Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Boniface Jacob, amesema kuwa katika suala la kutafuta maridhiano ya kisiasa nchini, aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Jaji Joseph Warioba ni mojawapo...
3 Reactions
2 Replies
150 Views
Watanzania wanaishi katika maigizo makubwa kuliko “Tausi,” “Siri za Familia,” “Jumba la Dhahabu,” na “Bongo Movie” zote zilizowahi kutengenezwa. Maigizo ambayo kila mtu anajifanya haoni, ilhali...
3 Reactions
3 Replies
229 Views
Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Odero Charles Odero, amewataka viongozi wa kisiasa nchini kutumia kauli zinazojenga umoja, faraja na...
1 Reactions
1 Replies
127 Views
Wakuu baada ya Jaji Warioba kueleza kuwa watu waliofariki Oktoba wakati wa maandamano ni wengi kuliko waliofariki kwenye vita ya Kagera Mchungaji Daudi Mashimo ameibuka na kohoji ni wapi Jaji...
2 Reactions
79 Replies
1K Views
Mwaka 2001 baada ya Dhalimu Mkapa kufanya ukatili wa kutisha dhidi ya nchi ya Zanzibar alichomoka kupitia MUAFAKA I. Mwaka 2001 ilikuwa ni rahisi kuficha maovu na ukatili nchini Zanzibari...
59 Reactions
46 Replies
2K Views
Kumbukeni ya kura ni maandamano yasiyo na kikomo.. Kuanza kuyakejeli mapema kiasi hiki ni upungufu mkubwa wa akili Siku ndio kwanza imefika nusu kama ukihesabu kuanzia jana usiku na robo siku kqma...
11 Reactions
88 Replies
2K Views
Akihojiwa na Gazeti la Jamhuri, Waziri Mkuu Mstaafu/Makamu wa Rais na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mstaafu, Jaji Sinde Warioba amesema Bunge la 12 lilikuwa ni bunge dhaifu kwelikweli kuliko...
12 Reactions
20 Replies
531 Views
Jeshi la Polisi mkoani Tabora limewahakikishia wananchi kwamba usalama wao utakuwa wa kimsingi katika sherehe za Krismasi na Mwaka Mpya. Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa...
0 Reactions
3 Replies
125 Views
Hii nchi inazidi kupotea kila kukicha , tunazidi kuingia gizani tusijue tutatokaje. Wahuni wa CCM, wametudharau sana. ============ KUHUSU KUPELEKWA GEREZANI MWANACHAMA WETU DEOGRATIAS PIUS MUSHI...
11 Reactions
43 Replies
1K Views
Wanaukumbi. HIZI SIYO HARAKATI NI AJENDA ZA KUVURUGA NCHI 📌 Hakuna jinsi unaweza elezea watu kuwa ni sahihi kufanya maandamano tena ya kisiasa siku ya sherehe muhimu kama Krismasi...
1 Reactions
61 Replies
750 Views
Leo nimewasikiliza hawa Wamachinga wa Dar na mmoja wao anasema ni bora tupoteze uhai lakini tulitibu taifa. Naona hata hawa tujumuishwe kwenye kundi la Wasanii, kususia biashara zao, twende...
1 Reactions
4 Replies
162 Views
Maajabu ya Samia hayo! Kwamba eti alipata kura zaidi ya milioni 31. Ambazo eti ni 97.6% ya kura zilizopigwa. Ila cha ajabu, akajiapisha uani na kuwanyima fursa hao wapiga kura wake milioni 31...
57 Reactions
166 Replies
4K Views
Habari wana jamvi, huwa siandiki kuhusu siasa humu JF, Mara nyingi utanikuta MMU tu, anyway that's not a story. Story ni hili la kujifunza baada ya mambo yote yaliotokea tangu October 29 mwaka huu...
7 Reactions
11 Replies
331 Views
Watanzania wametakiwa kuwakataa wale wote wanaohamasisha au kuunga mkono mikakati inayolenga kuingiza nchi kwenye machafuko, vurugu au migawanyiko ya kisiasa. Hayo yamebainishwa na kijana...
0 Reactions
5 Replies
155 Views
Wakuu Wajasiliamali wa kada mbalimbali kutoka wilaya zote tano za Jiji la Dar es Salaam wamezungumza na waandishi wa habari leo, Desemba 24, kuhusu msimamo wao juu ya maandamano nchini...
0 Reactions
5 Replies
110 Views
Kwanza tueleze hao mabeberu ni kina nani na ili uwe beberu unatakiwa uwe na sifa zipi? Tusaidie kujua jinsi nchi yetu ilivyo na uongozi Kamili inavyoweza kuhujumiwa na hao mabeberu Tupe mifano...
26 Reactions
230 Replies
2K Views
Kwenye mahojiano na Jamhuri TV, Jaji Mstaafu Joseph Warioba amesema kuwa Serikali ikubali imechangia sana kwenye hali iliyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu, kwani matukio hayo yalifanywa na Serikali...
37 Reactions
70 Replies
2K Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amewasilisha ujumbe maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa...
1 Reactions
22 Replies
485 Views
Kwa miaka mingi Tanzania imejivunia kuwa nchi tulivu na yenye amani barani Afrika. Hata hivyo, mjadala mpya kuhusu usalama wa taifa umeibuka kufuatia kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyosema...
2 Reactions
18 Replies
507 Views
Kwenye mahojiano na Jamhuri TV, Jaji Mstaafu Joseph Warioba amesema kwenye Vita ya Kagera, vijana wengi waliuawa na adui. Aidha, ukilinganisha na takwimu zinazozungumziwa sasa, idadi ya waliokufa...
42 Reactions
77 Replies
3K Views
Back
Top Bottom