Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Viongozi wa dini wamekuwa wakienda maofisini na maeneo mbalimbali wanapoitwa na wanasiasa. Wakiwa mbele ya wanasiasa wote ugeuka nakusifia kwamba hali ni shwari Lakini weekend hii wametoa matamko...
2 Reactions
5 Replies
479 Views
Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Iringa Vijijini, Omary Chulla akizumguza katika Ziara ya kamati ya Utekelezaji ya UVCCM katika kata...
2 Reactions
4 Replies
437 Views
Katika jamii yoyote huru na inayothamini demokrasia, vyombo vya habari ni uti wa mgongo wa haki na uwajibikaji. Habari ni daraja kati ya wananchi na watawala. Waandishi wa habari ni walinzi wa...
0 Reactions
0 Replies
305 Views
Askofu Zakaria Kakobe leo akiwa kanisani kwenye ibada ya Christmas, katika kanisa la FGBF Mwenge jijini Dar es Salaam, amenukuliwa akituma salamu kwa Rais wa JMT, Dkt. John P. Magufuli. "Rais...
202 Reactions
2K Replies
266K Views
TEC na Shura ya Maimamu waongeze sauti, huu upuuzi ukome. Hivi madehebu mengine hawaoni aibu wenzao wakiwa mstari wa mbele kupigania haki wao wakibaki kuwa chawa?🤔🤔 ==== Mbunge wa Jimbo la...
1 Reactions
4 Replies
506 Views
Katika baadhi ya mataifa, makanisa, misikiti, na nyumba nyingine za ibada zilichukua nafasi muhimu katika kupigania uhuru na haki, kwa kutoa uongozi na kuhamasisha umoja wa kitaifa, na kusimama...
6 Reactions
32 Replies
1K Views
Ili uchaguzi uwe huru na haki ni vema Tume Huru ya Uchaguzi ikaajiri watumishi watakaosimamia uchaguzi mkuu 2025 ambao siyo watumkshi wa umma. Waigeni wenzenu wa nchi jirani ya Kenya ambayo Tume...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Rais najua japo wengi wanamchukia ila kuna wachache wanapenda,ila Kauli kama hizi zitamfanya kila mtu amuone kama ni katili na mwenye Roho mbaya sana na wananchi kuzidi kumchuikia.
14 Reactions
67 Replies
6K Views
Katiba ambayo ni msingi wa uendeshaji wa serikali imeweka wazi kuwa, Serikali itawekwa na watu, na itawajibika kwa watu kwa ajili ya ustawi wa watu. Hii ina maana watu wanapaswa kuiwajibisha...
3 Reactions
6 Replies
308 Views
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry Silaa(Mb), amesema kuwa amani tuliyonayo watanzania ni tunu kubwa ambayo inatakiwa kutunzwa. Waziri Silaa ameyasema hayo leo wakati...
1 Reactions
11 Replies
486 Views
Kuna watu wanaowabeza hawa viongozi wadini, Askofu #SEVERINE NIWEMUGIZI na Baba Askofu Benson Bogonza KKT .Kwa misimamo yao,nataka niseme hawa ndio viongozi wa kiroho,wanaoweza kukosoa maovu...
6 Reactions
8 Replies
2K Views
Watanzania tukishapata jibu la swali hili basi taifa letu litapata mustakabari adhimu juu ya amani ya nchi yetu. Wanaotumia dola kuhakikisha wapo madarakani na wale wanaotaka Katiba yenye...
7 Reactions
17 Replies
787 Views
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amewaasa Wakristo kuliombea Taifa amani, utulivu, umoja na mshikamano uendelee katika kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025. Taarifa...
1 Reactions
14 Replies
692 Views
MJUMBE wa Baraza Kuu la Wazazi - CCM Taifa kupitia Mkoa wa Mtwara, Ndg. Idrisa Yusuph Nannila, amehutubia katika kampeni kabambe ya kuhamasisha vijana kushiriki kikamilifu katika mchakato wa...
2 Reactions
1 Replies
249 Views
Anazidi kujenga hoja kuwa mchakato wa katiba mpya utaanza upya lini japo nasikia kashaitwa uhamiaji kuhojiwa uraia wake lakini wenye mapenzi mema tuzidi kumuombea Askofu huyu asiyeogopa kusema ukweli.
32 Reactions
70 Replies
7K Views
Kwa ufupi Kundi la watetezi wa haki za binadamu watachukuliwa kama wachochezi. By Elizabeth Edward, Mwananchi Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa Katoliki Ngara, Severin Niwemugizi amesema yuko...
30 Reactions
217 Replies
25K Views
Mbunge wa Nzega Mjini, Mhe. Hussein Bashe baada ya kukamatwa na kuhojiwa kwa Askofu Niwemugizi katumia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa twitter na kusema maoni yake juu ya swala hilo...
12 Reactions
54 Replies
7K Views
*SIRI IMEFICHUKA!!!!!!* • Maaskofu waukana Ujumbe wa Pasaka. • Maaskofu 4 wa TEC waliouandika wajulikana • Majina yao haya hapa, kwa taarifa za uhakika. Nimeshtushwa sana na taarifa...
10 Reactions
119 Replies
26K Views
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Dayosisi ya Morogoro Jacob Mameo, akiongea katika ibada ya Ijumaa Kuu katika usharika wa Ifakara Mjini, ametoa wito kwa Watendaji wa Serikali kuto...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa muda mrefu kanisa Katoliki limekuwa na uhusiano wa karibu na utawala - na katika dunia ya leo kanisa limekuwa karibu na watawala - Ukaribu huo ulijenga kuheshimiana - Kanisa linapoanza kukosa...
44 Reactions
177 Replies
21K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…