Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wadau watia shaka mwingiliano wa matukio ya kisiasa na burudani nchini Dar es Salaam, 1 Agosti 2025 – Kuzinduliwa kwa wimbo mpya wa msanii maarufu wa Bongo Fleva, Zuchu, umeibua mjadala...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari ndio hiyo. Wajumbe tayari wako njiani wanakuja. Jiandaeni kupata mgombea Urais wa Upinzani wa CCM B.
17 Reactions
65 Replies
4K Views
Mods ,tafadhali msiiunganishe Huu Uzi. Hii ni Hoja Nzito sana ambayo katika yote inaendelea kutulia Uzito wa Kwanini Samia hatakiwi kua Rais Tena !!. Mh Polepole akigusia kuhusu Mzee Mpango...
12 Reactions
51 Replies
5K Views
Kwa haraka haraka ungeniuliza ni nani angefaa kuwania uraisi CCM ningemtaja majaliwa, hata kama kungekuwa na reforms majaliwa kama angeendeleza uwajibikaji zaidi angeshinda kwa kura Nilitegemea...
2 Reactions
28 Replies
1K Views
Asalaam Alaykum, Bwana Yesu asifiwe, Shalom, Tumsifu Yesu Kristo. Kutokana na mambo yanayoendelea nchini kwa Sasa Kisiasa na kijamii. Nami nikiwa mmoja wa raia wa Tanzania wanaotamani kuona...
0 Reactions
0 Replies
122 Views
Hakuna mwanafamilia anayempigia Kampeni Jesca Magufuli lakini ni Matunda ya Uzalendo wa baba yake mzazi Aliposimama tu ukumbi mzima ukaripuka kwa shangwe “ tuna Imani na binti wa Shujaa “...
0 Reactions
9 Replies
553 Views
Mgombea wa Nafasi ya Ubunge Viti Maalumu Kupitia UVCCM Vijana ( Jasmine Mumbi ) akipiga Magoti Kuwaomba Kura za Ndio Wajumbe wa MKUTANO Mkuu Maalumu wa UVCCM Taifa .
0 Reactions
16 Replies
746 Views
Waziri Kombo ashiriki Maadhimisho ya Miaka 35 ya Uhuru wa Namibia, Atoa Wito wa Umoja kwa Maendeleo ya Afrika Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit...
0 Reactions
0 Replies
330 Views
Nikweli hamna wakuxuwia na mtakacho ndio kinakuwa. Watanzania ni mali yenu mnaweza kufanya chochote na hakuna wakuwafanya lolote. Basi sawa hongereni sana ila kaburi la baba Wataifa lipo hapa...
20 Reactions
51 Replies
3K Views
Tunakumbushana tu na Balozi Polepole maana mkeka wote ulishatabiriwa Ni vema atulie Rais Samia akamilishe muhula wake wa pili Mlale unono 🙏😄✔️
1 Reactions
6 Replies
570 Views
Ndugu wana JF, Haya mambo ya wajumbe CCM naona itakuja kuleta shida huko tuendako. Wajumbe wanataka rushwa na wanaweza kuleta mtu ambaye wanachama hawamtaki. Pia kumekuwepo na chuki miongoni...
1 Reactions
3 Replies
384 Views
Wakuu, Naanza kuamini Tanzania unaweza ukakuta Tanzania kweli ni chaneli ya vichekesho huko mbinguni Mwanri kaendelea kutoa comedy kwa ujumbe katika harakati za kupata maoni huko Sia
14 Reactions
53 Replies
4K Views
Ndugu zangu Watanzania, Baada ya Polepole kuona anaendelea kupuuzwa na kusahaulika kabisa akilini na midomoni mwa Watanzania, sasa ameanza kutunga uongo, kufanya uchonganishi wa kidini...
2 Reactions
69 Replies
3K Views
Sote tunafahamu kuwa Makonda alikuja Arusha baada ya kuteuliwa kuwa mkuu wa Mkoa. Kabla ya hapo, hakuwahi ishi zaidi ya mwaka mmoja. Hana makazi ya kudumu. Hajui matatizo ya watu wa Arusha na...
9 Reactions
85 Replies
3K Views
Wasalaam Poleni wazee mliotia nia hivi karibuni... Nafikiri mnakumbuka niliwatahadharisha ila uzoefu mmeupata. CCM ina wenyewe. Tukazane kufanya kazi tutunze familia zetu mambo ya uongozi inji...
0 Reactions
0 Replies
228 Views
Msio uelewa ndo mwelewe maana ya movement ya kutaka mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania chini ya slogan ya #NoReformsNoElection. Maana yake ni kuondoa udanganyifu na uchafu kama huu👇👇 Na...
0 Reactions
0 Replies
203 Views
Ombi la Msamaha kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu Mheshimiwa Tundu Lissu Kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kwa heshima na taadhima kubwa, napenda kutoa ombi...
6 Reactions
104 Replies
3K Views
Uwa najiuliza majizi na mafisadi ya nchi hii ambavyo yalikuwa yakimpigia kelele Magufuli lakini sasahivi yapo kimya Nini kimebadilika? Mafisadi Kama Msongola &.com nini kimebadilika ? Magufuli...
2 Reactions
4 Replies
337 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…