Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,554
- 45,855
helo wapishi
ni maharage yapi yanakuwa matamu? ya kuunga au ya kuchemshia viungo moja kwa moja?
ni maharage yapi yanakuwa matamu? ya kuunga au ya kuchemshia viungo moja kwa moja?
Samahan naomba kufundishwa unachemshaje hayo maharagwe na viungo
unachemshaje maharage na viungo.... mi najua unachemsha tu yenyew yakiiva ndo unaweka kitunguuNapendelea ya kuchemsha na viungo
nipe process mkuuunachemshaje maharage na viungo.... mi najua unachemsha tu yenyew yakiiva ndo unaweka kitunguu
Mpishi mzuri tu ila sijawahi kuona maharagwe yanachemshiwa na viungo labda yawe yameisha pikwa kwanza yakaiva ila sio kuanzia mwanzo yakiwa mabichi
Mpaka hapo ushaelewaaMpishi mzuri tu ila sijawahi kuona maharagwe yanachemshiwa na viungo labda yawe yameisha pikwa kwanza yakaiva ila sio kuanzia mwanzo yakiwa mabichi
Weye mpishi mzoefu tulitegemea utupe maujuzi kumbe nawe wasubiria... hahaaaaNa mie nasubiria
Weye mpishi mzoefu tulitegemea utupe maujuzi kumbe nawe wasubiria... hahaaaa
Kuchemsha viungo ndo matamu zaidi, utamu wake hauelezeki, na hayakinaishi
Chambua Maharage, osha bandika jikoni....M
Mabachelor tunasubiria desa aisee. Mbona mnatufanyia mtimanyongo.?