Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Rais Samia ametumia TZS6.6Trilioni kukamilisha ujenzi wa Bwawa la Mwl Nyerere na kuifanya Tanzania kuwa na uzalishaji wa MW4,032 sawa na ziada au umeme usio na kazi MW740. Bwawa la umeme la...
5 Reactions
55 Replies
2K Views
Tamasha la Utamaduni la Bulabo. Limepigiwa chapuo na UN katika kuendeleza Utamaduni wa asili wa Mwafrika kama Mkataba wa UNESCO Convention on Intangible Cultural Heritage wa 2003 unavyoelekeza...
1 Reactions
11 Replies
596 Views
Nyakati zinakimbia sana! Miaka 10 iliyopita wakati wa kampeni za kumuweka madarakani John Pombe Magufuli, hayati Benjamin Mkapa alitupa tusi lenye kejeli ndani yake la kutuita malofa. Sijui nini...
0 Reactions
16 Replies
555 Views
CHADEMA NJOONI MBISHE KAMA HAMJAPEWA PESA ZA NO REFORMS NO ELECTION NA SERIKALI YA CCM. Rais Samia ameliwezesha Baraza la Vyama vya Siasa kufanya mikutano sita (6) na baraza hilo kutoa mawazo na...
2 Reactions
50 Replies
2K Views
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi wakiendelea kumiminika katika viwanja vya Mtekelezo jirani na makao makuu ya chama hicho kwa lengo la kumpokea Mgombea Urais wa chama hicho na Rais wa Jamhuri ya...
0 Reactions
0 Replies
315 Views
0 Reactions
3 Replies
262 Views
Prof Lipumba hatagombea Urais wa JMT October mwaka huu Sijui ameogopa nini? Mlale unono 😄🙏
5 Reactions
16 Replies
818 Views
Vita ya Wanamtandao na Sukuma Gang imefika sehemu mbaya sana. Tatizo kubwa walilo nalo sukuma gang ni kutokuwa na kifua. Wanaongea sana. Na kwenye kuongea sana Wanauzana sana na kujiweka...
40 Reactions
143 Replies
11K Views
Polepole amemtaka Mnadhimu mkuu wa CCM Mzee Wassira kuyadhibiti Makundi ndani ya UVCCM kabla hayajaleta madhara makubwa zaidi Swali langu: Makundi ni Udhaifu au ni Afya kwa Demokrasia...
2 Reactions
8 Replies
530 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli leo tarehe 29 Novemba, 2020 amefanya uteuzi wa Wabunge 2 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwanza, Mhe. Rais...
20 Reactions
298 Replies
33K Views
Lengo na matamanio ya Jumanne Kaseja ni kuhakikisha Mwanae kipenzi anakuwa kocha mkuu mwaka 2030. Kwahiyo kelele sio kwamba hazisikii anazisikia vizuri Ila lazima maono yake yatimie.
4 Reactions
13 Replies
861 Views
Huku kijijini kwetu Masalawe Kongwa nilikotoka kuleta mhogo mkubwa kuliko yote hapa Nanenane Dodoma nimeshangaa kumwona Bashe anapiga kazi eti ni waziri na anatumia V8 ya serikali. Mbona mhe...
0 Reactions
4 Replies
364 Views
Wakuu, Inaonekana kama Musiba baada ya kukatwa na CCM akili zimeanza kumrudi. Leo akiwa anaongea na waandishi wa habari ameomba radhi watu wote ambao aliwakosea kipindi hicho na akaongeza kuwa...
18 Reactions
131 Replies
7K Views
Nakumbuka msiba wa baba wa Taifa ndiyo ulikuwa msiba wa kwanza kuleta huzuni kwa Taifa la Tanzania,msiba wa pili ni wa Rais wetu kipendwa Magufuri,naamini pazia la huzuni ya kweli lilifungwa kwa...
3 Reactions
45 Replies
2K Views
Ashukuriwe Mungu wa mbinguni bwana wa majeshi kwa kutupenda mno sisi hata ikampendeza machungu yetu hatimaye kufikia mwisho labda tena kwa salama. Tulipo hatuko mbali na tunakopahitaji yaani...
10 Reactions
23 Replies
1K Views
Ndugu Byabato usiendelee na hizo dharau za kusema unaweza kuwachagulia wananchi wa Bukoba mjini Mbunge . Kuwa makini Sana wala usithubutu kuingia katika huo mtego wa kushindana na Mwenyekiti wa...
0 Reactions
1 Replies
391 Views
1. Atapigiwa mizinga? 2. Bendera ya Taifa je? NB: utaratibu wa Misosi na vinywaji hapo Msibani upoje?
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Naanzia hapa na kila ukiweka update tutaipandisha hapa kwa faida ya wengi na kwa faida ya RAIS wetu mpendwa 1. Mwenyekiti amezungukwa na wana mtandao ambao wana maslahi binafsi 2. Mwenyekiti...
6 Reactions
9 Replies
1K Views
Joseph Goebbels alikuwa mwenezi wa sera za chama cha kidikteta cha Adolf Hitler. Hitler alikuwa moja ya madikteta katili kabisa dunia imewahi kuwafahamu. Mtu aliyetumika kuupika na kuuukubalisha...
8 Reactions
52 Replies
2K Views
Ni kweli Ugonjwa ni Siri ya mtu, lakini ukishakuwa public Figure kwa baadhi ya Sheria za nchi , diagnosis yako itawekwa hadharani. Hii yote ni kuondoa Conspiracy na Confusion kwenye jamii. Kwa...
59 Reactions
224 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…