Ipo hapo kwenye hiyo picha yako.Hebu leta picha hii ngeni kwangu
Mboga za majani ni muhimu sana kwa afya. Tunashauriwa kula mboga za majani kila siku.
Binafsi napenda kula mboga za majani na mboga zangu pendwa ni tembele, chainizi, majani ya maboga na kisamvu.
Tupe zako na ukiweza na jinsi ya kuziandaa.