Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dk Anna Makakala amesema uchunguzi wa uraia wa Askofu wa Jimbo Katoliki la Ngara-Rulenge, Severine Niwemugizi unaendelea na wakikamilisha wataweka wazi...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Nimesikitika sana kusoma maneno kwenye mtandao ambayo sijaamini yamesemwa kweli na mtu ambaye huko nyuma nilimheshimu sana, kwamba, tunaomba Mungu ugonjwa huu uondoke, Corona ni sawa na wapinzani...
57 Reactions
144 Replies
20K Views
Huwa nashangaa wanao wapelekea wakina Mwaposa Sadaka na Manabii wengine type yake kama yule tapeli wa Arusha Geo David. Hawa ili waendeleze injili za kitapeli lazima pia wawe chawa. Au wanao...
15 Reactions
93 Replies
3K Views
Ni ushauri tu katika kudumisha Amani na Upendo kwa wananchi wote Ahsanteni sana Mlale unono 😁
2 Reactions
59 Replies
2K Views
Kamwe siwezi kwenda kinyume na viongozi wangu wa kiroho, Wamewekwa wakfu ili kusimamia masuala ya Kiroho na Kijamii. Katika Biblia kitabu cha Wafalme tunaona Nabii Eliya akimkemea Mfalme Ahabu na...
9 Reactions
20 Replies
979 Views
#TANZANIA: TULIPOFIKIA CHADEMA LEO, HATUFANYI TENA UCHAGUZI NA CCM, TUNAFANYA UCHAGUZI NA DOLA, HAKUNA TUME HURU HAPA - MAYALA Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kusini, Aden Mayala hii leo Aprili 18...
5 Reactions
14 Replies
765 Views
Myself nachoshwa na hizi ngenga za kidini, yaani nachukizwa na kitu chochote kinachotengeneza matabaka. Leo hii ukichunguza Kwa umakini unagundua hizi dini zinachangia pakubwa kuleta utengano...
3 Reactions
29 Replies
1K Views
Nimefarijika sana na ushauri wenu kwa wenye Mamlaka kuhususiana na Reforms mbalimbali juu ya uchanguzi, nina wapongeza sana, Mungu Muumba azidi kuwalinda, kutetea na kuwabarikini, kwa kukubali...
1 Reactions
1 Replies
323 Views
Wakristo kote nchini wametakiwa kuwa mfano bora wa kuigwa kwa kuendele a kuyaishi matendo mema kama walivyofanya wakati wa kipindi cha mfungo wa Kwaresma kwa kudumiasha upendo na kujaliana na...
2 Reactions
2 Replies
346 Views
CHADEMA hamjatutendea haki watanzania kumpa Uenyekiti wa CHADEMA taifa Lisu ambaye familia yake yote iko nje mkamuacha Mbowe mtuombe msamaha Mbowe familia yake yote ipo Tanzania kasoro mtoto...
12 Reactions
96 Replies
3K Views
Hongera Kanisa la Sabato analosali Heche makamu mwenyekiti CHADEMA taifa kwa kutotoa tamko lolote la kisiasa kwenye ibada zenu zote za Sabato
12 Reactions
69 Replies
3K Views
Wakati tunapoendelea kwenye mageuzi yanayoleta matumaini kwa Tanzania kuna kundi dogo sana linapinga kila kitu kuhusu Mageuzi haya. Hili kundi lina nia gani na Nchi yetu? Ni akina nani...
31 Reactions
97 Replies
3K Views
Wadau. Napitia kanuni za maadili zilizotolewa hivi karibuni baada ya kusainiwa na vyama 18, Tume na Serikali, nimeona kanuni ambayo kwangu inakanganya. Kanuni hii ni 2.1 kuhusu wajibu vyama.vya...
0 Reactions
9 Replies
584 Views
Naona vilaza wa ccm wamehsa anza kutengeneza hoja za udini dhidi ya tamko ta TEC acheni ujinga huo, msitafute huruma kijinga namna hiyo, pimeni madai yao na mjitafakari Kwa akili zenu zilivyo...
7 Reactions
24 Replies
1K Views
Siku zote, wenye akili, wenye hekima na wenye dhamira njema ya kutatua tatizo lolote, wanapogundua kuna tatizo, hutafuta chanzo cha tatizo, kwani ukikidhibiti chanzo cha tatizo, tayari unakuwa...
1 Reactions
6 Replies
365 Views
Huko miaka ya 2000s baba aliwahi kunambia kuwa Mbowe na ZZK ni vijana wa mfumo, wanaeongoza vyama vya upinzani lakini kwa kulinda na kusimamia miongozo waliyopewa na mfumo. Kitendo cha Mbowe...
4 Reactions
35 Replies
2K Views
Nadhani Chadema wanashindwa kutofautisha Kati ya Haki na Utawala wa Sheria Dunia haitoi Haki Bali hutoa Utawala wa Sheria Haki hutolewa na Mungu wa mbinguni mwenyewe aliyeumba mbingu na dunia...
0 Reactions
1 Replies
158 Views
UJINGA UNAOPEWA JINA: PROPAGANDA YA KISIASA MTANDAONI Katika zama hizi za kidijitali, mitandao ya kijamii imegeuzwa kuwa uwanja wa vita vya fikra. Lakini vita hivi si vya kuikomboa nchi bali vya...
0 Reactions
0 Replies
269 Views
Makamanda haya nayo hatuwezi bandika? hii ni simple binafisi nayapataje nibandike? Lazima wajue hatutanii sasa. Hii tunaweza ifanya.
14 Reactions
33 Replies
2K Views
Mkuu wa KKKT Askofu Dr Malasusa amemuomba Naibu waziri Mkuu Dr Biteko wafanye kila wawezalo kumaliza tatizo la watu kutekwa na Kuuawa Dr Biteko anawakilisha Serikali kwenye mazishi ya Askofu Dr...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…