalama inayoendelea nchini Sudan, kutokana na mapigano yaliyozuka katika mji mkuu wa Khartoum na maeneo...