Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Wakuu naomba kujifunza lugha ya Kikurya. Kwa mwenye ujuzi na hili naomba atupie maneno ya kiswahili pamoja na tafsiri yake kwa kikurya au kinyume chake. Tupia maneno mengi kwa kadri uwezavyo.
1 Reactions
15 Replies
22K Views
Kama hawana tofauti, kwa nini mnyama mmoja tupoteze muda kumpa majina mawili?
2 Reactions
21 Replies
9K Views
Watu wanaotamka ridhiki badala ya riziki wanakuwa na matatizo gani ya ulimi au ubongo?
2 Reactions
16 Replies
875 Views
Kuna siku tulitembelewa na baharia ambaye ameishi pakistan,india,ufaransa na kwa sasa anaishi canada na hizo nchi zote kuangaika kwake ametumia mda mrefu tokea akiwa kijana katika safari ya...
4 Reactions
3 Replies
465 Views
Habari zenu wakuu? Nimekuwa nikijifunza english kwa mwaka sasa. Hasa pronouncing and listening skills. Nimefanikiwa kwa kiwango kadhaa lakini changamoto kubwa ni kufanya mazoezi ya kutamka peke...
17 Reactions
95 Replies
3K Views
MSAADA anaejua neno chaw akwa kiingereza maana tunakorlekea hii ndio kazi inayoheshimikaa
3 Reactions
17 Replies
872 Views
Nawaamkia wana JF huku nikiwa na machungu makubwa kwa kuondokewa na mmoja wa magwiji wa Kiswahili hususan katika taaluma ya Ushairi Huyu si mwingine bali ni mzee Jumanne Mayoka. Hapa chini...
1 Reactions
20 Replies
10K Views
“A poem cannot stop a bullet. A novel can't defuse a bomb. But we are not helpless. We can sing the truth and name the liars.” ~Salman Rushdie. Huyu mdau amenisurika kuuliwa na utawala wa...
1 Reactions
0 Replies
446 Views
Kulikuwa na ubaya gani kama tungetohoa neno drone la kiingereza liwe droni kwenye kiswahili? Hii kuiita ndegenyuki ni direct translation ya kijinga. Mbona wale nyuki wanaoitwa drones kwa...
5 Reactions
9 Replies
796 Views
Habari zenu wana kiswahili... Kwa mara nyengine nimeamua kuibukia huku tena ili nieleze dukuduku langu juu ya maneno kama mawili matatu ambayo sijavutiwa nayo!. pia ningependa mabaraza ya...
13 Reactions
67 Replies
3K Views
Kiswahili kikikuzidi sana unaweza ukawa "Kiongozi wa Kitaifa" ila lugha ya Asili ni muhimu sana.. Kama mgeni ukisafiri utahitaji mahitaji mbalimbali ikiwamo Lodge, Manunuzi ya Vitus, na...
5 Reactions
80 Replies
4K Views
Neno "kuweza" limekuwa linatumiwa vibaya sana kwenye kiswahili cha siku hizi. Luna mifano mingiya matumizi hayo haramu kwa mfano kwenye sentensi hii ina makosa: "Mchezaji wa zamani wa timu A...
6 Reactions
16 Replies
1K Views
Kiswahili sahihi ni mboga ya matembeLe au matembere?
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Aichi—Anajua iachikyia--Kujenga Ichele—Kichaga Ichondi- --- Kondoo Iikyelyia—Kuogelea Ikawilyia—Kupalilia Ilyingoi---Jogoo inyi—Mimi Ipalipali- --Bahari Ipore---Yai Irikoso—Taji...
17 Reactions
213 Replies
60K Views
Wadau kuna maneno yanatatiza , Ukifuatilia vyombo vya habari siku hizi kwenye mahojiano, au popote pale kwenye maisha ya kila siku, pindi mtu anapopewa fursa ajitambulishe utasikia anaanza kusema...
0 Reactions
4 Replies
754 Views
Habari za kushehereke Uhuru wetu Watanzania, na wale wasiokuwa watanzania habarini za kazi. Kuna neno limezuka hapa katikati na limekuwa maarufu sanaa hasa ktk nyanja za soka lkn mm binafsi...
1 Reactions
5 Replies
23K Views
Inawezekana idadi ya Waganda wanaojua Kingereza ni kubwa kuliko idadi ya Watanzania wanaojua Kimalkia, lakini si kila Mganda anajua Kizungu. Nililijua hili kwa mara ya kwanza mwaka Jana baada ya...
0 Reactions
4 Replies
548 Views
Wakuu nimekuwa nikisoma hapa jamvini na kwingineko watu wanapoandika wanabadilisha matumizi ya herufi “L” and “R” kwenye maneno. Kwa mfano, unakuta mtu anaandika “daradara” badala ya “daladala”...
4 Reactions
225 Replies
40K Views
Nimekuwa nikifuatilia Clip nyingi za wanajeshi maporini huko DR Congo asilimia kubwa wanatumia Kiswahili Waasi wanatumia kiswahili Wa DR Congo wanatumia kiswahili Na wengine wengi majirani...
5 Reactions
44 Replies
2K Views
Back
Top Bottom