Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Wanabodi, Lugha ni nyenzo kuu ya mawasiliano, na ukitaka umkamate mtu vizuri mwezeshe aifahamu lugha yako ili aione ndo lugha ya kistaarabu kuliko lugha yake, na ili kuimarisha mawasiliano na mtu...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Nilipata kumsikia mtu akisema hangependa aitwe "mswahili". Nikapatwa na maswali mengi kichwani kwani mtu huyu alikua mzawa, mweusi na anaishi DSM. Kabla sijamtaka undani kwa kauli yake hii...
0 Reactions
215 Replies
102K Views
Wakuu wa lugha naombeni kiswahili cha neno Density.
0 Reactions
28 Replies
13K Views
Wakuu mimi naomba mnitoe ushamba kidogo. Inaonekana nimepitwa na wakati kidogo kuhusiana na hili neno "kujimwambafy". Nimekuwa not kilisoma sana hapa karibuni na sielewi kabisa linamaanisha nini...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Maintenance. Actions performed to keep some machine or system functioning or in service. [wiktionary]. Tusichangananye maana na matengenezo Repair. To restore to good working order, fix, or...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Habarini wakuu, Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna huu msemo uliozoeleka wa "utakiona cha mtemakuni" huu ni msemo wa kuonya au kutisha kuwa usipofanya kama ulivyoelekezwa...
3 Reactions
7 Replies
8K Views
Hii sio sahihi, Kama na wewe una neno ambalo sio sahihi tafadhali tujulishe pia 1 Chips mayai = Viazi na mayai 2 Shule ya Sekondari = Shule ya upili 3 Tochi= Kurunzi 4 Dingi = Baba 6 Kompyuta =...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nielewesheni tafadhali Cc mk4life
1 Reactions
5 Replies
14K Views
SHAABAN ROBERT, MSWAHILI ALIEMUDU KIINGEREZA. Watu wengi hudhani kwamba kuwa mfuasi wa kiswahili ni ishara ya kwamba hufahamu lugha ya kingereza,na wengine huamini kwamba kupigania kiswahili ni...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
I was wondering if there were sites (like Fictionpress.net for example) where i can find stories, but in swahili. Do you know any? I'm looking for a good swahili novel/story to read, but i haven't...
0 Reactions
9 Replies
13K Views
Nimekutana na huu msemo kwenye jamii fulani, 'cheka na watu uweze kuvaa viatu'.nimeutafakari sana na mpaka sasa sijajua maana yake wakuu.Nisaidieni una maana gani?
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ikawa tunaita Yanga, mpaka leo hii ni Yanga tu, hivi kwa nini hawakubadilisha jina na kuleta lingine lenye maana? Mbona Simba walibadilisha kutoka Sandalendi (Sunderland)?
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Akizaa watoto wengi huwavika ngozi ya aina moja
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Asiyekuumba hawezi kukuumbua.
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani waungwana naomba msaada wa kujua ili neno itakatishaji,maana hivi karibuni nasikia neno utakatishaji, Je nifedha feki au?
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Wadau hasa mlioko dar naomba tujikumbushie kidogo kuongea kilugha, inasemekana nyie wakurya mliokimbilia na kulowea pwani ya dar es salaam siku hizi hamjui kuongea lugha zenu za aslili na wengine...
0 Reactions
88 Replies
14K Views
Kadri siku zinavyoenda lugha yetu adimu ya kiswahili inazidi kuchimbiwa kaburi. Leo vijana wetu hawawezi kuongea kiswahili fasaha kwa dakika 5 mfululizo, lazima aweke na neno au maneno ya...
5 Reactions
41 Replies
6K Views
1.Drone 2.Paramilitary 3.Paramedic 4.Hypermarket 5.Spoke(of bicycle wheel) Ahsante
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Habari wadau, nini maana ya kisirani? Je mtu mwenye kisirani utamtambuaje?
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Back
Top Bottom