habari wana JF ,Naomba kwa yeyote anafahamu jinsi ya kuunga maharage matamu yenye radha nzuriiii anisaidie kwani ujuzi unatofautiana.asante
Tangawizi sio kuondoa gesi tu pia inafanya maharage yawe na lsdha nzuri sana.Me napendelea kupika maharage ya nazi ni mazuri tu
Kwa kipimo cha kg 1 utahitaji vegetable vifuatavyo
1)kitunguu maji kikubwa 1
2)nyanya 3 kubwa
3)pilipili hoho 1 ukubwa kiasi
4)karoti 1
5)vitunguu thomu chembe 10-15
6)tangawizi kiasi(husaidia kuondoa gesi)
Chemsha maharage mpaka yawe laini then katakata vegetable zako then weka kwenye sufuria yako
Add tui lako na subiria kwa dakika 15 yatakua tayar kwa kuliwa.
Tangawizi sio kuondoa gesi tu pia inafanya maharage yawe na ladha nzuri sana.Me napendelea kupika maharage ya nazi ni mazuri tu
Kwa kipimo cha kg 1 utahitaji vegetable vifuatavyo
1)kitunguu maji kikubwa 1
2)nyanya 3 kubwa
3)pilipili hoho 1 ukubwa kiasi
4)karoti 1
5)vitunguu thomu chembe 10-15
6)tangawizi kiasi(husaidia kuondoa gesi)
Chemsha maharage mpaka yawe laini then katakata vegetable zako then weka kwenye sufuria yako
Add tui lako na subiria kwa dakika 15 yatakua tayar kwa kuliwa.
hiyo ya karoti na tangawizi aisee mupya kwangu
mashallah nimekuelewaYachemshe yaive ,kaanga kitunguu kikiiva tia nyanya ikiaanza kurojeka weka karoti kidogo na chumvi kaanga kisha weka hoho kaanga kisha yachuje maji yatie humo kaanga hiyo supu ya maharage korogea royco mchuzi mix kisha malizia acha yachemke kwa moto mdogo ili supu ipungue ipua tayari kwa mlo,,,,,,,,,,,,,,, ,,,,,,,,,,,,,,