Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amewahakikishia Watanzania kwamba Chama hakina chuki wala kısası na mtu bali kinaamini kutekeleza sera ya maridhiano. Wasira ametoa...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
https://youtu.be/eYqrDjwkZ1E?si=IAwIBaBwF_ZH9Mes Redio DW ya Ujerumani leo mchana imeutangazia ulimwengu kwamba hali ya siasa Tanzania ni mbaya sana. Akifanyiwa mahojiano mwanasheria na...
17 Reactions
33 Replies
2K Views
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, kiongozi akila rushwa katika shughuli za kiserikali, aliyepokea rushwa hana uthubutu wa kumchukulia hatua mtoa rushwa. Wachina wanajulikana, na siyo siri, kutoa...
6 Reactions
27 Replies
1K Views
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mchungaji Peter Msigwa, amewataka wananchi wa Wilaya ya Tandahimba, mkoani Mtwara, kuendelea kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na chama hicho...
1 Reactions
10 Replies
718 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, anasema chama hicho bado kina nafasi ya kushiriki kwenye uchaguzi mkuu wa 2025, na kwamba kutosaini kanuni za maadili hakuwaondoi kikatiba kushiriki...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Naona Zambarau Ikineemesha vizuri kabisa Kijani hapo Juu Baada ya CDM kususia Uchaguzi?
7 Reactions
34 Replies
2K Views
Mzee Msukuma amekiri kwamba wabunge wa Tanzania wana kinga dhidi ya tuhuma za rushwa Kimantiki amesema wapo viongozi wanakwapua fedha za umma kwenda kuzitumia kugombea ubunge Ameeleza viongozi...
2 Reactions
7 Replies
663 Views
Denis Itumbi ndiye Mshauri mkuu wa Ubunifu wa Miradi mikubwa na Mipango ya Uchumi wa Rais Ruto Sijajua kwa Tanzania Msanii gani anaweza kumudu cheo hicho 😁 Mlale unono
3 Reactions
27 Replies
1K Views
DODOMA — Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) inakabiliwa na changamoto kubwa baada ya ndege nne za Airbus A220 kutokutumiwa kwa siku 279 hadi 721 kutokana na matatizo ya kiufundi na upatikanaji wa...
8 Reactions
81 Replies
4K Views
Wanabodi, Vuguvugu la no reforms, no elections linaweza kuitikisa nchi na kuipeleka pabaya endapo hatutakuwa waangalifu. Katikati ya hulka na mihemko hii ya kisiasa, ni vyema kuwa na mtazamo...
9 Reactions
62 Replies
3K Views
Dodoma: Zoezi la Utiaji Saini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi Aprili 12, 2025 https://www.youtube.com/live/BgdcX0YUdHI?si=B53f6t_tREhsGBeD Vyama 18 vya Siasa Vyasaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi...
10 Reactions
160 Replies
9K Views
Siku Rais Samia alipomteua Mchengerwa kuwa Waziri wa TAMISEMI, alimsifia kuwa Mchengerwa ana kifua kipana!! Kila mmoja alitoka na tafsiri yake juu ya kauli hiyo ya Rais Samia. Lakini wengi...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Leo hii, kama vyama vyote vya siasa vingechukua msimamo wa kukataa kutia sahihi kanuni za uchaguzi, amini nawaambieni, sasa hivi tungekuwa tunaongea mambo mengine kabisa. Vyama vya siasa...
3 Reactions
8 Replies
643 Views
Kama umemsikiliza vizuri Jaji Warioba utagundua hakuna sehemu yoyote amewatuhumu CCM kwa jambo lolote. Hoja za Jaji Warioba zimelenga Serikali na Upinzani ambako Chadema ndio Chama kikuu. Kuna...
2 Reactions
104 Replies
5K Views
Kuna wakati aliyekuwa Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete alitoa hotuba hii kuelezea masuala kadhaa ya demokrasia. Kama upo Team Lumumba na bando limekuishia usianze kujibu kama video hujaisikiliza.
5 Reactions
14 Replies
952 Views
Mzee Wassira amesema huko duniani wanahimiza kuheshimu haki za binadamu na Tanzania tumesaini lakini hatuwezi kulinda Haki ya mtu mmoja itakayopelekea kuvuruga Haki za watu wengi Wassira alikuwa...
4 Reactions
15 Replies
712 Views
Kama mdau wa uchumi wa maendeleo na uwajibikaji wa matumizi ya fedha za umma, ningependa kuchangia kwa uelewa wa kitaalamu kuhusu hoja ya TZS 1.14 trilioni inayofanyiwa mijadala mingi ya...
2 Reactions
8 Replies
516 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…