Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Kuna baadhi ya maneno ni lile lile ki maana ila tunarudia sababu ya lugha ni tofauti. Mfano Sahara Desert...Sahara ni desert kiarabu. Ukisema jangwa la Sahara, manake jangwa la jangwa - desert...
11 Reactions
34 Replies
21K Views
Hongera kwa watunzi wa vitabu, hongera kwa wahakiki . Vitabu vile vya Lugha ya Kiswahili darasa la pili mpaka darasa la nne vinatosha kabisa kufanya kumfanya mtu ajue kuzungumza na kuandika...
5 Reactions
8 Replies
992 Views
Google na chatGTP naona hazinipi majibu yanayoridhisha.
1 Reactions
5 Replies
520 Views
Hili neno "kushenyeta" naliona kwenye muktadha tofauti tofauti sana na inanipa ugumu kujua maana yake halisi ni nini. Wataalam wa lugha hebu tuambieni maana halisi ya hili neno
7 Reactions
10 Replies
5K Views
Naomba kujua tofauti ya maneno haya mawili ya kiswahili
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Mungu alijitambulisha kwa MUSA kwamba yeye anaitwa " MIMI NIKO" Kutoka 3:14 MINI MAANA "MIMI NIKO"? Haya maneno asili yake ni lugha ya kiEbrania "Ehyeh Asher Ehyeh" Nini maana ya Ehyeh Asher...
0 Reactions
5 Replies
696 Views
Habarini wadau, Hakuna ubishi kuwa Tanzania ndiko asili ya Lugha ya Kiswahili sanifu na fasaha na siyo Kenya. Wakenya wamekuwa ta tabia ya kuzungumza Kiswahili kwa kukitafasiri moja kwa moja...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
Alligator pepper na bay leaves kwa Kiswahili fasaha zinaitwaje? Thanks.
2 Reactions
24 Replies
13K Views
1. Nipomaliza la saba, litorokea mjini, Mguuni nina raba, na kibegi mgongoni, Nauli ninayo haba, nimeweka mfukoni, Penzi la mwana wa bosi, menitia matatani. 2. Gari zuri tukapanda, kuelekea...
1 Reactions
0 Replies
580 Views
BARUA KUTOKA JELA Kuna mbaba mmoja, mwanae lifungwa jela, Jina lake sitotaja, nakataliwa na mila, Machozi yakamvuja, mfukoni hana hela, Barua kutoka jela, ilimkomboa baba. Aliandika barua, kwa...
1 Reactions
0 Replies
354 Views
NIMEVUA PENDO LANGU Sitokuja penda tena, katika maisha yangu, Nilimpenda Amina, kipenzi cha moyo wangu, Tukaja tukaoana, kutimiza lengo langu, Nimevua pendo langu, sitokuja oa tena. Binti kutoka...
1 Reactions
0 Replies
304 Views
WYNE LOTTER 1)Majonzi makubwa sana,kwa haya yalotokea Hadharanu kuuana,wale wanaotetea Wanyama wazuri sana wasije kuangamia Ni nani alomuua,apingae ujangili. 2)Aliyapita masafa,kuingia Tanzania...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama ilivyojadi kwa manguli wa tasnia ya lugha mbalimbali ulimwenguni, ni kawaida kila mwisho wa mwaka kuingiza misamiati mipya katika lugha zao ili kuendelea kukuza na kuhuisha lugha zao asilia...
0 Reactions
6 Replies
745 Views
Mchongo...... Koneksheni..... Kumsagia kunguni...... Upwiru... Mduwanzi...... Kudanga.... Msambwanda...... Kubeti...... Kwa Mpalange.... Papuchi....... Mshua..... Bi Mkubwa...... Mdingi...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Naona kuna watu wanaitwa Hassan wengine Hussein sasa sijajua ni watu wanakosea kutamka au ni majina tofauti.
1 Reactions
20 Replies
4K Views
1. President-elect; kwa Kiswahili tafsiri yake ni Rais mteule. Rais aliyechaguliwa anakuwaje rais mteule? Mteule si yule anayeteuliwa? President - rais. Elect-chagua/ chaguliwa. Kwa nini huyo...
6 Reactions
57 Replies
3K Views
Je, ni neno gani la kiingereza, Kiswahili au jina la mtu ambalo mtu wako wa karibu au mtu yeyote unayemfahamu aliwahi kutamka kimakosa mpaka ukaona aibu kwa niaba yake, Ukamshusha hadhi uliyokuwa...
0 Reactions
48 Replies
3K Views
Binafsi sio Mwalimu kwa taaluma lakini Huwa nafundisha wanafunzi Masomo ya ziada baadhi ya nyakati. Katika wanafunzi nilonao wengi hawajui matumizi sahihi ya herufi na matamshi yake. Mtu yupo...
6 Reactions
34 Replies
2K Views
Wadau, nifahamisheni watu hawa waweza kuwaita kwa jina gani kwa uhusiano huu. 1. Mwanaume ambaye tumeoa familia moja. (Yaani ameoa mdogo wa mke wangu), mimi namuitaje? 2. Mdogo wa kike wa...
0 Reactions
1 Replies
430 Views
Wapwa habarini za mchana. Kumradhi wenye kujua maana na tofauti ya maneno haya mawili ya kiingereza naomba anijuze. Ahsanteni
1 Reactions
1 Replies
470 Views
Back
Top Bottom