Nimekuwa nikishuhudia baadhi ya ndugu zetu wa nchi jirani wakitumia mofimu "kwa" katika namna ambayo siyo sahihi kwa mjibu wa Kiswahili sanifu na fasaha. Ninaelewa kuwa kuna utofauti wa kilahaja...
Msomi mmoja amewahi kusema Lugha ya kiswahili inamisamiati michache hivyo inakuwa ngumu kutafsiri vitabu vya Lugha zingine.
Huu Nauita ni upumbafu kwa sababu lugha inakua na kubadilika kila...
Nauliza tu ndugu Zangu maana nijuavyo Vyama vya Siasa ni Mali ya Umma siyo binafsi
Aidha Kanisa ni la Yesu Kristo yaani Moja Takatifu La Mitume na Utukufu Ni wa Mungu Juu Mbinguni siyo Wanadamu...
Yaani nakutana na mfanyakazi wangu mmoja leo namuuliza ulikuwa wapi time niliyokuwa nakutafuta ananiambia boss nilitoka kuhemea nikamuuliza kuhemea ndio maana yake nini maana tayari kichwani...
Hua nasikia kwenye matangazo mbalimbali kama matamasha au maombi fulani au semina wakitangaza baadhi ya viongozi au waaalim fulani wa huchi kipindi wakati huohuo watasema pia kuna mwanazuoni au...
Husika na mada tajwa hapo juu nikiwa na elimu yangu kidato cha nne kati ya vitu vinavyonipa mawazo ni kutokuwa na uwezo wa kumudu kuongea lugha ya kiiingereza wengine najua wataanza kusema kwanini...
Nipo ndani ya jukwaa la lugha na pia napenda kutumia fursa hii kuwashukuru members wote wa jamii forums.
Lengo langu nikutaka kukuletea fursa mbalmbali za kujifunza lugha wakati unapokua KWENYE...
January 22, 2013
RIWAYA: MBALI NA NYUMBANI mwandishi Shafi Adam Shafi
Kwa Mukhtasari Tunachangamkia kuchapishwa kwa Mbali na Nyumbani, tawasifu ya mwandishi maarufu wa Zanzibar Adam Shafi...
1. Kudanga = kufanya ukahaba.
2. Body count = idadi ya watu uliofanya nao mapenzi.
3. One night stand = kufanya mapenzi mara moja na mtu asiyekuwa mpenzi wako ili kukidhi tamaa za kimwili.
4...
Moja ya sifa ya lugha yoyote duniani ni pamoja na lugha hiyo kukua.Hujitokeza misamiati,nahau mpya au hata baadhi ya maneno kuchepushwa kutoka kwenye maana take ya asili.Sina utafiti rasmi ila...
Ndugu Wanajamii, kuna ndugu zetu Wamarekani wenye Asili ya Afrika wanakuja Tanzania kutafuta mizizi (roots) yao katika programu ya African Diaspora Heritage Trail (ADHT) <...
Nijuzeni jina la Mwanamke mlevi kwa kiswahili fasaha anaitwaje
Tupo na mke wangu hapa tunabishana ananitajia majina ya ajabu ajabu
Na jee mwanamke mlevi kwa kimombo anaitwaje?[emoji23]
My...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.