Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ni malumbano makali kati ya John Heche [M/Kiti - CHADEMA - kanda ya Serengeti] na Dr W. P. Slaa [Former GS wa CHADEMA] huko club house moja usiku wa kuamkia leo Alhamisi trh 28/4/2022.. Msingi...
10 Reactions
189 Replies
12K Views
Matukio ya kuteka, kupoteza, kuua, na sasa kushambulia wasiokubaliana na serikali vimeanza kuzoeleka nchini. Hali ni mbaya. Mbali na ufisadi uliogeuka donda ndugu, jinai ya kuangamiza, kutisha...
0 Reactions
0 Replies
178 Views
KIJANA Mzalendo, David Nkindikwa ameitaka Mamlaka inayohusika kuchunguza uraia wa Waziri Hussein Bashe akidai kuwa Chama cha Mapinduzi Mwaka 2010 kilimkata jina lake kwa tuhuma za kutokuwa raia wa...
4 Reactions
29 Replies
2K Views
Nimeanza kushtuka kuwa tunapoteza muda wetu bure kumuita muongo Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Muliro anaposema viongozi wa Chadema waliotekwa, kupigwa na kwenda kutupwa Ununio sio polisi wake...
6 Reactions
12 Replies
877 Views
Kilichotokea kwa kiongozi wa dini baada ya kuhamasisha haki na demokrasia kwa mamlaka kinapaswa kuchukuliwa kama kielelezo kwamba kweli nchi haina amani kuna haja ya mabadiliko kweli kweli kuondoa...
1 Reactions
3 Replies
411 Views
Baada ya taarifa ya awali iliyowasilishwa na Mdau kwa kuhusu aliyedai kuwa ni Mlinzi wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche kudaiwa kumshambulia Kada mwingine wa chama hicho, Jeshi la Polisi...
5 Reactions
71 Replies
4K Views
1-People's power 2-Mabadilikoooo 3-M4C.. 4-TONE TONE 5-NO REFORM NO ERECTION
0 Reactions
0 Replies
153 Views
Faustin Munish ameonya matumizi ya nguvu yanayofanywa na polisi dhidi ya raia kuwa si salama na inaweza kuleta machafuko. Faustin ameyasisitiza hayo huku akihusianisha na matukio yaliyotokea...
9 Reactions
50 Replies
2K Views
“Eeh Mola wetu umpe faraja Rais samia, na faraja anayohitaji ni mitano Mingine, Yarrab Nakuomba umpe mitano mingine Rais Samia” Sheikh - Mkoa wa Singida
2 Reactions
32 Replies
3K Views
Kwa kipindi hiki cha msiba wa baba mtakatifu Francesco makadinali kote duniania watakuwa Roma. Na ubalozi wa vaticani watatoa taarifa kwa mabosi wao kule Vaticani. Tanzania inaendelea...
2 Reactions
1 Replies
269 Views
Hapana. Msituchukie wote. Mimi nina kadi ya CCM mwanachama toka mwaka 1985 madogo wengi wamekuja wamenikuta akina mwashamba hawa akina Tlatlaa, huyu mamasamia2025 ni mdada ambaye amekuja ccm miaka...
13 Reactions
10 Replies
848 Views
Mwamakula Ametuma salamu za pole huku akilaani tukio hilo huku akieleza kuiwa tukio hilo haliwezi kuwarudisha nyuma katika kudai haki nchini tanzania ameeleza kuwa misimao hiyo intoka na kile...
11 Reactions
16 Replies
1K Views
Wakati Taifa likingoja uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani utakaofanyika Oktoba mwaka huu, Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango amesema hatarajii kuona wafanyakazi wanabaki nyumbani...
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Siamini kama muovu ni mtu timamu kiakili alietimia namchukulia kama chizi anayepaswa kuchukuliwa hatua za taahadhari wakati wote, kwani chizi anaweza kukuuwa yeye ni jambo dogo hilo yani hana...
1 Reactions
4 Replies
420 Views
Nina wasi wasi Kuna genge linamzunguka Rais Samia na kumziba macho na masikio Nina wasi hata na IDARA ya habari inamsomea Rais Samia habari anazotaka kuzisikia TU zile zinazomaema Rais hasomewi...
3 Reactions
5 Replies
400 Views
Kitendo cha John Mrema kufukuzwa Chadema ni cha kusikitisha mno, hasa ikizingatiwa kwamba, Mtu huyu tumeshirikiana naye katika mengi ndani ya Chama, (ofisi ya Katibu Mkuu imethibitisha kupokea...
14 Reactions
31 Replies
3K Views
John Heche achapisha ujumbe wa Tayari kwa kazi, no turning back, Get ready round ya tatu, ulioambatanishwa na picha ya magari mapya aina ya Ford Ranger
17 Reactions
38 Replies
3K Views
Watu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa Katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa, Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi. Taarifa ambayo Matukio Daima...
18 Reactions
259 Replies
16K Views
CCM kuweni makini msirudie makosa tena. Hawa watoto wa viongozi hawawezi Kufanya Kazi nyingine . Au waliambiwa wao ndio wanastahili kuongoza hii nchi . Gharama alizompa Millardayo kwanini...
7 Reactions
92 Replies
4K Views
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akubali ongezeko la 23.3% kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma.
44 Reactions
740 Replies
89K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…