Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

29 May 2025 Tokyo, Japan PM MAJALIWA - JAPAN YAKARIBISHWA KUWEKEZA NCHINI TANZANIA https://m.youtube.com/watch?v=OZi6y1z9ffE Waziri mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa asema kuwa Japan imekubali sasa...
0 Reactions
6 Replies
673 Views
KIROHO ili Familia isonge mbele , au nchi isonge mbele , huwa haitajiki MTU mwenye mali na fedha pekee Ila anahitajika mbeba maono. Ndo maana mmeona yule jamaa alikuwa na Mali hazina idadi , Ila...
0 Reactions
0 Replies
209 Views
Nchi yangu imekuwa kituko katika ukanda wa afrika mashariki na kati , viongozi wamejivisha ngozi ya kondoo wakihadaa wananchi wanafanya kazi kwa ajiri ya kuwaketea maendeleo ambapo kiuhalisia...
1 Reactions
0 Replies
166 Views
Ratiba ya uteuzi wa watia nia kwa nafasi ya Ubunge inaanza tarehe 22 Agosti, 2025. Tayari kura za maoni zilikwishapigwa katika Majimbo yote. Kuna habari kuwa Katika Jimbo la Rorya wapiga kura...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Mimi si mpenzi wa mropokaji Lissu. Si mpenzi wa CHADEMA. Lakini haki ina misingi yake ya uwazi na ukweli. Sasa tunaambiwa: -mashahidi wa serikali ni siri ya Tsifa - utangazaji wa kesi sasa ni siri...
3 Reactions
6 Replies
764 Views
Isihaka Mchinjita, Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Bara, amesema kuwa wakati wa kampeni za ndani ya CHADEMA za kumtafuta Mwenyekiti, taswira ya chama iliharibika sana kutokana na makundi ya...
0 Reactions
9 Replies
861 Views
Wanaboadi, hii kitu imekua kimya na huisikii popote tena baada ya taifa la shithole kukopa matrilioni ya pesa ambazo kenge tutalipa maisha yetu yote hadi vitukuu vyetu. Hatusikii kwenye bajeti...
0 Reactions
7 Replies
516 Views
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema kuwa Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu sasa inakwenda Mahakama Kuu. Mahakama imesema kuwa pande zote kwenye shauri hilo...
5 Reactions
27 Replies
4K Views
......Therefore, advocating revolution or advocating even violent overthrow of State, does not amount to sedition, unless there is incitement to violence & more importantly, incitement is to...
0 Reactions
2 Replies
500 Views
Kama nilivoandika kwenye kichwa cha Uzi huu. Sijaandika uzi huu nikiwa na mihemko ya kisiasa lakini binafsi katika maono yangu simuoni tena katika KITI cha URAIS 2025-2030.
7 Reactions
66 Replies
4K Views
Kama tumeandika Uongo tunaomba utuwekee majina ya Ukweli. Ikumbukwe kwamba wanaofichwa ni Mashahidi wa Jamhuri, wa Lissu hawafichwi
23 Reactions
65 Replies
6K Views
Kichwa cha Habari ndio Habari yenyewe Mawakili 400 hadi Bingwa kujitetea mwenyewe kama Mwana wa Adam mbele ya Pilato Ila Chadema 🐼
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Wakuu, Ni rasmi sasa hakuna updates zozote kuhusu hiyo kesi tutakuwa tunapata === "Pili uchezaji wa moja kwa moja au live streaming, utangazaji, usambazaji wa moja kwa moja mtandaoni au aina...
3 Reactions
142 Replies
14K Views
Baada ya mahakama kuamua tusiendelee kuuona "ingia kati tuyaone malingo yako, bingiribingiri mpaka mpaka chini" anazochezeshwa Lissu, sinema nyingine ya Gwajima vs Muumini wa Gwajima itaanza rasmi...
6 Reactions
39 Replies
3K Views
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imewataka viongozi wa vyama nchini kuhakikisha wagombea katika uchaguzi mkuu wanawasilisha taarifa za gharama za kampeni kabla ya siku ya uteuzi, vinginevyo...
1 Reactions
5 Replies
676 Views
Mpo Salama bila Shaka! Sio kila wakati au kila Jambo mabavu na ubabe ni suluhu ya matatizo. Mwaka Jana niliwahi kuandika hapa Pre GE2025 - Matukio yanayoongoza wakati huu ni utekaji, mauaji...
13 Reactions
30 Replies
2K Views
Hivi Ndugu yetu Tundu Lissu akiomba tu Msamaha mbele ya Watanzania kwani kuna ubaya?kuliko "vichekesho" hivi anavyofanya Mahakamani paleMahakama.ya Hakimu Mkazi -Kisutu wakati hata KESI yenyewe...
0 Reactions
1 Replies
27 Views
Rais Dk. Samia afungua fursa kwa vijana EACOP Na Mwandishi Wetu, Geita Serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan imezidi kuwajali vijana, baada ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...
0 Reactions
1 Replies
278 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…