Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Kwa kweli ugali(Unga na maji ) ni chakula duni sana. Tujifunze hapa tuachane na habari za ugali.
1 Reactions
0 Replies
640 Views
Hellow wakuu, Hivi mamlaka ya chakula na dawa Tanzania ilishawahi kukataza matumizi ya kiungo cha jikoni kinachoitwa Ajina Moto? Mwenye uhakika tafadhali anijuze.
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Karibuni tena jikoni kwetu. Katika pitapita mitandaoni tulikutana na mapishi haya ya cupcakes (wengine wanaita 'queen cakes'). Recipe iliyotuvutia zaidi ni hii ya kutengeneza 'dough' moja kisha...
19 Reactions
58 Replies
14K Views
Habari zenu nyote, Natafuta Migahawa ya Vyakula vya Kiswahili London au mtu anayepika nyumbani na kuuza chakula kwa mtu mmoja mmoja. Napika lakini siyo siku zote kutokana na majukumu ya kazi...
1 Reactions
76 Replies
6K Views
Mahitaji:- Kilo moja ya maini Vitunguu vikubwa 2 Nyanya kubwa 2 Hihi 1 Carrot 1. Ndizi 2 Viazi vikubwa 2
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mko poa familia, Jamani nina hamu na chipsi vuruga leo hatari, ila sijui kuziandaa. Sitaki kwenda kununua naombeni kuelekezwa ili niandae mwenyewe. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu...
3 Reactions
58 Replies
7K Views
Mko poa? Salaam, Jikoni kuna wakati yanatukia matukio jikoni wakati unapika mpaka unatamani unashangaa, mwenzenu nilimwaga mboga wakati napika ugenini kisa kapita panya na sikuwa najua kama...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Utamu wa nyama ya nguruwe usikie tu ila ndio nyama ukifuga ukosi soko. Nyama ya nguruwe huko kwa Putin inapendwa sana na China ukilinganisha na nyama zengine. Sehemu zisizo na ufagaji wa ng'ombe...
4 Reactions
36 Replies
2K Views
Habari wana jf katika maisha yangu ya kujichanganya na wapishi na kufatilia makala ya wapishi nimepita sehemu mmoja nikakuta hizi cookies za bangi /cannabis sasa nikawa najiuliza hapa kwetu bongo...
3 Reactions
39 Replies
13K Views
Mapishi ya firigisi za kuku Mahitaji Firigisi za kuku gramu 200, pilipili mboga moja, tangawizi gramu 5, pilipili manga gramu 2, vitunguu saumu gramu 5, mchuzi wa chaza gramu 5 Njia 1. chemsha...
1 Reactions
1 Replies
8K Views
Habari zenu, natumai mpo salama. Mara ya mwisho nilipika pilau na leo napika white sauce inayosindikiza pilau au chakula kingine chochote kinachohitaji mchuzi. Kama kawaida ukitaka kuangalia...
6 Reactions
10 Replies
2K Views
Hali zenu wana mapishi, natumai mpo salama. Wiki iliyopita nilionyesha namna nilivyopika biskuti za tangawizi. Leo nawashirikisha namna ya kupika pilau ya nyama na kachumbari. Hiki chakula...
8 Reactions
15 Replies
7K Views
Habari za Jumamosi wakuu, natumai mpo salama. Leo nawaletea mapishi ya wali, samaki wa nazi na mboga. Ukipenda kuangalia video ya haya mapishi unaweza kuangalia hapo chini. Ukipenda unaweza...
15 Reactions
31 Replies
5K Views
Kwenu wataalamu wa kuchoma nyama za aina zote. Naomba tips za kibabe kuhusu namna ya kumarinate nyama kabla ya kuichoma na baada. Viungo gani vitumike, kiasi gani, balancing ya moto haswa kwenye...
3 Reactions
32 Replies
12K Views
Chakula ni afya, chakula ni tia lakini chakula kinaweza kuwa na ubora mdogo au kukosa kabisa iwapo kitakosewa wakati wa kupikwa na kumaliza kabisa virutubisho. Chakula kama hicho watu hula kujaza...
4 Reactions
39 Replies
2K Views
Mahitaji Nyama kilo moja Tangawizi na thomu viwe vimesagwa kila kimoja ujazo wa nusu kijiko cha chai Kitunguu maji kimoja kikubwa kikatwe katwe Nyanya maji kubwa tano Limao kiasi Mchuzi mix...
7 Reactions
7 Replies
4K Views
1 Reactions
1 Replies
575 Views
Napenda kuwasalimu ndugu zangu wa JF. Nimekuwa nikipika maharage lakini nashindwa kuyafanya yawe matamu ila akipika mwingine naona ni matamu. Nashindwa pia kujua kubalance mchuzi ninapounga...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wadau naomba tushare sehemu nzuri kwa hapa Dar ambazo zinawapishi wazuri wa kitimoto tuweze kuwa tuna badili viwanja. Majina ya sehem na location itapendeza zaidi. -------- Pitia link hizi...
3 Reactions
106 Replies
21K Views
Back
Top Bottom