Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
The saying must be true: “The Chinese eat everything that has four legs, except tables and chairs, and everything that flies except planes.” However, the State and federal health officials have...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Wakuu, Nimefungua mgahawa hivi karibuni na miongoni mwa huduma ninazohitaji kutoa ni pamoja na Al-kasusi. Mwenye kufahamu naomba anifahamishe.
3 Reactions
23 Replies
16K Views
Wakuu salamu, Kama mnavyojua jiji la Dodoma linakua kwa kasi ya 4 G, linapokea wageni kila siku iitwayo leo, naomba tutaje mahali bomba panapo ongoza kutoa huduma bomba na classic za dinner na...
2 Reactions
18 Replies
4K Views
Ukiwa unataka kufungua restaurant au mgahawa. Unatakiwa uwe na ujuzi wa vyakula vya aina gani? Vile vile ni vyakula vipi ni pendea sana na vinaleta wateja?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari za asubuhi wana Jf,natumai mmeamka salama na mkiwa mnajiandaa kuingia kwenye harakati za utaftaji kwa lengo la kupata chochote kitu,Na Mungu akawafungulie milango ya baraka.Bila kusahau uzi...
5 Reactions
13 Replies
3K Views
Naomba kujuzwa namna ya kuandaa hili tunda kwaajili ya juice, na pia vitu naweza kuchanganya katika hiyo juice. Asanteni
1 Reactions
23 Replies
10K Views
Ni kwanini wanaume mnaichukia kabichi? Skukuu yote hii nilitamani niwafukuze hawa wageni. Asilimia kubwa wote waliiponda kabichi, Mwingine anaita Minyoo hiyo Mimi silagi. Mwingine Nani ale...
15 Reactions
182 Replies
17K Views
Taja mboga za asili zisizo pungua 2 na zisizozidi 3 (za ukanda wenu huko) Wale waliokuwaga "geti kali" mtupishe kidogo 😂 Naanza mimi; Mlenda Nsasa Lets go!!
4 Reactions
168 Replies
17K Views
Ebana huu ni uzi kwa wale ambao appetite zetu zipo juu muda wote yani tumbo likiona karanga linaweka, likikaa kidogo chips mayai, baada ya muda kidogo tunatupia utumbo yani ali mradi tumbo lipo...
5 Reactions
23 Replies
9K Views
Habari wakuu, Natafuta mwalimu wa kike anayejua kufundisha kupamba keki kwa Dar es Salaam. Unaweza ukajibu uzi huu au kunitumia meseji.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu naombeni ushauri wenu hapa, nimezidisha chumvi kwenye wali nimepikia kwenye rice cooker nifanye nini ili uweze kulika vizuri?? Chumvi nayo kiungo ila ikizidi lol
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Kutokana na kuwa na utumbo mdogo, watoto hawali sana.Ndio maana ni muhimu kuwa na uhakika wa chakula wanachokula kina lishe nyingi za kutosha na zote.Jifunze au jua jinsi ya kuweka muda wa kula...
10 Reactions
9 Replies
87K Views
Hayo ni maoni yangu binafsi wadau kulingana na uzoefu wangu Ukitaka akili iburudike basi pata mchemsho wa kahawa ya kienyeji na maziwa fresh Ni kinywaji kitamu hata harufu yake wakati...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba kufahamu juice ya machungwa ambayo haijachakachuliwa nataka iwe ya kiwandani, sitaki ya kujitengenezea. Inaitwaje? Full machungwa au??.
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Kama Mimi kuna jamaa zangu mmoja hawezi kula ndizi mbivu anahisi atatapika, mwingine huyo anasema akila wali na soda basi lazima arudishe basi fuluuu raha unakuta mimi nafurahi kweli nasombelea...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
Heshima kwenu wakuu, Mimi huwa napenda sana mayai ya kuchemsha, ila sijajua wakati wa kuchemsha unachanganya viungo gani. Nategemea kupata mgeni, mgeni wangu anapenda mayai ya kuchemsha na...
4 Reactions
18 Replies
10K Views
Tunapozungumzia kula kuku kwa ajili ya Afya zetu tunazungumzia kuku wetu wa kiasili au tunapozungumzia umuhimu wa kula mayai zaidi tunakusudia mayai bora ya kuku wetu wa Asili na mapishi yenye...
5 Reactions
6 Replies
14K Views
Virutubisho Ina umuhimu nyingi Sana katika mwili ya mwanadamu Vifuatazo Ni muhimu ya virutubisho katika mwili. 1: kwa mtoto humuongezea hamu ya kula 2: husaidia kuzuia upungufu wa damu mwilini...
0 Reactions
1 Replies
733 Views
Back
Top Bottom