Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Coconut Meat Curry Nyama - ½ Kg Curry Powder - 2tsp Ndimu - 2 Grated Ginger - 2 Mafuta - 3tbsp Vitunguu Maji - 2 Big (Ungraded) Pili Pili Boga - 3 Big Pili Pili Nzima - 3 Nazi Ya Kopo - 1/4Ltr...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tupia pic ya chakula pendwa usichokikinai daily... Kwangu mimi Ugali nyama mix mboga za majani Yummy
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Haya tena jamani leo nataka tujifunze namna ya kuandaa unga wa lishe hadi jinsi ya kuupika uji huu. Ningeomba sana kanuni nitakayo itumia hapa basi kila mmoja airekebishe kulingana na jinsi...
4 Reactions
41 Replies
148K Views
Wadau wa jukwaa hili naombeni utaalamu wenu kuntu, hatua kwa hatua ya namna bora ya kupika tambi zikawa hazikatiki katiki wala kushikamana kama wali. Zikawa nzuri na wakati wa kula unaweza...
3 Reactions
242 Replies
273K Views
Kwetu tulikua tunaita kijogoo
0 Reactions
0 Replies
660 Views
Ugali wa muhogo na dagaa za kiswazi na tembele Sent using Jamii Forums mobile app
8 Reactions
30 Replies
4K Views
Mara Nyingi Niwapo Kwenye Shughuli Zangu Za Kutafuta Riziki Lazma Nitumie Chakula cha Mama Ntilie Alie Karibu na Kazi Yangu! Au Naweza Agiza Mtandaoni Pia ! Sijawai Pata Elimu Nzuri Kuhusu...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau habari za humu,naomba kujua ni nini huwa wanaweka kwenye juice inavyokuwa imetengenezwa hata ikae muda mrefu kama miezi hata mitatu miwili,idea yangu nataka kuanzisha kiwanda cha kupack...
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Peace be upon you all sons of Zion, Nimepita na kuishi mikoa mingi ila nikiri kwa ulaji wa nyama Arusha ni kinara. Bila kua na takwinu rasmi lakini nadiriki kusema nyama inayoliwa Arusha inaweza...
1 Reactions
3 Replies
694 Views
Wazima vijana wenzangu kwa wazee? Kutokana naukweli kwamba wanga si mzuri natujitaidi kuupiga vita... binafsi nimeona kabisa naelekea pabaya,mpaka nishibe basi ni unga robo tatu wa dona na kilo...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Naona ni usiku ila lengo langu la kuleta uzi naomba niliweke wazi. Wengi tunapenda kunywa maji ya moto asubuhi ama jioni, ili kupasha tumbo kabla ya chakula kigumu. Wengi machaguo yetu huangukia...
2 Reactions
110 Replies
3K Views
Hili swali nimekuwa nikijiuliza bila kuelewa, nimekuwa nikisikia majibu kama chumvi mbichi na chumvi iliyoiva, sielewi ni namna gani chumvi inaitwa imeiva wakati yenyewe ni kemikali. Tuchukulie...
7 Reactions
41 Replies
3K Views
Wasalaam, Naomba kusaidiwa ni wapi naweza pata kitimoto iliyorostiwa vizuri kwa Mwanza?
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Chumvi ni kiungo muhimu katika vyakula, na ina athari zake kwenye chakula tunachokula. Hapa kuna baadhi ya athari za chumvi kwenye chakula hasa chumvi ile ya kuunga wakati wa kula kama kuongeza...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu naomba kuelekezwa jinsi ya kuandaa chapati za kusukuma, kuanzia kukanda unga kila kitu.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habari za siku ya leo. Mimi hupenda sana siku za sikukuu ama baadhi ya weekend mida ya jioni nikiwa peke yangu kupata chakula katika migahawa mizuri na bora. Sehemu ninazopendelea sana ni...
2 Reactions
22 Replies
7K Views
Nimeamua nimpike leo shemeji yenu leo ili ale ashibe ndipo nimwambie sasa kuhusu Pamela, achague mmoja mimi au Pamela! Nimemuwekea na ka mzizi kidogo!
14 Reactions
104 Replies
4K Views
Mahitaji muhimu ni ulezi 1kg, mahindi 1kg, karanga 1/4, mchele 1/4, ngano isiyokobolewa 1/4. Chambua viungo vyote Kisha uvisafishe baada ya hapo vianike Juani vikauke vizuri. Kaanga karanga...
4 Reactions
7 Replies
12K Views
Natamani kujua jinsi ya kuuandaa [emoji3064][emoji174]kuna mtu amewahi kujaribu ukatokea?
0 Reactions
0 Replies
563 Views
Wana jamvi, Naomba mnisaidie kunielekeza jinsi ya kupika ubuyu wa Zanzibar ule unao kuwa mlaini maana mimi nilijaribu lakini unatoka mgumu hauwi mlaini na wenye unga, nifanye nini?. =========...
1 Reactions
35 Replies
50K Views
Back
Top Bottom