Msaada: Nitapata wapi Oat Arusha?

Msaada: Nitapata wapi Oat Arusha?

TIASSA

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
3,110
Reaction score
3,980
Nimetafuta masokoni kama kilombero na soko kuu sijafanikiwa kuipata
 

Attachments

  • 1538238671169.png
    1538238671169.png
    54.1 KB · Views: 99
Supermarket nyingi hapo Arusha inapatikana. Ikiwa katika makopo ya kilo moja. Na bei ni takriban Shilingi 7, 500 hivi kwa kopo moja. Kama nimekuelewa vizuri kwa unachokiulizia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom