Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Nimekuwa nikishuhudia baadhi ya ndugu zetu wa nchi jirani wakitumia mofimu "kwa" katika namna ambayo siyo sahihi kwa mjibu wa Kiswahili sanifu na fasaha. Ninaelewa kuwa kuna utofauti wa kilahaja...
4 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba nipewe majina ya Kiswahili ya vitu vifuatavyo: 1. Computer 2. Keyboard ya computer 3. CPU (Central Processing Unit)
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Watu wanaposema "kama huna D mbili" utanielewa huwa wana maana gani? Zamani nilikuwa naona pia humu JF watu wanakomenti sana DD kwenye nyuzi pia.
3 Reactions
36 Replies
7K Views
Msomi mmoja amewahi kusema Lugha ya kiswahili inamisamiati michache hivyo inakuwa ngumu kutafsiri vitabu vya Lugha zingine. Huu Nauita ni upumbafu kwa sababu lugha inakua na kubadilika kila...
0 Reactions
0 Replies
500 Views
Nauliza tu ndugu Zangu maana nijuavyo Vyama vya Siasa ni Mali ya Umma siyo binafsi Aidha Kanisa ni la Yesu Kristo yaani Moja Takatifu La Mitume na Utukufu Ni wa Mungu Juu Mbinguni siyo Wanadamu...
0 Reactions
1 Replies
304 Views
Yaani nakutana na mfanyakazi wangu mmoja leo namuuliza ulikuwa wapi time niliyokuwa nakutafuta ananiambia boss nilitoka kuhemea nikamuuliza kuhemea ndio maana yake nini maana tayari kichwani...
14 Reactions
74 Replies
3K Views
Hua nasikia kwenye matangazo mbalimbali kama matamasha au maombi fulani au semina wakitangaza baadhi ya viongozi au waaalim fulani wa huchi kipindi wakati huohuo watasema pia kuna mwanazuoni au...
0 Reactions
9 Replies
18K Views
Husika na mada tajwa hapo juu nikiwa na elimu yangu kidato cha nne kati ya vitu vinavyonipa mawazo ni kutokuwa na uwezo wa kumudu kuongea lugha ya kiiingereza wengine najua wataanza kusema kwanini...
1 Reactions
34 Replies
4K Views
Nipo ndani ya jukwaa la lugha na pia napenda kutumia fursa hii kuwashukuru members wote wa jamii forums. Lengo langu nikutaka kukuletea fursa mbalmbali za kujifunza lugha wakati unapokua KWENYE...
42 Reactions
95 Replies
8K Views
"X" and "y" are both favored to "z" on the right wing.
1 Reactions
6 Replies
529 Views
January 22, 2013 RIWAYA: MBALI NA NYUMBANI mwandishi Shafi Adam Shafi Kwa Mukhtasari Tunachangamkia kuchapishwa kwa Mbali na Nyumbani, tawasifu ya mwandishi maarufu wa Zanzibar Adam Shafi...
0 Reactions
5 Replies
19K Views
Hi guys my name is Jackson enos ....my needs I want to improve on English language so I want u support
2 Reactions
29 Replies
5K Views
Wadau kuna mtu ananitukana kila muda eti, We basha tu. What is the meaning?
1 Reactions
9 Replies
11K Views
1. Kudanga = kufanya ukahaba. 2. Body count = idadi ya watu uliofanya nao mapenzi. 3. One night stand = kufanya mapenzi mara moja na mtu asiyekuwa mpenzi wako ili kukidhi tamaa za kimwili. 4...
2 Reactions
4 Replies
437 Views
Nijibuni haraka upesi tafadhali kwani kuna Mwanafunzi wa Lugha ya Kiswahili Mgeni anataka kujua na Mimi wala sijui.
5 Reactions
39 Replies
3K Views
Moja ya sifa ya lugha yoyote duniani ni pamoja na lugha hiyo kukua.Hujitokeza misamiati,nahau mpya au hata baadhi ya maneno kuchepushwa kutoka kwenye maana take ya asili.Sina utafiti rasmi ila...
0 Reactions
1 Replies
398 Views
Ndugu Wanajamii, kuna ndugu zetu Wamarekani wenye Asili ya Afrika wanakuja Tanzania kutafuta mizizi (roots) yao katika programu ya African Diaspora Heritage Trail (ADHT) <...
0 Reactions
3 Replies
14K Views
I'm not God, not yet
0 Reactions
1 Replies
593 Views
Nijuzeni jina la Mwanamke mlevi kwa kiswahili fasaha anaitwaje Tupo na mke wangu hapa tunabishana ananitajia majina ya ajabu ajabu Na jee mwanamke mlevi kwa kimombo anaitwaje?[emoji23] My...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Back
Top Bottom