Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mnatapa tapa sana aisee! Mazungumzo yenu yote ninayo na mtu wenu ambaye juzi alitaka autuhumu ubalozi moja kwa moja kwamba ndo umemficha Polepole nikawasihi na kuwaonya kwa Uzi nilioandika kwamba...
58 Reactions
73 Replies
4K Views
  • Redirect
Sote ni mashuhuda jinsi ambavyo baadhi ya waTanzania wenye tamaa binafsi nia ovu dhidi ya taifa letu huru, wakizunguka Ulaya na Amerika wakipanga bei ya kuliuza taifa letu. Kama wazalendo wa...
0 Reactions
Replies
Views
Mimi ukinikuta mtaani ni kada wa chama kweli kweli huwa najitahidi kukusanya maoni ya wananchi wengi vijiweni kwa mabodaboda kwa mama ntilie machinga wafanya biashara maana Wakandarasi wanangu...
12 Reactions
80 Replies
784 Views
"Niliiuliza Meta kwa nini ilifuta akaunti ya mwanaharakati wa Kitanzania Mange Kimambi na ikazuia akaunti ya Maria Sarungi nchini Tanzania, lakini sikupata majibu. Meta inamiliki Facebook...
4 Reactions
12 Replies
960 Views
Wale ambao hamjapanda madaraja poleni mfumo wa ESS umetumika kuwaumiza hela za kuwapandisha hakuna kwahiyo k8gezo Cha ess kimetumika kama fimbo Kwa wale ambao hamjafikisha asilimia. Source mnyetishaji
5 Reactions
49 Replies
2K Views
No. Tanzania's cooperation with Russia in the nuclear sector does not mean Tanzania is preparing to develop nuclear weapons. There is a major difference between: 1. Nuclear energy programs...
2 Reactions
1 Replies
156 Views
Kukosoa serikali ni jambo la kawaida na muhimu katika demokrasia. Lakini ukosoaji unapopoteza msingi wa ukweli na kuhamia kwenye propaganda, taifa lote hupoteza nafasi ya kufanya mjadala wa maana...
2 Reactions
27 Replies
206 Views
Waziri wa Mambo ya Nje Thabit Kombo ameeleza kuwa ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini Urusi, imeleta "mtikisiko chanya" wenye athari kubwa ulimwenguni...
2 Reactions
23 Replies
514 Views
Chama cha Wauguzi Tanzania (TANNA) kimekanusha taarifa zinazomhusisha muuguzi na tukio la kumpasua mgonjwa nyumbani juu ya makochi mkoani Tabora, kikibainisha kuwa mhusika hana sifa wala taaluma...
7 Reactions
21 Replies
648 Views
  • Redirect
Waziri wa Mambo ya Nje ameeleza kuwa ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini Urusi, imeleta "mtikisiko chanya" wenye athari kubwa ulimwenguni kote, na si...
0 Reactions
Replies
Views
Augustino Lissu, mtoto wa mwanasiasa mashuhuri wa upinzani nchini Tanzania, Tundu Lissu, ametoa ushuhuda mzito na wenye hisia kali mbele ya maofisa wa Bunge la Seneti na Congress nchini Marekani...
36 Reactions
111 Replies
3K Views
Watu wengi hujiunga na vyama vya siasa kwa sababu ya ushawishi wa marafiki, familia, viongozi maarufu au hisia za wakati huo. Hata hivyo, hatua muhimu ambayo mara nyingi hupuuzwa ni kuelewa...
0 Reactions
1 Replies
96 Views
Ukweli nasikia sauti ya kilio ktk kila kona ya Nchi. Swali langu ni nani yuko tayari kuyatoa maisha yake kwaajili ya Taifa?
11 Reactions
141 Replies
10K Views
Mama Samia kawa mzigo mkubwa utafikiri tumepata laana 1. Uchaguzi wa ajabu kuwahi kutokea 2. Utekaji wa kitoto 3. Mauaji 4. Machawa 5. Undugu 6. Unzanzibari na Ubara 7. Kudhaulika kwa vyombo vya...
34 Reactions
55 Replies
1K Views
Yule Samia wenu kaonekana akizunguka Ukumbini na receiver ya tafsiri ya lugha kila sehemu hata mic hakuzima. Putin akaingilia kati, kamwambia siri zako zitasikika, zima mic namna hii. Vitu vidogo...
13 Reactions
47 Replies
832 Views
The Diplomat Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anaelezea mapokezi ya heshima aliyopata akiwa katika ziara rasmi ya kitaifa nchini Urusi. Mapokezi aliyopewa...
0 Reactions
5 Replies
138 Views
"Tutarudi kwenye malengo yako kuhusu Ukraine baadaye, lakini ni lazima nikuulize swali hili, Mheshimiwa Rais. Licha ya vikwazo vilivyowekwa, unataka kuendelea na kuongeza biashara na Urusi. Je...
3 Reactions
26 Replies
614 Views
In fact, Maumivu makali wanayopitia kwa sasa, hayafichiki kabisa. Halafu wamekua wakali balaa. Shida zao wenyewe wanasingizia wengine. Hakika wanatia huruma mno. Ni rahisi mno kuwatambua na...
1 Reactions
39 Replies
311 Views
Back
Top Bottom