Naomba kujua tofauti za maneno haya

verifaidi yuza

JF-Expert Member
Sep 13, 2018
2,783
5,645
Wakuu kwema

Naomba mnisaidie kuchanganua tofauti za maneno haya tafadhali

1. Thamani na dhamani

2. Thibitisha na dhibitisha

Natanguliza shukrani

Cc: FaizaFoxy
 
Wakuu kwema

Naomba mnisaidie kuchanganua tofauti za maneno haya tafadhali

1. Thamani na dhamani

2. Thibitisha na dhibitisha

Natanguliza shukrani

Cc: FaizaFoxy
Kwa mujibu wa TUKI, katika lugha ya Kiswahili tuna maneno kama; Thamani ikiwa na maana ya hadhi au kiwango/kiasi cha (Value).

2.Thibitisha ikiwa maana yake ni: elezea ukweli juu ya kitu fulani (Justify).
 
Kwa mujibu wa TUKI katika lugha ya kiswahili tuna maneno kama; Thamani ikiwa na maana ya hadhi au kiwango/kiasi cha (Value).
2.Thibitisha,ikiwa maana yake ni: elezea ukweli juu ya kitu fulani.(Justify).
Sawa mkuu kwa hivyo basi hatuna maneno haya
1. Dhamani?
2. Dhibitisha?
 
Wakuu kwema

Naomba mnisaidie kuchanganua tofauti za maneno haya tafadhali

1. Thamani na dhamani

2. Thibitisha na dhibitisha

Natanguliza shukrani

Cc: FaizaFoxy
Thamani ndiyo neno sahihi la Kiswahili, hilo jingine siyo Kiswahili. Thamani maana yake ni hali ya hicho kitu ukikiweka kwenye kiwango cha PESA. Inaweza kuwa nyumba, shamba au hata wakati mwingine mtu au mnyama. Na thibitisha ndio neno la Kiswahili hilo jingine, dhibitisha siyo Kiswahili. Na thibitisha maana yake ni weka bayana, onesha ukweli auuhalali wa kitu aua neno au maelezo yoyote.
 
Wakuu kwema

Naomba mnisaidie kuchanganua tofauti za maneno haya tafadhali

1. Thamani na dhamani

2. Thibitisha na dhibitisha

Natanguliza shukrani

Cc: FaizaFoxy

Katika lugha ya Kiswahili, maneno yaliyopo ni: Thamani naThibitisha ila kwa sababu ya watu kutoweza kuandika ipasavyo, wanaandika dhamani na dhibitisha

Kwa tafuta maana ya hayo maneno - Thamani naThibitisha
 
Back
Top Bottom