Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Huyu Mama ambiwe ukweli na watu wake wa karibu, jamii imemtenga haimtaki kabisa,kila anachokifanya yeye au washirika wake kinabuma. Na kila anayemtete mbele ya jamii anaonekana ni adui na...
51 Reactions
154 Replies
3K Views
  • Redirect
Katika kesi inayoendelea Zanzibar ya kupinga matokeo ya ubunge Zanzibar iliyofunguliwa na chama cha ACT mwanasheria mkuu wa serikali ameweka pingamizi akidai mahakama ilipofunguliwa kesi haina...
0 Reactions
Replies
Views
VIDEO: Wananchi wa Venezuela wakishangilia anguko la Maduro na genge lake madarakani Great Thinkers, nawakaribisha tuchambue tukio la kukamatwa rais Nicholaus Mafuro wa Venezuela Marekani...
11 Reactions
37 Replies
886 Views
Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu umeiomba Serikali kumchukulia hatua za kisheria Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima, wakidai kuwa kauli zake za hivi...
8 Reactions
193 Replies
5K Views
  • Redirect
Ngoja niwaambieni ukwel hawa Abdul na samia na kikwete kwamba lazima watakwenda jela kwa matendo yao ya mauwaji hawa tupo nao sana kama pete na kidole.
4 Reactions
Replies
Views
NImeamua kumteua Baba Askofu Bagonza Kuwa mshauri wa Rais kitengo Cha KATAA MACHAWA na wanafiki katika TAIFA la Tanzania. Je wadau mnasemaje? Staki mnishawishi nimteue na shekhe mkuu awe mwosha...
3 Reactions
3 Replies
100 Views
  • Redirect
Kusema umeliponya taifa kwa kuwaomba Mabalozi msamaha ni kejeli kwetu, Kusema unalijenga taifa kwa kuanzisha wizara ya vijana ni drama za mchana kweupe maana tuliisha kuwa nayo ikaishia kuwasaidia...
3 Reactions
Replies
Views
Amani imetafsiliwa na viongozi walioko madarakani ni. ▪︎ kutokuwepo kwa migomo au maandamano ya kupinga ama kukataa jambo lolote. Iwe kwa watumishi wafanyakazi,wafanya biashara na wakulima. ▪︎...
4 Reactions
2 Replies
148 Views
Juzi, Samia alisikika akijigamba kuwa aliunda wizara ya vijana ili kuiponya taifa. Je, kati yake na taifa, nani anastahiki kuponywa kwanza na je, alimaanisha nini au ni tambo tu.
3 Reactions
3 Replies
101 Views
1. Magufuli hakuwa mwongeaji mzuri. Mi huwa naweka tu mambo wazi wala sina wa kumwogopa. Magufuli hakuwa na good communication skills. Ila akili ya utendaji na misimamo alikuwa nayo. Bi Chamdele...
20 Reactions
35 Replies
2K Views
Moja ya alama ya mtu yoyote aliyesoma na kuelimika ni uongeaji wake. Hata mtu ambaye hajasoma shule sana ila ni msomaji wa vitabu, ni rahisi kumtambua. Kuanzia upangaji wake wa maneno, akiwa...
8 Reactions
21 Replies
343 Views
Mama Samia ameshinda tuzo ya Tyrant of the Year. Watanzania wengi walimpigia kura. Walihamasishana mitandaoni na wakafanya kampeni kuhakikisha anashinda. Lakini ukweli ni huu: sidhani kama...
58 Reactions
136 Replies
3K Views
Nimeshangaa sana mimi kama Mwalimu. Rais Samia pia alikiri changamoto zilizotokea kutokana na vurugu na ukosefu wa utulivu siku ya uchaguzi na muda mfupi baada yake, akisema: “Licha ya...
3 Reactions
3 Replies
204 Views
Kwa afya na umri wake, Museveni apaswa kubadili katiba ili amteue ima mkewe au mwanae ili lolote likitokea kama litakavyotokea, achie usukani na familia iwe salama. Kkkkk. Unaweza kuzuia kupinga...
2 Reactions
6 Replies
147 Views
Huyu hapa ni miongoni mwa Wanaojiita Mabilionea huku haifahamiki anachomiliki popote Tanzania, kwenye page yake kaweka haya mambo Sasa wanaokanusha kwanini wasianze na hawa vijana wajinga ili...
37 Reactions
142 Replies
6K Views
Je unaweza kumpa kiongozi heshima kama unajua hajashinda uchaguzi! Watu wanatumia neno mheshimiwa kwa wale wawakilishi halali wa wananchi sasa kama wewe umeiba kura na kila mtu anajua au wewe...
6 Reactions
5 Replies
98 Views
hahaha kakutana na wababe wenzake, sasa anapata wapi uhalali wa kumvamia muslim ayatola kwa kosa la kudili na waandamanaji? kaweka mpira kwapani. D.Trump labda amepuuzia ukweli kwamba walioiweka...
3 Reactions
26 Replies
537 Views
Habari ndio hio kwa kifupi. Wakati wao ukifika, watatia huruma sana. Akichomoka kipindi hiki yuko madarakani, anaweza kuja kukabidhiwa ICC na mrithi wake kwa mshangao wa wengi kutokana na...
17 Reactions
40 Replies
589 Views
GT Hili jambo linaudhi sana Kinachofanya Tundu.lissu akae mahabusu mpaka sasa ni kitu gani maaana hatusiki hata ratiba ya kesi yake. Tumeona huko Venezuela wafungwa wa kisiasa zaidi ya 400...
17 Reactions
37 Replies
653 Views
DKT. MWIGULU AKUTANA NA PROF. MKENDA NA TIMU YA WATAALAM YA WIZARA YA ELIMU Waziri Mkuu, Dkt.Mwigulu Nchemba leo Januari 15, 2026 amefanya kikao cha kazi na Waziri wa Elimu , Sayansi na...
1 Reactions
2 Replies
148 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…