Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Swali, Je, huenda Freeman Mbowe akajitoa ili kulinda heshima kidogo aliyonayo au yuko tayari kubeba aibu kwa gharama ya chawa wake|| Taarifa za chinichini ni kwamba, Mtia nia wa nafasi ya...
18 Reactions
75 Replies
5K Views
Habari zenu waungwana, natumaini mko poa na mnaendelea vizuri sana na majukumu na mapumziko ya mwisho wa mwaka. Kwa kuwa leo ni siku ya mapumziko nimaemua kuitumia kuwaandikia na kuwahimiza...
1 Reactions
6 Replies
426 Views
Tundu Lissu Makamu akizungumza kupitia clubhouse leo Desemba 23 amesema kuwa "Nimepewa taarifa na mtu wa heshima sana kuhusu maandalizi ya vurugu kwenye uchaguzi. Kuna watu wanaandaliwa waje...
28 Reactions
143 Replies
5K Views
Au Kwa Chadema Ulinzi wa Makomandoo ni Kwa viongozi Wote wa Juu? Kwa vyama vingine kikiwemo CCM kwenye Siasa huwezi kuona Makomandoo wakiwa sehemu ya Ulinzi wa viongozi Wakuu Merry Christmas 🌹
1 Reactions
7 Replies
462 Views
Maandishi ya Ben Saanane Kuanzia nilipoibua mjadala wa Uhalali wa Phd ya Mhe.Magufuli niliacha rasmi kumu-address kama Dr.Magufuli na kutumia Ndugu au Mheshimiwa tu hadi itakapothibitika ni...
56 Reactions
249 Replies
46K Views
Salaam wana bodi ,kwanza niwatakieni siku kuu njema ya krismas na heri ya mwaka mpya wa 2025.nirudi kwenye madam yangu.hivi inawezekana mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke ,kuwa sahihi wakati...
5 Reactions
21 Replies
819 Views
Mpaka hivi sasa tunavyoongea, Mwenyekiti Mbowe hajawahi kusafishwa na mahakama wala serikali wala chombo chochote nchini kuwa tuhuma za serikali kwa Mbowe kuhusu Ugaidi zilikuwa za uwongo. Sisi...
2 Reactions
10 Replies
556 Views
Siasa za Afrika zina matatizo mengi sana, tukubali tu kuongozwa na CCM kikubwa waendelee kutii muongozo wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, CCM ndicho...
4 Reactions
6 Replies
389 Views
Utajiri wa Freeman Mbowe umeibua maswali na hoja kutoka kwa baadhi ya wanachama na wachambuzi wa kisiasa kuhusu namna ambavyo haunufaishi chama moja kwa moja. Hapa kuna sababu na mifano dhahiri...
4 Reactions
7 Replies
793 Views
Hiyo ndio Organization chart ya Chadema Juu kabisa pale Kwa Mbowe ni pa kudumu Na chini kabisa Kwa John Mrema ni pa kudumu Hapo katikati ndio Kuna wanasiasa wanaobadilishana wamepita akina...
0 Reactions
4 Replies
327 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza maandamano ya amani Januari 24 mwaka huu mkoani Dar es Salaam kuishinikiza Serikali kuzingatia maoni ya wadau kuhusu masuala ya uchaguzi...
25 Reactions
200 Replies
48K Views
Niko hapa namwona anatoa ufafanuzi kuhusu masuala ya umeme. Kwani mkurugenzi wa wa umeme hayupo? Source tbc
2 Reactions
8 Replies
544 Views
Posted by Akim kutoka X Ni hayo tu!
7 Reactions
21 Replies
1K Views
Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dkt. Willibrod Peter Slaa akizungumza hivi karibuni kupitia jukwaa la Kumekucha la mtandao wa Clubhouse. "Mimi kwa maoni...
7 Reactions
30 Replies
2K Views
Kabla ya kujiuzulu panga safu nzuri ya uongozi ndani ya chama. Pangua sekretariate yote, pangua safu ya wakurugenzi makao makuu, kuna wakurugenzi wamejimilikisha ofisi miaka na miaka tunawasikia...
4 Reactions
62 Replies
2K Views
Naunga mkono hoja ya kuitisha mdahalo kati ya Lissu na Mbowe angalau mara mbili kabla ya kuingia kwenye uchaguzi wao ngazi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa. Kwa maoni yako, unadhani nani atashinda...
3 Reactions
55 Replies
2K Views
Hapa tusogee wale wenye werevu wa hali ya juu ili kuichambua kauli ya Dr Balozi Nchimbi. 1-Ametajwa Mbowe kwamba Dkt. Nchimbi haamini kama anahusika. Mbowe alimpigia sana Nchimbi. Nchimbi...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Bila shaka huko aliko Mwenyekiti Mbowe anauma mdomo na kugonga meza kwa maboko anayotoa lissu kwenye majukwaa hivi sasa. Mwenendo,kauli na maneno ya lissu kwenye majukwaa mbalimbali yanaashiria...
15 Reactions
126 Replies
6K Views
Ikumbukwe 2020 Zitto Kabwe akiwa Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo alimpigia Kampeni Tundu Lisu badala ya Bernard Membe kwenye nafasi ya Rais wa JMT Zitto alikuwa akimfahamisha Mwenyekiti wa chadema...
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema Mh Ntobi anasema 2020 Kwenye KURA za Maoni ya Wagombea Urais Nyarandu aliongoza Lakini CC ikapindua matokeo na kumpa ushindi Tundu lisu Binafsi Nakubaliana na...
1 Reactions
1 Replies
563 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…