Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,194
- 4,115
Mahitaji;
Weka mihogo kisha weka tui maji size mpaka itakapoziba mihogo yako na chumvi utaacha vichemke mpaka utaona inaanza kukaukia na mihogo inaiva vizuri.
Tui maji likishabakia kidooogo na mihogo yetu ikishaiva, unaweka tui lako zito na kuacha vichemkie tu kidogo mpaka liive na kwa uzito unaotaka mwenyewe.
Ukiona uzito wa rojo imetosha upendavyo unaipua tayari kwa kula. Muhogo raha yake uupate na samaki wa kukaanga, au uduvi👌🏻
Ukitaka kuchanganya uduvi kwenye muhogo wako basi unauosha vizuri alafu unauweka kabla ya kutia bubu yaan likishaanza tui maji kukauka kauka unauweka unaacha uchemkie halafu unaweka tui bubu.
- Tui la nanzi (Tui zito na tui maji) tui maji ni mchujo wa pili wa nazi
- Nyanya 2
- kitunguu
- mfuta ya kula kiasi
- Mihogo uliomenywa na kukatwa vipande vidogo vidogo
- Chumvi
Weka mihogo kisha weka tui maji size mpaka itakapoziba mihogo yako na chumvi utaacha vichemke mpaka utaona inaanza kukaukia na mihogo inaiva vizuri.
Tui maji likishabakia kidooogo na mihogo yetu ikishaiva, unaweka tui lako zito na kuacha vichemkie tu kidogo mpaka liive na kwa uzito unaotaka mwenyewe.
Ukiona uzito wa rojo imetosha upendavyo unaipua tayari kwa kula. Muhogo raha yake uupate na samaki wa kukaanga, au uduvi👌🏻
Ukitaka kuchanganya uduvi kwenye muhogo wako basi unauosha vizuri alafu unauweka kabla ya kutia bubu yaan likishaanza tui maji kukauka kauka unauweka unaacha uchemkie halafu unaweka tui bubu.