Umefika wakati Watanzania turudishwe shule kusoma kutofautisha baina ya herufi "R" na "L"

chabuso

JF-Expert Member
Feb 18, 2013
6,380
5,871
Utamwamini vipi mtu akupakie rangi nyumbani kwako wakati hawezi tofautisha baina ya herufi L na R

Kwa AJIRI = kwa AJILI

IMG_20191029_150655.jpg
 
"Unaleta siasa kwenye kazi za watu, utahishia kubaya!"

Unakuta mtu anaandika namna hiyo huku kakomaa kabisa, hata aibu hana.
 
Inafika mahali inabidi tuendane tu hii kasi, vinginevyo hamna kitachofanyika katika haya maisha. Kama ukisema hata wanawake wa kudate nao uwachuje kwa vigezo vya "R" na "L" unaweza jikuta unapata vyeo from junior bachelor to Senior bachelor.
 
Kuna baadhi ya kazi zinahitaji ujuzi na haziitaji mbwembe za lugha
Mkuu, ukibadilisha herufi moja tu katika neno linaweza kuleta maana nyengine

Sio mbwembwe, hili tatizo limekuwa kubwa, liko magazetini, radio i, kwenye TV nk
 
Mleta uzi ni mshamba, sio Tanzania pekee, je amewahi kusikia English ya India?
Hawastahili kuaminiwa kama madaktari?
Wahindi Kingereza sio lugha yao huwezi kuwalaumu

Kiswahili nu lugha yetu ya Taifa, wageni Wazungumzie kiswahili wanaitazama Tanzania kama ndio chanzo cha hii lugha

Sasa sijui watatuona vipi kama lugha yetu wenyewe hatuwezi kutafautisha baina ya R na L..
 
Mkuu, ukibadilisha herufi moja tu katika neno linaweza kuleta maana nyengine

Sio mbwembwe, hili tatizo limekuwa kubwa, liko magazetini, radio i, kwenye TV nk
Inaweza kuleta shida kwenye mawasiliano,ila ujuzi ukabaki pale pale
 
Back
Top Bottom