Swali, Je, huenda Freeman Mbowe akajitoa ili kulinda heshima kidogo aliyonayo au yuko tayari kubeba aibu kwa gharama ya chawa wake||
Taarifa za chinichini ni kwamba,
Mtia nia wa nafasi ya...
Habari zenu waungwana, natumaini mko poa na mnaendelea vizuri sana na majukumu na mapumziko ya mwisho wa mwaka. Kwa kuwa leo ni siku ya mapumziko nimaemua kuitumia kuwaandikia na kuwahimiza...
Tundu Lissu Makamu akizungumza kupitia clubhouse leo Desemba 23 amesema kuwa
"Nimepewa taarifa na mtu wa heshima sana kuhusu maandalizi ya vurugu kwenye uchaguzi.
Kuna watu wanaandaliwa waje...
Au Kwa Chadema Ulinzi wa Makomandoo ni Kwa viongozi Wote wa Juu?
Kwa vyama vingine kikiwemo CCM kwenye Siasa huwezi kuona Makomandoo wakiwa sehemu ya Ulinzi wa viongozi Wakuu Merry Christmas 🌹
Maandishi ya Ben Saanane
Kuanzia nilipoibua mjadala wa Uhalali wa Phd ya Mhe.Magufuli niliacha rasmi kumu-address kama Dr.Magufuli na kutumia Ndugu au Mheshimiwa tu hadi itakapothibitika ni...
Salaam wana bodi ,kwanza niwatakieni siku kuu njema ya krismas na heri ya mwaka mpya wa 2025.nirudi kwenye madam yangu.hivi inawezekana mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke ,kuwa sahihi wakati...
Mpaka hivi sasa tunavyoongea, Mwenyekiti Mbowe hajawahi kusafishwa na mahakama wala serikali wala chombo chochote nchini kuwa tuhuma za serikali kwa Mbowe kuhusu Ugaidi zilikuwa za uwongo. Sisi...
Siasa za Afrika zina matatizo mengi sana, tukubali tu kuongozwa na CCM kikubwa waendelee kutii muongozo wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, CCM ndicho...
Utajiri wa Freeman Mbowe umeibua maswali na hoja kutoka kwa baadhi ya wanachama na wachambuzi wa kisiasa kuhusu namna ambavyo haunufaishi chama moja kwa moja. Hapa kuna sababu na mifano dhahiri...
Hiyo ndio Organization chart ya Chadema
Juu kabisa pale Kwa Mbowe ni pa kudumu
Na chini kabisa Kwa John Mrema ni pa kudumu
Hapo katikati ndio Kuna wanasiasa wanaobadilishana wamepita akina...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza maandamano ya amani Januari 24 mwaka huu mkoani Dar es Salaam kuishinikiza Serikali kuzingatia maoni ya wadau kuhusu masuala ya uchaguzi...
Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dkt. Willibrod Peter Slaa akizungumza hivi karibuni kupitia jukwaa la Kumekucha la mtandao wa Clubhouse.
"Mimi kwa maoni...
Kabla ya kujiuzulu panga safu nzuri ya uongozi ndani ya chama.
Pangua sekretariate yote, pangua safu ya wakurugenzi makao makuu, kuna wakurugenzi wamejimilikisha ofisi miaka na miaka tunawasikia...
Naunga mkono hoja ya kuitisha mdahalo kati ya Lissu na Mbowe angalau mara mbili kabla ya kuingia kwenye uchaguzi wao ngazi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.
Kwa maoni yako, unadhani nani atashinda...
Hapa tusogee wale wenye werevu wa hali ya juu ili kuichambua kauli ya Dr Balozi Nchimbi.
1-Ametajwa Mbowe kwamba Dkt. Nchimbi haamini kama anahusika.
Mbowe alimpigia sana Nchimbi.
Nchimbi...
Bila shaka huko aliko Mwenyekiti Mbowe anauma mdomo na kugonga meza kwa maboko anayotoa lissu kwenye majukwaa hivi sasa.
Mwenendo,kauli na maneno ya lissu kwenye majukwaa mbalimbali yanaashiria...
Ikumbukwe 2020 Zitto Kabwe akiwa Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo alimpigia Kampeni Tundu Lisu badala ya Bernard Membe kwenye nafasi ya Rais wa JMT
Zitto alikuwa akimfahamisha Mwenyekiti wa chadema...
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema Mh Ntobi anasema 2020 Kwenye KURA za Maoni ya Wagombea Urais Nyarandu aliongoza Lakini CC ikapindua matokeo na kumpa ushindi Tundu lisu
Binafsi Nakubaliana na...