Huyu Mama ambiwe ukweli na watu wake wa karibu, jamii imemtenga haimtaki kabisa,kila anachokifanya yeye au washirika wake kinabuma.
Na kila anayemtete mbele ya jamii anaonekana ni adui na...
Katika kesi inayoendelea Zanzibar ya kupinga matokeo ya ubunge Zanzibar iliyofunguliwa na chama cha ACT mwanasheria mkuu wa serikali ameweka pingamizi akidai mahakama ilipofunguliwa kesi haina...
VIDEO: Wananchi wa Venezuela wakishangilia anguko la Maduro na genge lake madarakani
Great Thinkers, nawakaribisha tuchambue tukio la kukamatwa rais Nicholaus Mafuro wa Venezuela
Marekani...
Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu umeiomba Serikali kumchukulia hatua za kisheria Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima, wakidai kuwa kauli zake za hivi...
Ngoja niwaambieni ukwel hawa Abdul na samia na kikwete kwamba lazima watakwenda jela kwa matendo yao ya mauwaji hawa tupo nao sana kama pete na kidole.
NImeamua kumteua Baba Askofu Bagonza Kuwa mshauri wa Rais kitengo Cha KATAA MACHAWA na wanafiki katika TAIFA la Tanzania. Je wadau mnasemaje? Staki mnishawishi nimteue na shekhe mkuu awe mwosha...
Kusema umeliponya taifa kwa kuwaomba Mabalozi msamaha ni kejeli kwetu,
Kusema unalijenga taifa kwa kuanzisha wizara ya vijana ni drama za mchana kweupe maana tuliisha kuwa nayo ikaishia kuwasaidia...
Amani imetafsiliwa na viongozi walioko madarakani ni.
▪︎ kutokuwepo kwa migomo au maandamano ya kupinga ama kukataa jambo lolote. Iwe kwa watumishi wafanyakazi,wafanya biashara na wakulima.
▪︎...
Juzi, Samia alisikika akijigamba kuwa aliunda wizara ya vijana ili kuiponya taifa. Je, kati yake na taifa, nani anastahiki kuponywa kwanza na je, alimaanisha nini au ni tambo tu.
1. Magufuli hakuwa mwongeaji mzuri. Mi huwa naweka tu mambo wazi wala sina wa kumwogopa. Magufuli hakuwa na good communication skills. Ila akili ya utendaji na misimamo alikuwa nayo.
Bi Chamdele...
Moja ya alama ya mtu yoyote aliyesoma na kuelimika ni uongeaji wake. Hata mtu ambaye hajasoma shule sana ila ni msomaji wa vitabu, ni rahisi kumtambua. Kuanzia upangaji wake wa maneno, akiwa...
Mama Samia ameshinda tuzo ya Tyrant of the Year. Watanzania wengi walimpigia kura. Walihamasishana mitandaoni na wakafanya kampeni kuhakikisha anashinda. Lakini ukweli ni huu: sidhani kama...
Nimeshangaa sana mimi kama Mwalimu.
Rais Samia pia alikiri changamoto zilizotokea kutokana na vurugu na ukosefu wa utulivu siku ya uchaguzi na muda mfupi baada yake, akisema:
“Licha ya...
Kwa afya na umri wake, Museveni apaswa kubadili katiba ili amteue ima mkewe au mwanae ili lolote likitokea kama litakavyotokea, achie usukani na familia iwe salama. Kkkkk.
Unaweza kuzuia kupinga...
Huyu hapa ni miongoni mwa Wanaojiita Mabilionea huku haifahamiki anachomiliki popote Tanzania, kwenye page yake kaweka haya mambo
Sasa wanaokanusha kwanini wasianze na hawa vijana wajinga ili...
Je unaweza kumpa kiongozi heshima kama unajua hajashinda uchaguzi!
Watu wanatumia neno mheshimiwa kwa wale wawakilishi halali wa wananchi sasa kama wewe umeiba kura na kila mtu anajua au wewe...
hahaha kakutana na wababe wenzake, sasa anapata wapi uhalali wa kumvamia muslim ayatola kwa kosa la kudili na waandamanaji? kaweka mpira kwapani.
D.Trump labda amepuuzia ukweli kwamba walioiweka...
Habari ndio hio kwa kifupi.
Wakati wao ukifika, watatia huruma sana.
Akichomoka kipindi hiki yuko madarakani, anaweza kuja kukabidhiwa ICC na mrithi wake kwa mshangao wa wengi kutokana na...
GT
Hili jambo linaudhi sana Kinachofanya Tundu.lissu akae mahabusu mpaka sasa ni kitu gani maaana hatusiki hata ratiba ya kesi yake.
Tumeona huko Venezuela wafungwa wa kisiasa zaidi ya 400...
DKT. MWIGULU AKUTANA NA PROF. MKENDA NA TIMU YA WATAALAM YA WIZARA YA ELIMU
Waziri Mkuu, Dkt.Mwigulu Nchemba leo Januari 15, 2026 amefanya kikao cha kazi na Waziri wa Elimu , Sayansi na...