Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Alligator pepper na bay leaves kwa Kiswahili fasaha zinaitwaje? Thanks.
2 Reactions
24 Replies
13K Views
1. Nipomaliza la saba, litorokea mjini, Mguuni nina raba, na kibegi mgongoni, Nauli ninayo haba, nimeweka mfukoni, Penzi la mwana wa bosi, menitia matatani. 2. Gari zuri tukapanda, kuelekea...
1 Reactions
0 Replies
536 Views
BARUA KUTOKA JELA Kuna mbaba mmoja, mwanae lifungwa jela, Jina lake sitotaja, nakataliwa na mila, Machozi yakamvuja, mfukoni hana hela, Barua kutoka jela, ilimkomboa baba. Aliandika barua, kwa...
1 Reactions
0 Replies
334 Views
NIMEVUA PENDO LANGU Sitokuja penda tena, katika maisha yangu, Nilimpenda Amina, kipenzi cha moyo wangu, Tukaja tukaoana, kutimiza lengo langu, Nimevua pendo langu, sitokuja oa tena. Binti kutoka...
1 Reactions
0 Replies
289 Views
WYNE LOTTER 1)Majonzi makubwa sana,kwa haya yalotokea Hadharanu kuuana,wale wanaotetea Wanyama wazuri sana wasije kuangamia Ni nani alomuua,apingae ujangili. 2)Aliyapita masafa,kuingia Tanzania...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama ilivyojadi kwa manguli wa tasnia ya lugha mbalimbali ulimwenguni, ni kawaida kila mwisho wa mwaka kuingiza misamiati mipya katika lugha zao ili kuendelea kukuza na kuhuisha lugha zao asilia...
0 Reactions
6 Replies
663 Views
Mchongo...... Koneksheni..... Kumsagia kunguni...... Upwiru... Mduwanzi...... Kudanga.... Msambwanda...... Kubeti...... Kwa Mpalange.... Papuchi....... Mshua..... Bi Mkubwa...... Mdingi...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Naona kuna watu wanaitwa Hassan wengine Hussein sasa sijajua ni watu wanakosea kutamka au ni majina tofauti.
1 Reactions
20 Replies
4K Views
1. President-elect; kwa Kiswahili tafsiri yake ni Rais mteule. Rais aliyechaguliwa anakuwaje rais mteule? Mteule si yule anayeteuliwa? President - rais. Elect-chagua/ chaguliwa. Kwa nini huyo...
6 Reactions
57 Replies
3K Views
Je, ni neno gani la kiingereza, Kiswahili au jina la mtu ambalo mtu wako wa karibu au mtu yeyote unayemfahamu aliwahi kutamka kimakosa mpaka ukaona aibu kwa niaba yake, Ukamshusha hadhi uliyokuwa...
0 Reactions
48 Replies
2K Views
Binafsi sio Mwalimu kwa taaluma lakini Huwa nafundisha wanafunzi Masomo ya ziada baadhi ya nyakati. Katika wanafunzi nilonao wengi hawajui matumizi sahihi ya herufi na matamshi yake. Mtu yupo...
6 Reactions
34 Replies
1K Views
Wadau, nifahamisheni watu hawa waweza kuwaita kwa jina gani kwa uhusiano huu. 1. Mwanaume ambaye tumeoa familia moja. (Yaani ameoa mdogo wa mke wangu), mimi namuitaje? 2. Mdogo wa kike wa...
0 Reactions
1 Replies
402 Views
Wapwa habarini za mchana. Kumradhi wenye kujua maana na tofauti ya maneno haya mawili ya kiingereza naomba anijuze. Ahsanteni
1 Reactions
1 Replies
438 Views
Habari zenu Nataka kusearch mtandaoni ile midoli inayovalishwa nguo katika maduka ya nguo Naomba kuuliza je kwa kiingereza inaitwaje? ili niweze kuisaka huko Alibaba Ahsanten
4 Reactions
7 Replies
612 Views
Asalam aleykum Kama kichwa hapo juu kinavyo jieleza makabila mengi ya kibantu katika utamkaji wao wa maneno huwa hawatamki r. na kiswahili kina msingi wa kibantu watu wengi hawaji hili na...
1 Reactions
4 Replies
489 Views
Wakuu wa JamiiCheck msaada tafadhali tupate uhalisia wa hii video kama imetengenezwa au ni ya kweli
2 Reactions
8 Replies
996 Views
Nianze na kabila langu kubwa la wasukuma "mwangaroka bhadugu bhane" "Yani habari zenu ndugu zangu" Tuendeleze Sasa makabila mengine kwa salamu....
5 Reactions
78 Replies
3K Views
Thread ya Kujifunza Kiingereza pole pole [Thread for Learning English bit by bit[
2 Reactions
60 Replies
6K Views
Nimekuwa nikishuhudia baadhi ya ndugu zetu wa nchi jirani wakitumia mofimu "kwa" katika namna ambayo siyo sahihi kwa mjibu wa Kiswahili sanifu na fasaha. Ninaelewa kuwa kuna utofauti wa kilahaja...
4 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom