Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Mahitaji muhimu ni ulezi 1kg, mahindi 1kg, karanga 1/4, mchele 1/4, ngano isiyokobolewa 1/4. Chambua viungo vyote Kisha uvisafishe baada ya hapo vianike Juani vikauke vizuri. Kaanga karanga...
4 Reactions
7 Replies
12K Views
Natamani kujua jinsi ya kuuandaa [emoji3064][emoji174]kuna mtu amewahi kujaribu ukatokea?
0 Reactions
0 Replies
563 Views
Wana jamvi, Naomba mnisaidie kunielekeza jinsi ya kupika ubuyu wa Zanzibar ule unao kuwa mlaini maana mimi nilijaribu lakini unatoka mgumu hauwi mlaini na wenye unga, nifanye nini?. =========...
1 Reactions
35 Replies
50K Views
Mara nyingi nimekuwa nikitembelea bucha za kitimoto nikiwa na familia ndugu, jamaa na Marafiki hakika huwa tunafurahi na kucheka kwa pamoja tukiwa tunatumia hii chakula. Utamu wake ni kama asali...
3 Reactions
9 Replies
854 Views
Habarini!! Naomba namna ya kutengeneza sukari ya asili.Ukiondoa ya viwandani na asali.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna watu wanaishi maisha ya ajabu sana, na wao wanaona ni sawa. Kuna sehemu nilienda wakaanza kuandaa chakula, mara nikaona mpishi anapika mara akafutia sufuria na kanga aliyojifunga, nikasema...
1 Reactions
9 Replies
945 Views
Nawasalimu wote, Mimi napenda sana kunywa jusi ya nanasi na parachichi natupia na pasheni inanukia na inakuwa tamu sana. Juisi hii huwa siweki sukari hata kidogo kutokana na utamu wa nanasi...
6 Reactions
21 Replies
3K Views
Jamani gesi ni nishati inayorahisisha mapishi kwa haraka. Ila ina kero yake jamani wakati ndio unapika inaweza isha ghafla na pengine kwa wakati huo huna hela ya kununua tena au unanunua mbali...
12 Reactions
174 Replies
16K Views
Heri ya Pasaka Wakuu, Kama swali linavyouliza hapo juu, unatumia njia gani kuhifadhi matunda na mboga za majani zisiungue na barafu au kuharibika ndani ya muda mfupi? Huwa nikiweka tunda kwenye...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu katika vitu vinanifanya nisile nyama au samaki za kuunga ni vile unavyokaanga halafu mafuta yanakurukia. Yaani unakuwa unapika sura umeweka Magharibi mkono unaogeuza mboga kwenye mafuta uko...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
UNAAMBIWA: Chips za viazi zilianza kutengenezwa rasmi Mwaka 1853 baada ya Mmarekani mweusi George Speck maarufu Crum (Mpishi) kupata hasira kisa Wateja wake kumlaumu kuwa anawawekea viazi vyenye...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari wana jukwaa hili Wakati mwingine mtu unapika chakula inatokea bahati mbaya kinangua sana hadi chombo kinakuwa cheusi( kwa sisi wenye masufuria ya kaida). Au nje ya sufuria ukipikia mkaa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Mahitaji; Tui la nanzi (Tui zito na tui maji) tui maji ni mchujo wa pili wa nazi Nyanya 2 kitunguu mfuta ya kula kiasi Mihogo uliomenywa na kukatwa vipande vidogo vidogo Chumvi Weka mihogo...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mambo ya kuthubutu haya sometimes noma sana!! Yaani nimejifunza humu humu JF jinsi ya kupika Chapati. Sasa leo si wageni wakawa wengi hapa home yaani wageni wa kike, nikaona hapa ndo pa kuchukua...
2 Reactions
26 Replies
8K Views
Kuna siku nilisikia kuna vidonge vya supu ili kuifanya kuwa na ladha lakini niliyemsikia akisema siweza kupata fursa ya kumuuliza kwa kuwa nilikuwa safarini na yeye ni muuzaji wa njiani na alikuwa...
5 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu, Hiki kitu kinanichanganya kwakweli na sijawahi kuelewa tofauti zake, maana nikiaambiwa kupika supu ama mchesho upishi wangi ni mmoja, lakini kuna sehemu supu na mchemsho ni vitu viwili...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wadau, Chakula gani hujala kwa muda mrefu na umekikumbuka sana. Mimi nimekumbuka makande nayapenda sana ila muda wa kuyapika ndio unakiwa changamoto. Ila wiki hii nitajitahidi nipike...
4 Reactions
85 Replies
10K Views
Naomba nifundishwe kupika chai. nahita nijuie kupika kila aina ya chai. iwe ya rangi au maziwa. vilevile nahitaji kujua viungo vinavyo hitajika. ni hayo tu. mia
0 Reactions
17 Replies
23K Views
Habari wapendwa, Mimi ni mwenyeji wa Kilimanjaro, wilaya ya Mwanga,tarafa ya Ugweno. Napenda kuwafundisha pishi la kiburu na kiombo kwa kipare. Pishi hili linahitaji ndizi...
1 Reactions
3 Replies
916 Views
Wapendwa polen na majukumu, nina sufuria za aluminium kampuni ya Andalus, sufuria hizi zikipata moshi au masizi ni namna Gani au kifaa gani kinafaa kusafishia Ili zibaki katika mng'ao wake?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom