Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Habari za Jumapili. Inavyoonekana Samia anatamani sana kumuachia Lissu kama mfalme Sedekia alivyotamani kumuachia Nabii Yeremia, ila kuhofia ushawishi wa watesi. Kama Pilato alivyotamani...
11 Reactions
32 Replies
2K Views
Sisi Wanachama wa CCM tumebaki kama Yatima tusijue la kufanya. Watu pekee tunaosikia nyundo zao ni Gwajima, Polepole, Warioba, Lissu na Mpina. Tumewasikiliza mpaka vifua vyetu vijamaa. Takribani...
3 Reactions
3 Replies
455 Views
Hivi ukiangalia CCM chama kimajaa wazee wakina Kikwete, Samia. Vijana wengi hawana uwezo Chadema angalia viongozi wao ni vijana
1 Reactions
2 Replies
210 Views
Na Betty Kangonga | Tanzania Daima TUME ya Utumishi wa Mahakama imemjia juu Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (CHADEMA) na kusema kuwa hakuna jaji mwenye upungufu wa sifa za kuwa jaji...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu inaendelea leo Agosti 18, 2025 ambapo Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...
1 Reactions
8 Replies
999 Views
Mheshimiwa pole Kwa mipango ya uchaguzi unayoendelea nayo.Kwa unyenyekevu mkubwa nimeona nikutumie salama, ningekuwa na namba yako ya mawasiliano ningekutumia private, Kwavile sina naomba uzipotee...
21 Reactions
28 Replies
2K Views
Wakati wakiulizana nani atamfunga paka kengere . Mnabidi kujua Lissu ndo mwanasiasa pekee ambaye hakuna MTU ameemwahi kupambana nae akamshinda.
3 Reactions
11 Replies
869 Views
Tofauti ya 2015 na 2025 ni vigumu kudanganya. Kila mtu anajua ujanja wote wa wizi wa kura, kila mtu anajua viongozi wa uchaguzi, kila mtu anajua ACT Wazalendo na Chaumma ni pandikizi. Hii ndiyo...
3 Reactions
1 Replies
264 Views
Kwakuwa Kwa sasa Chadema inafanyiwa hujuma mbalimbali. Naomba wawekeze Katika majukwaa ya mitandaoni , Hizi Hujuma wanazofanyiwa Chadema zisiwe sababu za wao kurudi Nyuma. Tone Tone iendelee...
3 Reactions
9 Replies
358 Views
Ni kilio kwa wakulima kuporomoka bei ya mbaazi. Mwaka jana kilo moja ilinunuliwa tsh 4000 ila leo 2025 ni tshs 800 .Yaani kutoka efu nne hadi Mia nane. Hii si kawaida kwa miaka ya uchaguzi...
8 Reactions
50 Replies
4K Views
Nashauri Lissu amjumuishe Pasco Mayala ili awe ana-watch brief katika kesi ya uhaini. Kwa kuwa kesi inahusisha mwanasiasa na Mayala(manjaa) ni mwandishi wa muda mrefu wa masuala ya siasa na...
0 Reactions
7 Replies
385 Views
Labda tuelimishane hapa. Ya nini kushirikiana na mahakama Hadi hapa tulipo? Looh! .
1 Reactions
8 Replies
989 Views
Kinyang'anyiro cha kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kusaka Wagombea Ubunge, uwakilishi na udiwani kilichofanyika nchini kote Agosti 4, 2025, kimefichua hatari kubwa inayokikabili...
0 Reactions
1 Replies
527 Views
Mfumo wa vyama vingi tunaoutumikia sasa haukuwa takwa la Wananchi walio wengi bali Dola iliulazimisha ili kuwafurahisha Wafadhili wa ubeberuni Vijana ambao ndio wengi ili Wajue ni mfumo gani...
1 Reactions
2 Replies
225 Views
Kazi imeanza Bariadi https://www.instagram.com/reel/DNfvAyZIZYo/?igsh=d2toMndxNWVpMDB6
1 Reactions
32 Replies
818 Views
15 Agosti 2025 Kamati ya Maadili ya FIFA Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) FIFA-Strasse 20 S.L.P. 8044 Zurich, Uswisi KUMBUKUMBU YA MALALAMIKO RASMI DHIDI YA KLABU YA YOUNG AFRICAN SPORTS CLUB...
39 Reactions
292 Replies
15K Views
Wanabodi Dunia imebadilika. Masuala ya wagombea kutumia makaratasi na mbao kutengeneza mabango yamepitwa na wakati. Kwanza ni uharibifu wa mazingira. Watanzania wengi wana smart phones na vifaa...
0 Reactions
0 Replies
91 Views
Siwezi sema hakukuwa na matukio ya matumizi ya vyombo vya dola kutumika visivyo kwa maslahi ya Ccm[ kwa state party yoyo duniani hiyo ni 3.14]. Na wala siwezi sema utawala wa kikwete haukuwa na...
3 Reactions
32 Replies
1K Views
Nakumbuka siku zile kuna mtu alikaa kimya kwa utulivu huku akiombewa na Mchungaji Mwamposa,naamini hata huko msikitini huwa anaomba Vivyo hivyo tulimuona na kikweta naye akiwa kanisani ingawa...
0 Reactions
4 Replies
399 Views
Salaam! Tumelalamika humu mara nyingi kwamba wasomi sasa ni wengi, tunaweza kuajiri polisi kwa kigezo Cha degree na wakatosha, sababu mtaani kuna wasomi wengi, Sasa hili la kuajiri wagombea wa...
2 Reactions
67 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…