digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,901
- 14,367
Wakuu hamjambo, msaada wenu kwa hili swali
Naomba msaada wenu juu ya swali hili, kama mjuavyo kingereza ni nyama ya tembo, hivyo kwa Mimi peke yangu nimeshindwa kupata muafaka wa lipi ni jibu sahihi
THE KING AND HIS WIVES__________________HERE
(ARE/IS. ( )
Toa sababu kwa hoja/ chaguo lako yaani kwanini jibu ni is/are?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba msaada wenu juu ya swali hili, kama mjuavyo kingereza ni nyama ya tembo, hivyo kwa Mimi peke yangu nimeshindwa kupata muafaka wa lipi ni jibu sahihi
THE KING AND HIS WIVES__________________HERE
(ARE/IS. ( )
Toa sababu kwa hoja/ chaguo lako yaani kwanini jibu ni is/are?
Sent using Jamii Forums mobile app