Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Neno uhuni linamaanisha tabia ya kufanya mambo yasiyofaa au kukubalika katika jamii,hii ni pamoja na matendo ya udharirishaji, uvunjaji wa sheria au kuonyesha ukosefu wa maadili,kwa ufupi ni tabia...
1 Reactions
2 Replies
631 Views
Kwa muda mrefu sana nimekuwa napata wakati mgumu ninapoona baadhi ya maneno ya Kingereza haswa katika Technology au professional fulani kukosa tafsiri rasmi. Hapa neno "tafsiri" nina maana ya...
11 Reactions
191 Replies
8K Views
Hello JF, I'm looking for someone in dar es Salam who is a Native english Speaker, The purpose of looking for that person is learning Anyone interested please check me
10 Reactions
66 Replies
2K Views
Wakuu salaam, tunaendelea na mada yetu ya aina za maneno katika andiko hili tutatazama vitenzi kwa upana wake. Tutaangalia dhana ya vitenzi kwa ujumla pamoja na aina zake. Twende pamoja tujadili...
1 Reactions
6 Replies
78K Views
Bongo/Wabongo hivi neno hili limetokea wapi na maana yake ni nini? Neno hili lilipoanza nilikuwa nikiishi kigoma, kipindi hicho kulikuwa na watanzania wengi walikuwa wakienda Karemii -Zaire (DRC...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Hivi mtoto wa fomfour miaka 17 hadi 20 inakuwaje hawezi kutofautisha Kati ya "r" na "l" "Karibu" mtoto anaandika " kalibu" 👉Kwenye matamshi ya lugha binafsi siwezi tupa lawama hii ni kutokana na...
8 Reactions
36 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Zipo lugha nyingi za asili kwetu Watanzania lakini kiswahili siyo miongoni mwao Tafakuri ya kina kwa wenye hekima pekee Dominika njema
0 Reactions
14 Replies
817 Views
RIWAYA: KOSA MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA SIMU:+255713776843 +255762219759 WHATSAPP:+255713776843 SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA AFYA NJEMA...
1 Reactions
4 Replies
6K Views
Nahitaji constructive critiques katika kipamfeleti changu hiki cha watoto ...
1 Reactions
1 Replies
320 Views
Haya sasa wale wakali wa kiswahili waje wanipe tofauti kati ya neno "ndio" na "ndiyo"
2 Reactions
11 Replies
24K Views
Nini hasa maana ya neno hilo,wadau wa kiswahili tujulisheni
0 Reactions
0 Replies
309 Views
Habari ndugu zangu. Nina hamu sana ya kufahamu lugha ya majirani zangu wasambaa. Ni kipaumbele kwangu kwa kweli likija suala la kujua lugha mbalimbali tofauti. Kuna mtu anaweza kunipa mbinu...
1 Reactions
43 Replies
37K Views
Kuna baadhi ya maneno ni lile lile ki maana ila tunarudia sababu ya lugha ni tofauti. Mfano Sahara Desert...Sahara ni desert kiarabu. Ukisema jangwa la Sahara, manake jangwa la jangwa - desert...
11 Reactions
34 Replies
21K Views
Hongera kwa watunzi wa vitabu, hongera kwa wahakiki . Vitabu vile vya Lugha ya Kiswahili darasa la pili mpaka darasa la nne vinatosha kabisa kufanya kumfanya mtu ajue kuzungumza na kuandika...
5 Reactions
8 Replies
960 Views
Google na chatGTP naona hazinipi majibu yanayoridhisha.
1 Reactions
5 Replies
501 Views
Hili neno "kushenyeta" naliona kwenye muktadha tofauti tofauti sana na inanipa ugumu kujua maana yake halisi ni nini. Wataalam wa lugha hebu tuambieni maana halisi ya hili neno
7 Reactions
10 Replies
5K Views
Naomba kujua tofauti ya maneno haya mawili ya kiswahili
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Mungu alijitambulisha kwa MUSA kwamba yeye anaitwa " MIMI NIKO" Kutoka 3:14 MINI MAANA "MIMI NIKO"? Haya maneno asili yake ni lugha ya kiEbrania "Ehyeh Asher Ehyeh" Nini maana ya Ehyeh Asher...
0 Reactions
5 Replies
658 Views
Habarini wadau, Hakuna ubishi kuwa Tanzania ndiko asili ya Lugha ya Kiswahili sanifu na fasaha na siyo Kenya. Wakenya wamekuwa ta tabia ya kuzungumza Kiswahili kwa kukitafasiri moja kwa moja...
5 Reactions
16 Replies
993 Views
Back
Top Bottom