Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Redirect
Jeshi la Magereza Tanzania linapenda kuujulisha umma kuwa, katika kutekeleza majukumu yake ya kuwapokea, kuwahifadhi na kuwarekebisha wale wote wanaoshikiliwa gerezani, wakati wote limekuwa...
0 Reactions
Replies
Views
Wakuu 'The clinic' walikutana wakiwa wanne. Recrato, Logasto na Financo walikuwa ndio wajumbe. Upande wa pili alikuwa amekaa Director akiongoza. Alianza kuwaambia majukumu yao, "miaka miwili...
77 Reactions
405 Replies
65K Views
TAARIFA KWA UMMA JUU YA BARUA NILIYOIPOKEA KUTOKA KWENYE TUME YA UCHUNGUZI KUHUSU MATUKIO YA TAREHE 29 OKTOBA 2025 Nimepokea barua yenye Kumb. Na. SAE. 351/527/01 ya mwaliko/ombi la kuhudhuria...
34 Reactions
56 Replies
930 Views
https://www.youtube.com/watch?v=VvgEZ6hch6A Kwa mara nyingine tena, kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar wa Oktoba 29 mwaka jana zimeambatana na kikwazo baada ya upande wa Jamhuri...
1 Reactions
6 Replies
163 Views
Napenda kuwakumbusha Raisi Samia na CCM wote kwamba neno demokrasia halina maana sawa na haki, na wala demokrasia haihalalishi haki, na pia inaweza kupindisha haki au hata kuhalalisha ukosefu wa...
6 Reactions
17 Replies
255 Views
  • Redirect
Dubai CEO named in Epstein files resigns from DP World Story by Omar Abdel-Baqui DUBAI—DP World Chairman and Chief Executive Sultan Ahmed Bin Sulayem resigned from the Dubai-based global ports...
0 Reactions
Replies
Views
Sikutegemea kabisa kwa zama hizi kama serikali ingekuja na aina hii ya kuficha shahidi kwenye kiboksi cha plywood. Teknologia imekua sana huwezi kutumia kisanduku cha maboksi kumficha mtu, sauti...
8 Reactions
21 Replies
586 Views
Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi imeahirisha usikilizwaji wa mashahidi wa upande wa mashtaka katika kesi ya makosa ya mtandao inayomkabili Mchungaji Godfrey Malisa, baada ya mshtakiwa kuomba...
1 Reactions
6 Replies
307 Views
Bahati mbaya kwakuwa sasa maendeleo aliyoyafanya Samia yako wazi kabisa wanaomtukuza Magufuli wanaishia tu kusema angekuwa hai mpaka sasa tungekuwa mbali sana. Ahahaha 😂 😂 😂 😂 Huu ni...
2 Reactions
63 Replies
705 Views
Wakuu, Hili la Mkuu wa Mkoa kuwaita Wachina wahuni nyie wenzangu mnalionaje? Mkisikiliza huko mwisho anasema: "Sasa hawa ni wahuni. Pengine nyie mkiona hizo sura mnadhani hawa ni Wachina wa...
1 Reactions
5 Replies
280 Views
  • Redirect
shahidi wa leo ndio huyu, hawa ndio akina lucas wanaotusumbua humu jf hawajui wanafanya nini akili zao zipo uchi.
0 Reactions
Replies
Views
Ndugu zangu Watanzania, Watu wanakwenda kwenye nyumba za ibada kusikiliza neno la Mungu na siyo kwenda kusikiliza hisia za mtu na mtizamo wake wa kisiasa au mapenzi yake kwa chama fulani cha...
2 Reactions
42 Replies
431 Views
  • Redirect
My Take Hawa CAF wasisingizie maandalizi bali waendele straight kwenye sababu ya msingi ya Vurugu za Kisiasa Kenya ndio zitakwamisha ratiba ya mashindano ya Afcon. Maoni yangu Waipokonye Kenya...
1 Reactions
Replies
Views
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Kasafiri na ndege ya ATC B737 with registration number 5H-TCQ. Flight number TC 4401. Tena imetua kwenye private airport. Ushahidi huu hapa. Kwanini siku...
33 Reactions
161 Replies
4K Views
Brussels, Belgium Makao Makuu ya Umoja wa Ulaya / EU KOMBO ATUMWA BELGIUM KUOMBA WASIKILIZWE KUHUSU VIKWAZO, TANZANIA YAPIGA MAGOTI NA KUIANGUKIA MIGUUNI EU / UMOJA WA ULAYA, CHONDE CHONDE ...
25 Reactions
80 Replies
2K Views
Nina hamu sana ya kuwauliza wagombea Urais wa vyama mbalimbali maswali haya chini ikiwa nitapata nafasi ya kushiriki kwenye mdaharo wa wagombea uraisi; Miaka kadhaa iliyopita, Mwalimu Nyerere...
2 Reactions
1 Replies
117 Views
Sijui kama ni mawazo na macho yangu, naona hii Serikali haramu kama imeshakata moto mapema kabisa, hakuna cha Rais, Makamu wa Rais wala Waziri Mkuu ni kama Serikali imekata pumzi Sioni cha...
17 Reactions
76 Replies
1K Views
Huu ndio ukweli mchungu na ndio maana tupo katika halii hii na huenda tukaendelea kushuduhia mambo mengi zaidi ya haya tunayoyaona leo. Pia, yaliyotokea Oktoba 29 ni ushahidii mwingine wa...
5 Reactions
5 Replies
218 Views
Suala la jeshi kuja na habari za maelekezo kutoka juu ni kinyume cha sheria jeshi liongozwe na sheria hatutambui kitu kinaitwa amri kitoka mbinguni. Tunapinga vikali hii tabia iliyo zoeleka ya...
2 Reactions
2 Replies
167 Views
Wengi wa watunga maudhui katika mitandao ya kijamii hawakuwa na muongozo unaoeleweka katika kazi zao na hivyo wakajikuta wanabeba makapi ya taarifa kutoka social media za ughaibuni kama ilivyokuwa...
2 Reactions
5 Replies
184 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…