Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Sina chembe ya udini Ila nataka mnieleweshe imeandikwa wapi kwamba urais ni wa kupokezana ? Imeandikwa wapi kwamba akitoka Rais mkatoliki anakuja muislamu? Imeandikwa wapi wapi kwamba Rais akiwa...
2 Reactions
10 Replies
633 Views
Hapo chini ni Mapinduzi ya Kijeshi( Coup d'etat) yaliyowahi kufanyika kwenye nchi mbalimbali na kupata baraka na support za wananchi kutokana na UFISADI na DHULMA dhidi ya wananchi Afrika 1...
0 Reactions
2 Replies
472 Views
Nadhani mnakumbuka Ile Serikali ya Wazalendo ilivyovurugaga bei za mazao ya wakulima hususani mbaazi ililosa wanunuzi na bei kuporomoka Hadi kuuzwa Shilingi 200 Kwa kilo. Sasa Samia amefungua...
1 Reactions
107 Replies
3K Views
Naamini Lissu ana taarifa zote za yanayoendelea huku nje japo yeye yuko behind bars kwa tuhuma zisizo na kichwa wala migiu zaidi tu ya watu kutumia vibaya madaraka yao. Hata hivyo, watesi wa...
1 Reactions
2 Replies
393 Views
Shuhudia 'vibe' la wananchi na wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) wakiwa katika Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza, kwa ajili ya kushuhudia uzinduzi wa kampeni za chama hicho kuelekea uchaguzi...
0 Reactions
3 Replies
478 Views
Just for curiosity! Kwa status yako kusikia kuwa unashindana na DP, Chaumma, TLP and the like ni kujishushia hadhi! Ilinganishe na Albert Einstein kushindana na mtoto wa form six katika...
14 Reactions
30 Replies
1K Views
Hivi ndivyo Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu alivyokaribishwa jukwaani kuwahutubia wafuasi wa chama hicho kwa wimbo...
0 Reactions
0 Replies
562 Views
Spika wa bunge msitaafu Mh Anna Makinda ambaye pia amehudumu serikalini Kwa zaidi ya miaka 40, akiwa kwenye Misa ya kumbukizi ya hayati Magufuli ametoa sifa nyingi kuhusu Rais huyo wa awamu ya...
17 Reactions
125 Replies
11K Views
Wakuu Nimeona taarifa katibu tawala mmoja amehitimu mafunzo ya ugambo (Jeshi la akiba) hii ina maana gani? === Askari Wapya 178 wa Jeshi la akiba wilayani ya Kahama mkoani Shinyanga...
0 Reactions
8 Replies
620 Views
Kifo cha Magufuli tulifichwa fichwa sana hadi kilipotangazwa rasmi. Ni nini kilikuwa kinaendelea hadi tunafichwa kiasi hicho. Inaonekana kulikuwa kuna amri nzito sana alizitoa zitekelezwe lakini...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Hii sio mara ya kwanza nikimtazama Rais Samia kwa jicho la kuondosha kero za huduma za kijamii kwa maamuzi yenye mkakati ,shabaha na yanayopimika kirahisi. Miaka kadhaa nyuma nikipita maeneo ya...
3 Reactions
18 Replies
612 Views
https://youtu.be/hSOcdGnoGbA?si=xmD1lymIVF7bNlFU “The first ever president to elect herself” Sasa hivi sisi wala siyo banana republic tena! Banana republics huwa walau zina matumaini flani...
14 Reactions
26 Replies
2K Views
Unaweza kusema mvua imetibua uzinduzi wa kampeni za Chama cha Kijamii (CCK) zinazoendelea leo Jumamosi, Agosti 30, 2025, katika viwanja vya Kwa Tesha, Mbagala Kijichi jijini Dar es Salaam. Hata...
1 Reactions
2 Replies
321 Views
BRT Mbagala to commence on Monday 1st September, 2025
3 Reactions
6 Replies
305 Views
Prof ameweka utekelezaji wa ilani barabara, vyema, mgombea Urais hatakiwi kuhangaika kuelezea jimboni kumetokea nini kimaendeleo
1 Reactions
3 Replies
328 Views
Kamwe haiwezekani kutumia uhuni kukataa wahuni kwani kwa kufanya hivyo ni kubadilisha uhuni tu. NAKATAA NJIA ZA KIHUNI KUKATAA WAHUNI...!!!
2 Reactions
13 Replies
536 Views
Huu Uzi niliuandika nikiwa Corridor za Kremlin kuna jambo tulikuwa tunajadili na diplomat fulan...
8 Reactions
17 Replies
2K Views
Hii ni hatari sana kama CCM wanalazimisha watumishi wa kada ya ualimu na wanafunzi kwenda kwenye kampeni za mgombea wao hapo kesho.
1 Reactions
11 Replies
631 Views
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ndugu. Kailima Ramadhani leo tarehe 30 Agosti, 2025 ameongoza kikao cha wawakilishi wa vyama vya siasa kupitia na kufanya mabadiliko...
1 Reactions
2 Replies
566 Views
Rekodi hii inawekwa jukwaani ili siku asipokuwepo tumkumbuke sana. Alianza na upitishaji wa Sheria ya bima ya Afya kwa wote na Sasa ameleta njia ya utekelezaji wake na akaenda mbali yaani...
2 Reactions
2 Replies
355 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…