Nimeshangaa sana mimi kama Mwalimu.
Rais Samia pia alikiri changamoto zilizotokea kutokana na vurugu na ukosefu wa utulivu siku ya uchaguzi na muda mfupi baada yake, akisema:
“Licha ya...
Kwa afya na umri wake, Museveni apaswa kubadili katiba ili amteue ima mkewe au mwanae ili lolote likitokea kama litakavyotokea, achie usukani na familia iwe salama. Kkkkk.
Unaweza kuzuia kupinga...
Huyu hapa ni miongoni mwa Wanaojiita Mabilionea huku haifahamiki anachomiliki popote Tanzania, kwenye page yake kaweka haya mambo
Sasa wanaokanusha kwanini wasianze na hawa vijana wajinga ili...
Je unaweza kumpa kiongozi heshima kama unajua hajashinda uchaguzi!
Watu wanatumia neno mheshimiwa kwa wale wawakilishi halali wa wananchi sasa kama wewe umeiba kura na kila mtu anajua au wewe...
hahaha kakutana na wababe wenzake, sasa anapata wapi uhalali wa kumvamia muslim ayatola kwa kosa la kudili na waandamanaji? kaweka mpira kwapani.
D.Trump labda amepuuzia ukweli kwamba walioiweka...
Habari ndio hio kwa kifupi.
Wakati wao ukifika, watatia huruma sana.
Akichomoka kipindi hiki yuko madarakani, anaweza kuja kukabidhiwa ICC na mrithi wake kwa mshangao wa wengi kutokana na...
GT
Hili jambo linaudhi sana Kinachofanya Tundu.lissu akae mahabusu mpaka sasa ni kitu gani maaana hatusiki hata ratiba ya kesi yake.
Tumeona huko Venezuela wafungwa wa kisiasa zaidi ya 400...
DKT. MWIGULU AKUTANA NA PROF. MKENDA NA TIMU YA WATAALAM YA WIZARA YA ELIMU
Waziri Mkuu, Dkt.Mwigulu Nchemba leo Januari 15, 2026 amefanya kikao cha kazi na Waziri wa Elimu , Sayansi na...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi akizungumza mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje Ulinzi na Usalama(NUU), inayoongozwa na Mwenyekiti wa kamati,Najma Murtaza Giga...
Askofu Kalikawe Lwakalinda Bagonza kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Facebook anasema:
RAIS APOKEE NYONGEZA YA KERO
Mh. Rais Samia amewatubia Majaji na Mahakimu. Ametumia fursa hiyo kueleza...
Ni kupokezana kijiti kwa familia ya Karume na Mwinyi kuwa marais wa Zanzibar.
Lakini aliyempindua Sultan Jamshid ni John Okello. Ambae hakufaidi hata kwa tone mapinduzi ya Zanzibar.
Leo hii...
Kwako Freeman Mbowe,
Mwenyekiti wa CHADEMA
Ni wazi CDM mnapoteza focus maana Kama alivyosema E Lowassa mwaka 2015 kuwa Chama chenu ni wana harakati zaidi kuliko wanasiasa. Wanaharakati huenda na...
Moja ya mbinu ambazo kwa muda mrefu wanasiasa wamekuwa wakizitumia kufanikisha malengo yao ya kisiasa ni kutoa ahadi za kimkakati zinazolenga makundi maalumu ndani ya jamii.
Siku chache baada ya...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema mwaka 2025, Tanzania ilikabiliwa na vurugu wakati wa uchaguzi ambazo hazijawahi kutokea tangu nchi...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameeleza kuwa diplomasia ya Tanzania imepita katika mtihani mzito zaidi tangu uhuru kufuatia matukio ya...
Africa sijui tutakuja kuamka lini aisee
Unaona viongozi wanapambana sana na Internet linapofika suala la mambo ya msingi mustakabali wa maisha yetu na kutaka haki na utawala bora. Ukweli ni...
Akiongea katika Kituo cha Hija cha Pugu Jimbo Kuu la Dar es Salaam Baba Askofu Ruwaich amewasisitiza wakatoliki kubaki kuwa wakatoliki. Amesema tusiwe wakatoliki wa vijora na kuhongwa.
Awali...
Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akipokea...
https://www.youtube.com/watch?v=Vb7IeyvxrtE
Mzee wetu Mohamed Said ameeleza historia ya chimbuko la BAKWATA. Amesimulia kwa kina mchakato wa kuivunja East African Muslim Society na kuanzisha...