Hakuna ambaye anajua kutamka neno hili kwa usahihi. Wahudumu wa ndege kwa Kiingereza wanaitwaje?
Chagua jibu sahihi
A. Air hostage
B. Hair Hostess
Jibu ni kati ya hayo mawili hapo juu.
I can neither confirm nor deny that any intelligence was shared to facilitate last night's operation.
Kwa kweli
When a diplomat says yes, he means perhaps; when he says perhaps, he means no...
Hakuna ambaye anajua kutamka neno hili kwa usahihi. Wahudumu wa ndege kwa Kiingereza wanaitwaje?
Chagua jibu sahihi
A. Air hostage
B. Hair Hostess
Jibu ni kati ya hayo mawili hapo...
Naomba kujua matumizi yake,
Kwa mfano mtu anataka umpishe utasikia sorry naomba kupita. Mwingine atasema excuse me. Usahihi wake upo wapi?
Nisaidieni,
we are still learning!
MAONI YA MDAU...
Wanajanvi, nawasalimu kwa jina lake yeye aliyetupa uhai
Wajuvi wa hii lugha iliyoletwa na ndege na meli. Naomba kujua matumizi ya haya maneno:
1. Shall
2. Will
3. Could
4. Would
Ni sehemu gani...
Nadharia ya Kiswahili
Kiswahili ni lugha ya Kibantu inayotumiwa na watu katika mawasiliano hasa Afrika Mashariki na ya Kati. Lugha ni sauti za nasibu zenye mpangilio maalumu zilizokubaliwa na watu...
Naomba kujua tofauti ya maneno haya
Criticism
Arguments
Blaming
Critical points
Je ni nini utofauti wake na lugha gani inapaswa kutumika ili kusadifu kwamba upo katika kundi hilo?
Mfano katika...
Habari wakuu!
Siku hizi ninafanya utafiti wa lugha zinazotumiwa na makabila nchini Tanzania na Kenya. Tafadhali nisaidie kutaja majina ya lugha hizo.
Shukran
Hellow Bosess
Leo nimevutiwa na nukuu moja kutuka kwenye kitabu cha kiswahili nimeiona kwenye post ya Kapula la Marx (nimesahau kidogo jina, nimeutafuta ule uzi sijauona tena)
Noamba kujua ni...
Bonjour! bonjour! bonjour!!
Hello! hello! hello!!
Ndugu; Kwa wale wanaozungumza au kutumia Lugha ya Kiingereza mtakubaliana na mimi kuwa ni ukweli ulotukuka kuwa lugha ya kiingereza imesheheni...
Habari wakuu mimi ni mwanafunzi kujifunza Kiswahili nchini China. Mimi nahitaji kamusi za Kiswahili lakini nimeshapata moja tu.
Maswali matatu:
La kwanza: huko Tanzania watoto wa shule za msingi...
Wakuu uzi huu ni maalumu kwa ajili ya kujua maana mbalimbali za maneno tata.
Mfano:
KATA - Kata mti | Kata kiuno
Nipe neno na wewe lenye maana zaidi ya moja.
Linaweza kuonekana swali la kipuuzi lakini haya maneno kama huwa yanatatiza.
Hivi mtu akisema ananifahamu na mwingine akasema ananijua. Wanaweza kuwa na maana sawa? Au yanatofautiana wapi. Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.