Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kisheria, chama chochote cha kisiasa ni legal entity. Kinaweza kufungua au kufunguliwa mashitaka kwa jina lake chenyewe (in its own right). Hivyo, ni upumbavu mtupu kuwakamata viongozi wa chama...
2 Reactions
8 Replies
427 Views
Mkuu wa KKKT Askofu Dr Malasusa amesema jana alifuatwa na muumini mmoja ambaye aliomba kuombewa ili afanikiwe kushinda ubunge Askofu Malasusa Ametoa wito Wakristo wajitokeze kwa wingi kugombea...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Napenda kuwakumbusheni na kuwataarifuni ya kuwa mnapoona Lissu anatoa lugha za uchochezi,ubaguzi na kuhamasisha vurugu na machafuko hapa Nchini . Ni kwa sababu hana...
4 Reactions
386 Replies
13K Views
Asalam Aleykum wana JF. Ama baada ya salamu hizo, niende kwenye hoja moja kwa moja. Ndugu zangu, upo usemi usemao "Duniani, kitu pekee ambacho hakibadiliki, ni mabadiliko!". Mabadiliko...
2 Reactions
9 Replies
538 Views
Mkurugenzi na mwanasheria wa chama kwa sasa hawana mvuto ndani ya nje ya chama. Licha ya mwanasheria kuwa Phd from Havard University lakini ukweli katika kesi za kisiasa haziwezi. Uwasiliwashaji...
0 Reactions
8 Replies
508 Views
Mods naomba muache huu uzi kama ulivyo kwasababu inabidi hawa watu tuwakabili kwa uzito unaostahili. Huyu Sheikh mnafiki na muongo anahoji maaskofu wa katoliki wanamkosoa Samia kwasababu ni...
6 Reactions
28 Replies
2K Views
Ni ukweli usiopingika kuwa CCM sasa wanaiogopa CHADEMA kuliko hata namna wanavyomwogopa Mungu. Ukweli huu unatokana na ukweli kuwa, ni dhahili kuwa Watanzania wote sasa hivi wameona na wameelewa...
33 Reactions
151 Replies
5K Views
Katika miaka 24 ya Mwalimu Nyerere kulikuwa na kesi 3 za uhaini. Maasi ya 1964, kesi ya Mataka, Chipaka, na Bibi Titi, na mwisho kesi ya Hatty McGhee, Eugene Maganga, na wenzao. Lakini tukumbuke...
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Friends and our Enemies, Kama kawaida yao, maaskofu wameendelea na maigizo yao ya kujifanya kuwa wao Wana uchungu zaidi na nchi hii kuliko viongozi wowote wale wa dini. Kinachoshangaza Episodes...
11 Reactions
224 Replies
6K Views
Wajasiriamali na wafanyabiashara katika Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro Jumapili ya Pasaka ya April 20,2025 walisheherekea sikukuu hiyo pamoja na Mbunge wa Jimbo lao la Hai Saashisha Mafuwe...
2 Reactions
1 Replies
360 Views
Kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania, halijawahi kuwa kosa kisheria kwa Mtu yeyote au kikundi cha watu kuhudhuria na kusikiliza kesi ya Mtuhumiwa Mahakamani, labda zile kesi za faragha ambazo...
11 Reactions
44 Replies
2K Views
Niwashukuru sana Kwa dhati Viongozi wote wa DINI ambao wameamua kutoka hadharani na kusema juu ya HAKI. Kwa Tanzania ,HAKI imegeuka kua Chozi la Samaki. Mwaka 2020 , nilinyimwa HAKI ya kuchagua...
12 Reactions
23 Replies
2K Views
Mbinu ya CCM miaka yote ni ileile, kuwalisha Chambo watu wote wanaweza kua kikwazo kwao, ili inturn alokula Chambo awe Hana namna nyingine !!. CCM wamefanya hivo, ili Jeshi lione linajaliwa, na...
4 Reactions
15 Replies
882 Views
Kwa Chama kinachojitambua na kinachoamin katika UTU, Mwijaku alitakiwa kupigwa Marufuki kushiriki Shughuli zozote za kichama Kwa jina la chama. Ila Kwa kua ni CCM , ukiangalia CCM Kwa akili ya...
19 Reactions
30 Replies
2K Views
Kama Wana CCM Wana dini zao wanazoziamini, ni kwa nini huwa hawapendi ukweli usemwe? Dini yoyote ile iwe ya kipagani, kibuddha, kiislamu, kibaniani, kikristo, karibu zote msingi wake mkuu ni...
2 Reactions
5 Replies
276 Views
Waraka wa leo utakaosomwa ndo mtaona utofauti wa dini na utapeli .
10 Reactions
75 Replies
4K Views
Moja ya kosa kubwa linalo fanywa na jamii kubwa ya waafrika ni kujitenga wao na viongozi na uongozi wa eneo husika. Kosa kubwa ni kudhani kuwa Afrika tuna viongozi wabaya na sisi wengine tulio...
12 Reactions
92 Replies
3K Views
Uchaguzi wa 2024 wa serikali za mitaa ungekuwa wa huru na haki leo hii swahiba wa Mama Samia Mbowe angekuwa Mwenyekiti wa Chadema na kusingekuwepo leo No reform no election ambayo ni agenda kubwa...
27 Reactions
51 Replies
3K Views
Mbunge wa Jimbo la Mbogwe mkoani Geita, Nicodemas Maganga, amesema ataendelea kuwa mkali na kusimamia kwa karibu matumizi ya fedha zinazotolewa na serikali kuu kwa ajili ya kutatua changamoto za...
1 Reactions
0 Replies
242 Views
Mngeiita tu SAMIA FESTIVAL… nadhani ingekuwa sawa tu. “kuliko kuweka hilo neno serengeti Majina ya Festival huwa yanatokana na either: • Unachotaka kukinadi • Unachotaka kukienzi • Unachotaka...
1 Reactions
1 Replies
269 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…