Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakati wa Maandamano ya kumtaka aliyekuwa Rais wa Tunisia kujiuzuru na kuondoka Madarakani, Rais huyo Marehemu Ben Ali alimtegemea sana Mkuu wake wa majeshi na Waziri wake wa Ulinzi kutuliza hali...
36 Reactions
112 Replies
5K Views
Naona since Mwezi huu uanze na issue ya Baba mpaka piko kichwani . Kinachofata ni ramli . Kama mpaka muda huu kitalu namba inne hakijalimwa msiniambie chochote kuhusu ramli . Ikiwa hakuna wa...
1 Reactions
6 Replies
476 Views
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima amesema, "Muda hajapita wa kukaa mezani sasa hivi kuna Miezi Mitatu [Julai kuna Agosti na Septemba], Watu hawawezi...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Nani wa kuisaidia kama kila anayestahili kufanya lolote kulinda Nchi anapewa rushwa anyamaze ,asipotii analazimishwa kutii ,wazee wanaotegemewa wamepewa sega wanalamba ,,,wanaothubutu kutokq...
2 Reactions
7 Replies
434 Views
Makamu wa Rais alijiuzulu kugombea tena. Waziri Mkuu akajiuzulu kugombea ubunge. Je kuna mwingine atajiuzulu kugombea kabla ya Oktoba? Tunafatilia…
2 Reactions
12 Replies
647 Views
Tangu wakati wa Chama kimoja, hakuna kipindi ambacho Watanzania waliwahi kufikiri kuwa Mhimili wa Mahakama unaingiliwa na Serikali. Ni bahati mbaya sana, baada ya Mhimili huu kuwa compromised...
13 Reactions
26 Replies
1K Views
Ili nchi ipige hatua viwanda ni muhimu sana, viwanda vinapunguza tatizo la ajira! Magu kidogo alitaka kuanzisha safari flani hivi ila ikaishia njiani... Tunataka ajae aje andeleze pale alipoacha Magu
0 Reactions
1 Replies
185 Views
Zamani Watalii wakija Tanzania kwenye viwanja vyote vya ndege mapato yalikuwa yanakusanywa na kupelekwa Mfuko Mkuu wa Hazina na baadae Benki Kuu ya Tanzania ambapo zilikuwa zinagawanywa wa pande...
41 Reactions
127 Replies
7K Views
Wakuu ni Aibu, Udhalimu na Uonevu mkubwa wanaofanyiwa Hawa Ndugu zetu. Serikali ya Rais Samia, inawafanyisha Kazi Bibi na babu walochoka kabisaz Shughuli za kuchongaabarabara, Njia ,Mitaro na...
1 Reactions
3 Replies
326 Views
Kama unabisha tafiti kuanzia mfumo wa vyama vingi uanze wagombea Urais wa JMT kupitia CCM walipatikanaje! Ukipenda tafiti hata yule wa 1985 alipatikanaje? Itakusaidia kuujua utamaduni wa CCM na...
1 Reactions
3 Replies
250 Views
Humphrey Polepole anaposema mchakato wa kumpata mgombea wa CCM ulikuwa haramu, nadhani anazungumzia mambo kama haya. 👇 Hapa Jakaya Kikwete anaonekana kuongoza kikao cha mkutano Mkuu wa CCM...
45 Reactions
149 Replies
8K Views
Naam wakuu, Leo ni Jumapili nyingine. Nimezoea kukutana na mnakasha humu JF au kukutana na mabandiko katika makundi sogozi ya WhatsApp yakiambatana na picha yakionyesha Rais alikoshiriki ibada...
26 Reactions
522 Replies
93K Views
Baada ya hotuba ya Ndugu Polepole,nimegundua sijui mchakato wa kumpata mgombea Urais wa CCM,naomba kueleweshwa?
4 Reactions
15 Replies
696 Views
Rais Samia amepeleka vijana wengi katika Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), amepanua miundombinu na kuongeza idadi ya vijana wanaojiunga na jeshi kutoka 160,427 mwaka 2020 hadi 190,059 mwaka 2025...
4 Reactions
44 Replies
2K Views
Waswahili wanasema Muhuni hasusiwi,na akisusiwa yeye hajali anakula tu! Ila muungwana akisusiwa anauliza,kwa nini mmesusa,ebu tuwasikilize na tufikie muafaka.
0 Reactions
1 Replies
238 Views
Wakati wazungu wakituhurumia jinsi tunavyopigwa Watanzania, jinsi tunavyokandamizwa, jinsi viongozi wa dini wanavyoshughurikiwa wanapoamua kusimamia kweli, wanasiasa wa vyama vya upinzani na hata...
6 Reactions
14 Replies
823 Views
Huyu Mzee alihudhuria Kesi ya Tundu Lissu Kisutu tarehe 16/7/2025 na alitokea Babati, Ni kiongozi wa Bazecha Babati anaitwa Francis Luumi Taarifa zinaeleza kwamba baada ya kesi hiyo aliwaaga...
17 Reactions
59 Replies
4K Views
Nyie Mungu ni mwema sana. Samia na genge lake walipanga mipango mingi sana ya kuiumiza Chadema. Wakaanzisha migogoro kupitia msajiri na mahakama. Wakaanzisha chama shikizi Ili kuhadaa jamii ya...
21 Reactions
80 Replies
5K Views
MUSTAKABALI WA TANZANIA KATIKA CHANGAMOTO ZA KISIASA NA MCHAKATO WA KATIBA MPYA Tanzania ni nchi yenye historia ya kipekee katika Bara la Afrika – historia ya amani, mshikamano, na uvumilivu wa...
0 Reactions
0 Replies
337 Views
Mimi sio nabii kuna rushwa za chini chini zinatembea kwa wajumbe wa CCM baada ya vikao kuhairishwa
0 Reactions
4 Replies
410 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…