Maharage ya kuchemsha na viungo vs maharage ya kuunga

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Sep 16, 2015
25,554
45,855
helo wapishi
ni maharage yapi yanakuwa matamu? ya kuunga au ya kuchemshia viungo moja kwa moja?
 
Mpishi mzuri tu ila sijawahi kuona maharagwe yanachemshiwa na viungo labda yawe yameisha pikwa kwanza yakaiva ila sio kuanzia mwanzo yakiwa mabichi
 
Unapoanza kupika tu unachukua viungo unaweka vyote vinaanza kuchemka kwa pamoja hadi maharge yanaiva
 
Back
Top Bottom