#UNAAMBIWA Kwenye kamusi ya Kiswahili kuna neno “korona” ambalo tafsiri yake ni kinu cha kukoboa, kusafisha na kutoa kamba za mkonge. [emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu hamjambo, msaada wenu kwa hili swali
Naomba msaada wenu juu ya swali hili, kama mjuavyo kingereza ni nyama ya tembo, hivyo kwa Mimi peke yangu nimeshindwa kupata muafaka wa lipi ni jibu...
Tumemsikia mzee Mwinyi akisemanana mhusudu JPM.
Mimi nikifikiri kuhusudu ni kupenda kunako ambatana na matamanio.
Bungeni tunasikia maombi ya kutuepusha na husda.
Hapa ni kama kummind mtu kwa nia...
Rubani mmoja alipata ajali ya ndege ndogo na kuangukia kwenye kijiji asichokielewa. Alipoteza fahamu kwa dakika kadhaa, alipozinduka hakujua alizimia muda gani na wakati ule yalikuwa majira gani...
Kiswahili ni lugha inayozungumzwa na mamilioni ya watu katika Afrika na kote duniani. Ingawa Kiswahili kimeonekana kupanda chati na kuonekana kuzidi kushika kasi leo, lakini lugha hii ilshapata...
Nzi kala Tunda kwa Masihara kwa muda wa saa mbili. Bado niko hapa nasubiri nigundue kitu natupia na picha/video za kutosha.
Nzi dume hawezi mpata jike mpaka atongoze, nzi dume huwa anatoa...
Nimekuja Muscat Oman and i wonder jinsi Kiswahili kilivyo enea hapa Oman. People speak Swahili like they don't mean nothing.
Interestingly Kuna waoman wamezaliwa Oman.wamekulia Oman na hawajawahi...
Nilikuwa nasikiliza BBC SWAHILI leo ninamsikia Mtangazaji Ann Ngugi anatumia hilo neno, cha ajabu hata Wenzake, akiwemo Mbelechi wa Congo wametumia jina/neno 'wenye ulemavu wa ngozi' au Albino...
MACHINGA ni msemo wa kiswahili unaowakilisha wafanya biashara wadogo wadogo ambao hufanya biashara kwa kuweka bidhaa zao kandokando ya barabara au hata sokoni.
neno MACHINGA limechukuliwa kutoka...
Haya ni maneno matatu ambayo hufanya kazi moja. Kazi kuu ya maneno haya ni kuongeza maelezo ya ziada katika jambo. Hutoa taarifa ya ziada au kukazia taarifa ya awali.
Katika jamii kuna mazoea ya...
Je, mzazi wako unaweza kumuita mlezi wako?
Naomba michango yenu wadau kwani naamini hapa ndipo kisima cha fikira na michango hai katika hiyo hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya’raabi nipe kauli, niseme hili na lile,
Kauli isiyo kali, isiwe kama ya yule,
Niseme lililo kweli, la mbuni hawa na wale,
Mbuni kichwa mchangani, kwanini mbuni habuni?
Mbuni wana ile hali, hali...
Nimeorodhesha tabia mbalimbali za makabila yetu ili kuangalia ni wapi tumekosea na tujirekebishe ili kuondoa sura yetu mbaya machoni kwa jamii.
Hapa kila mtu akiikana nafsi yake na kuikataa tabia...
kama elimu bahari, makasia yako wapi?
jahazi za kifahari, dereva twapata wapi?
ataendesha kwa shari, kweli tutafika wapi?
bahari ikitulia, chombo kitarudi pwani.
mengi majahazi yapo, kwa majina...
Nawaza nawazua
Kama ni fumbo fumbua
Ila Kitendawili tegua
Twenti twenti ilishawadia
Uchaguzi watunyemelea
Siasa yaanza kukolea
Yatupasa vijana kuingia
Huu muda si wa kuzodoa
Taifa linatutegemea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.