Wakuu kwema?
Kuna kitu kinanitatiza muda mrefu panapohusu swala la mlo na mapishi.
Ukienda migawahawa ya ushuani au umangani ukiuliza kuna chakula gani watakuambia: Kuku, Mbuzi, beef, Samaki nk...
Inahitaji kuhakikisha moto umekolea
Halafu unahikishe mwiko ni mzima hauwezi kuvunjika
Uhakikishe sufulia halijatoboka-Ni zima
Uhakikisha sufulia limelowana maji-Lina maji ya kutoshea unga wako...
nimesumbuka kwa miaka mingi sana kupata mchele mzuri
mchele wangu mimi nanunulia kwenye mastore ya mchele Tandika
so nilikua nikifika pale naangalia wenye bei kubwa ndo nanunua..ndo nasema ni...
Kila siku nimekuwa nikila vitu kwenye mzunguko uleule
Wali
Pilau
Nyama za ng'ombe na kitimoto (za kukaanga, kuchoma & kuungwa na nyanya)
Samaki (kuunga na nyanya & wa kukaanga)
Mayai (kukaanga na...
Bwana wee, kuna video huwa naona mitandaoni watu wakipika vyakula mbalimbali au kupanga vyakula kwenye sahani kwa namna ambazo zinavutia kweli, zipo ambazo nilijaribu na kufanikiwa ila nyingine...
Mwenzenu maisha ni kama yananichanganya maana suala la mlo limekuwa kizungumkuti.
Najikuta mzunguko wa chakula changu ni ule ule
- wali, samaki, maharage
- Ugali, samaki, dagaa, vegetables...
Hi guys hope mko poa,. Kwa ambao mko na changamoto mbalimbali Mungu awafanyie wepesi mkae sawa,..
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada,. Leo tutengeneze biscuits nzuri na tamu...
Hi guys,. Habari za siku nyingi
Bila kupoteza mda tupike pamoja pilau nazi
Kwenye sufuria yako ya kupikia utaweka mafuta, yakipata moto utaweka vitunguu na ( hoho ni optional)
Utakaanga kwa muda...
Hi guys hope mko poa,.
Tupike pamoja
1. Maharage yako ambayo yashachemshwa na chumvi utaweka maji kidogo na uweke jikoni yapate moto
2. Katakata kitunguu karoti na hoho uweke na uache vichemke...
Habari wakuu,
Kuna jambo limekuwa likinipa mtatizo sana, wakati nakuwa nilikuwa nikipenda sana kusaidia jikoni kwenye mapishi hasa siku ya ubwabwa Maharage, huku nikimuangalia Bi mkubwa akiandaa...
Hi guys hope mko poa,. Tupike pamoja keki hii simpe na tamu sana
1. Utaweka blueband 200g na sukari 150g kwenye bakuli utatumia mixer kuchapa
2. Utachapa mpaka ibadilike rangi iwe inaelekea...
Kila mtu na anavyoonja ladha kinywani mwake, kuna sisi wengine samaki ni samaki tu bora atengenezwe vizuri hatuchagui maji bahari wala chumvi.
Ila kuna watu wanasema mara samaki wa maji chumvi...
Hi guys, habari za siku nyingi??
Bila kupoteza mda tupike ndizi nyama pamoja…
Kwenye sufuria yako ya kupikia utaweka mafuta kidogo sana, yakipata moto utaweka kitunguu hoho na karoti
Utakaanga...
Bila shaka karibu kila kabila hapa Tanzania hutumia ugali, ubwabwa na maharage kama chakula cha heshima, fahali.
Pia ni chakula pendwa, ila vyakula vingine vilivyobaki mara nyingi ni vya...
Mahitaji
1. Samaki
2. Ndizi
3.mchicha
4. Karoti
5.limao
6. Chumvi
Mpalue samaki wako magamba vzr kisha muoshe vizuri baada ya hapo muweke kwenye sufuria weka maji kidogo sana na chumvi kidgo...