Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
The Kiswahili lesson you missed. 1. password- Nywila. 2. juice - sharubati. 3. chips - vibanzi. 4. PhD - uzamifu. 5. Masters - uzamili. 6. Degree - shahada. 7. Diploma - stashahada. 8. Certificate...
4 Reactions
14 Replies
29K Views
Hakuna ambaye anajua kutamka neno hili kwa usahihi. Wahudumu wa ndege kwa Kiingereza wanaitwaje? Chagua jibu sahihi A. Air hostage B. Hair Hostess Jibu ni kati ya hayo mawili hapo juu.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
I can neither confirm nor deny that any intelligence was shared to facilitate last night's operation. Kwa kweli When a diplomat says yes, he means perhaps; when he says perhaps, he means no...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Utamwamini vipi mtu akupakie rangi nyumbani kwako wakati hawezi tofautisha baina ya herufi L na R Kwa AJIRI = kwa AJILI
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Hakuna ambaye anajua kutamka neno hili kwa usahihi. Wahudumu wa ndege kwa Kiingereza wanaitwaje? Chagua jibu sahihi A. Air hostage B. Hair Hostess Jibu ni kati ya hayo mawili hapo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba kujua matumizi yake, Kwa mfano mtu anataka umpishe utasikia sorry naomba kupita. Mwingine atasema excuse me. Usahihi wake upo wapi? Nisaidieni, we are still learning! MAONI YA MDAU...
0 Reactions
24 Replies
8K Views
Wanajanvi, nawasalimu kwa jina lake yeye aliyetupa uhai Wajuvi wa hii lugha iliyoletwa na ndege na meli. Naomba kujua matumizi ya haya maneno: 1. Shall 2. Will 3. Could 4. Would Ni sehemu gani...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Nadharia ya Kiswahili Kiswahili ni lugha ya Kibantu inayotumiwa na watu katika mawasiliano hasa Afrika Mashariki na ya Kati. Lugha ni sauti za nasibu zenye mpangilio maalumu zilizokubaliwa na watu...
2 Reactions
7 Replies
8K Views
Oats zinaitwaje kwa Kiswahili? Na wapi zinapatikana kwa bei rahisi, zisizo kwenye makopo.
1 Reactions
6 Replies
59K Views
Naomba kujua tofauti ya maneno haya Criticism Arguments Blaming Critical points Je ni nini utofauti wake na lugha gani inapaswa kutumika ili kusadifu kwamba upo katika kundi hilo? Mfano katika...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari wakuu! Siku hizi ninafanya utafiti wa lugha zinazotumiwa na makabila nchini Tanzania na Kenya. Tafadhali nisaidie kutaja majina ya lugha hizo. Shukran
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Hellow Bosess Leo nimevutiwa na nukuu moja kutuka kwenye kitabu cha kiswahili nimeiona kwenye post ya Kapula la Marx (nimesahau kidogo jina, nimeutafuta ule uzi sijauona tena) Noamba kujua ni...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi nahisi lugha ya Kifaransa ipewe uzito wake maana ni nyepesi kujifunza kuliko Kingereza.
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Bonjour! bonjour! bonjour!! Hello! hello! hello!! Ndugu; Kwa wale wanaozungumza au kutumia Lugha ya Kiingereza mtakubaliana na mimi kuwa ni ukweli ulotukuka kuwa lugha ya kiingereza imesheheni...
7 Reactions
17 Replies
6K Views
Habari wakuu mimi ni mwanafunzi kujifunza Kiswahili nchini China. Mimi nahitaji kamusi za Kiswahili lakini nimeshapata moja tu. Maswali matatu: La kwanza: huko Tanzania watoto wa shule za msingi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanajamii forum! Tafadhali naomba tafsiri sahihi ya redio jamii. Tofauti yake na redio nyingine ni ipi?
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Wakuu uzi huu ni maalumu kwa ajili ya kujua maana mbalimbali za maneno tata. Mfano: KATA - Kata mti | Kata kiuno Nipe neno na wewe lenye maana zaidi ya moja.
1 Reactions
16 Replies
11K Views
KISULISULI. Mwashinda bure maombi,mkiyapiga magoti Hamjui Kuna dhambi,kubwa ya kuomba noti Kutwa mnaweka kambi,mje mmiliki boti Pepo za kisulisuli,zilivuma zikaganda. Watu mnaombwa...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Linaweza kuonekana swali la kipuuzi lakini haya maneno kama huwa yanatatiza. Hivi mtu akisema ananifahamu na mwingine akasema ananijua. Wanaweza kuwa na maana sawa? Au yanatofautiana wapi. Je...
0 Reactions
6 Replies
13K Views
Back
Top Bottom