Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,322
- 24,192
Tumemsikia mzee Mwinyi akisemanana mhusudu JPM.
Mimi nikifikiri kuhusudu ni kupenda kunako ambatana na matamanio.
Bungeni tunasikia maombi ya kutuepusha na husda.
Hapa ni kama kummind mtu kwa nia mbaya.
Waswahili hebu tupeni undani wa haya manenu, husudu na husda.
Mimi nikifikiri kuhusudu ni kupenda kunako ambatana na matamanio.
Bungeni tunasikia maombi ya kutuepusha na husda.
Hapa ni kama kummind mtu kwa nia mbaya.
Waswahili hebu tupeni undani wa haya manenu, husudu na husda.