Maporomoko bei ya mbaazi Wakulima walia na Samia

Maporomoko bei ya mbaazi Wakulima walia na Samia

Equitable

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2021
Posts
2,124
Reaction score
5,698
Ni kilio kwa wakulima kuporomoka bei ya mbaazi. Mwaka jana kilo moja ilinunuliwa tsh 4000 ila leo 2025 ni tshs 800 .Yaani kutoka efu nne hadi Mia nane. Hii si kawaida kwa miaka ya uchaguzi. Pengine ni hujuma dhidi ya. CCM.
 
Ni kilio kwa wakulima kuporomoka bei ya mbaazi. Mwaka jana kilo moja ilinunuliwa tsh 4000 ila leo 2025 ni tshs 800 .Yaani kutoka efu nne hadi Mia nane. Hii si kawaida kwa miaka ya uchaguzi. Pengine ni hujuma dhidi ya. CCM.
mbaazi walipiga 4000 mwaka jana? --- hii 800 mnada wa mkoa gani?

huu mwaka bei za mazao ni simanzi tupu
 
Hivi bei ya mazao anaamua rais au soko? Wale ambao walimsifu rais mwaka jana na wanao mlilia mwaka huu wote hakuna wanacho jua kuhusu biashara.
 
Ni kilio kwa wakulima kuporomoka bei ya mbaazi. Mwaka jana kilo moja ilinunuliwa tsh 4000 ila leo 2025 ni tshs 800 .Yaani kutoka efu nne hadi Mia nane. Hii si kawaida kwa miaka ya uchaguzi. Pengine ni hujuma dhidi ya. CCM.
Bei ya mazao haina uhusiano na uchaguzi,,,ni hali ya hewa na masoko.
 
Ni kilio kwa wakulima kuporomoka bei ya mbaazi. Mwaka jana kilo moja ilinunuliwa tsh 4000 ila leo 2025 ni tshs 800 .Yaani kutoka efu nne hadi Mia nane. Hii si kawaida kwa miaka ya uchaguzi. Pengine ni hujuma dhidi ya. CCM.
Natumanini unafahamu utaratibu wa kununua Mbaazi?
Sasa Je, kwa utaratibu ambao unafahamika, ni wapi mwaka jana Mbaazi zilinunuliwa kwa Tzs 4000 kwa kilo Moja? (Ukitaja hata Wilaya tu, nitashukuru).
Na, je ni wapi sasa hivi Mbaazi inanunuliwa kwa Tzs 800 kwa kilo moja? (Na hapa ukitaja bei ya mnada wa mwisho kufanyika au wilaya ambayo mbaazi imeuzwa 800 pia nitashukuru.

Naomba kuwasilisha na karibu kwa majibu
Latest auction imefanyika Simiyu, link hii hapa chini
 
Ni kilio kwa wakulima kuporomoka bei ya mbaazi. Mwaka jana kilo moja ilinunuliwa tsh 4000 ila leo 2025 ni tshs 800 .Yaani kutoka efu nne hadi Mia nane. Hii si kawaida kwa miaka ya uchaguzi. Pengine ni hujuma dhidi ya. CCM.
HATUNA DENI NA WEWE ,WEWE NDIO UNATUDAI
 
Ingawa amekuwa si mzuri kwenye usimamizi, je Samia anahusika vipi na bei ya Mbaazi?
hivi wewe unajua hata maana ya serikali na rais wa nchi? au umejaza viazi huko kichani na si ubongo? stupid[emoji34]
 
Back
Top Bottom