venister 98
Member
- Jun 11, 2022
- 9
- 10
Mahitaji muhimu ni ulezi 1kg, mahindi 1kg, karanga 1/4, mchele 1/4, ngano isiyokobolewa 1/4.
Chambua viungo vyote Kisha uvisafishe baada ya hapo vianike Juani vikauke vizuri.
Kaanga karanga kisha ondoa maganda yote, baada ya hapo changanya viungo vyote kwa pamoja, saga lishe yako tayari kwa matumizi.
Chambua viungo vyote Kisha uvisafishe baada ya hapo vianike Juani vikauke vizuri.
Kaanga karanga kisha ondoa maganda yote, baada ya hapo changanya viungo vyote kwa pamoja, saga lishe yako tayari kwa matumizi.