UPOTOSHAJI WA MALISA GJ NI WA KUPUUZWA, SINA MPANGO WA KUDAI FIDIA BAADA YA KUSHINDA KESI, MIMI SINA DHIKI YA KISIASA MPAKA NIDAI FIDIA, NINAJITOSHELEZA NA SIASA ZENU NIMEWAA CHIA.
Bwana Malisa...
Taja watoto wa Rais, au waziri yoyote aliywai kuwa kama Maria Sarungi,
Hahahaha Kuna kizee kimoja hapa butimba gerezani kimemtaja, Makongoro Nyerere, sijakishangaa maana kilifungwa miaka ya 1992...
Wewe Mwigulu Nchemba ni muongo sana.
Na inavyoelekea, kusema uongo ni asili yako [pathological liar].
Unadanganya kipumbavu sana. Na kufanya hivyo ni moja ya dalili za kuwa pathological liar...
Ndugu zangu Watanzania,
Hili jambo ni lazima liangaliwe kwa Umakini Mkubwa sana na kuchukua hatua za Makusudi za haraka sana kuwadhibiti kikamilifu na kisawasawa wanasiasa ambao wamekuwa wakijipa...
DKT. MWIGULU: HATUTAFANYA MZAHA NA ANAYETAKA KUVURUGA AMANI YA NCHI
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kulinda amani, usalama wa wananchi na rasilimali za Taifa na...
Ikumbukwe Bwana Civilian Coin au Kisandu alifungwa na Mahakama ya wilaya ya Kahama miaka 7 jela kwa kosa la "Kumtaja mtu mchawi" tangu tarehe 11 April 2022, Aiza Civilian Coin alikata rufaa...
Nimeona kupitia TBC1 hapa mpambano kati ya Burundi na Zanzibari. Nyimbo zao za Taifa zimepigwa, nikasikia melody ya wimbo wa Zanzibar. Hauna mfanano wowote na wimbo wetu wa Taifa.
Inakuwaje...
Ndugu zangu Watanzania,
Aliyekuwa CAG wakati wa Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli Profesa Mussa Assad Amesema ya kuwa Mshahara wake kabla ya Makato ulikuwa ni Milioni 7 . Ambapo Baada ya...
Wakuu,
Nani mwenye update ya hili igizo?
Kesi ya yule mwanajeshi wa Marekani mwenye asili ya Kenya aliyekamatwa na mabomu 4 ilifika mahakamani?
Mtuhumuwa aliachiwa au bado yuko ndani?
Kama...
Wakuu,
Msemaji Mkuu wa Serikali anatarajia kufanya mkutano rasmi na waandishi wa habari siku ya leo, Juni 28, 2026.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Idara ya Habari (MAELEZO) chini ya Wizara...
Siasa za Chadema za kutegemea matamko ya Bunge la Ulaya na Senate ya Marekani ni kiashiria kibaya kwamba
Wale wakoloni ambao Nyerere aliwafukuza wanataka kurejea kwa msaada wa Chadema.
Ni jambo...
Sasa labda ili tuliweke kiudini maana tukiliweka kitaifa TUNAKUTANA na mijitu kama yule shekhe sijui nani, pasipo kumsaau shekhe majini.r.i.p.
Wakatoliki tunayo Nafasi ya kutafakari matendo...
Tanzania hatuna Sheria ya “Self defense gadgets” hivyo silaha nyingi za kujihami zinaangukia kwenye Sheria ya umiliki wa silaha na risasi, hata pepper spray na mishale ile ya kisasa ya chuma...
Naanza kuwajua WABAYA wa Taifa letu taratibu Sasa
Umeme ni kitu MUHIMU saa kwa ulinzi wa Taifa letu😅
Internet ni MUHIMU sana kwa wapinzani wakitaka kupindua inji yetu ya Tanzania.
Naelewa Sasa...
Moja ya changamoto iliyo ndani ya kanisa katoliki ni kitendo cha sisi waumini kwenda kanisani kusali na baada ya Ibada wale waumini utawanyika na kurudi majumbani mwao.
Hali hii ni tofauti sana...