Hellow wakuu,
Hivi mamlaka ya chakula na dawa Tanzania ilishawahi kukataza matumizi ya kiungo cha jikoni kinachoitwa Ajina Moto?
Mwenye uhakika tafadhali anijuze.
Karibuni tena jikoni kwetu. Katika pitapita mitandaoni tulikutana na mapishi haya ya cupcakes (wengine wanaita 'queen cakes'). Recipe iliyotuvutia zaidi ni hii ya kutengeneza 'dough' moja kisha...
Habari zenu nyote,
Natafuta Migahawa ya Vyakula vya Kiswahili London au mtu anayepika nyumbani na kuuza chakula kwa mtu mmoja mmoja.
Napika lakini siyo siku zote kutokana na majukumu ya kazi...
Mko poa familia,
Jamani nina hamu na chipsi vuruga leo hatari, ila sijui kuziandaa. Sitaki kwenda kununua naombeni kuelekezwa ili niandae mwenyewe.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu...
Mko poa?
Salaam,
Jikoni kuna wakati yanatukia matukio jikoni wakati unapika mpaka unatamani unashangaa, mwenzenu nilimwaga mboga wakati napika ugenini kisa kapita panya na sikuwa najua kama...
Utamu wa nyama ya nguruwe usikie tu ila ndio nyama ukifuga ukosi soko.
Nyama ya nguruwe huko kwa Putin inapendwa sana na China ukilinganisha na nyama zengine.
Sehemu zisizo na ufagaji wa ng'ombe...
Habari wana jf
katika maisha yangu ya kujichanganya na wapishi na kufatilia makala ya wapishi nimepita sehemu mmoja nikakuta hizi cookies za bangi /cannabis sasa nikawa najiuliza hapa kwetu bongo...
Habari zenu, natumai mpo salama. Mara ya mwisho nilipika pilau na leo napika white sauce inayosindikiza pilau au chakula kingine chochote kinachohitaji mchuzi.
Kama kawaida ukitaka kuangalia...
Hali zenu wana mapishi, natumai mpo salama. Wiki iliyopita nilionyesha namna nilivyopika biskuti za tangawizi. Leo nawashirikisha namna ya kupika pilau ya nyama na kachumbari. Hiki chakula...
Habari za Jumamosi wakuu, natumai mpo salama. Leo nawaletea mapishi ya wali, samaki wa nazi na mboga.
Ukipenda kuangalia video ya haya mapishi unaweza kuangalia hapo chini. Ukipenda unaweza...
Kwenu wataalamu wa kuchoma nyama za aina zote.
Naomba tips za kibabe kuhusu namna ya kumarinate nyama kabla ya kuichoma na baada. Viungo gani vitumike, kiasi gani, balancing ya moto haswa kwenye...
Chakula ni afya, chakula ni tia lakini chakula kinaweza kuwa na ubora mdogo au kukosa kabisa iwapo kitakosewa wakati wa kupikwa na kumaliza kabisa virutubisho.
Chakula kama hicho watu hula kujaza...
Mahitaji
Nyama kilo moja
Tangawizi na thomu viwe vimesagwa kila kimoja ujazo wa nusu kijiko cha chai
Kitunguu maji kimoja kikubwa kikatwe katwe
Nyanya maji kubwa tano
Limao kiasi
Mchuzi mix...
Napenda kuwasalimu ndugu zangu wa JF.
Nimekuwa nikipika maharage lakini nashindwa kuyafanya yawe matamu ila akipika mwingine naona ni matamu.
Nashindwa pia kujua kubalance mchuzi ninapounga...
Wadau naomba tushare sehemu nzuri kwa hapa Dar ambazo zinawapishi wazuri wa kitimoto tuweze kuwa tuna badili viwanja.
Majina ya sehem na location itapendeza zaidi.
--------
Pitia link hizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.