Kwa wataalamu wa Lugha ya kingereza naomba msaada wa kujibu swali hili

digba sowey

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
7,901
14,367
Wakuu hamjambo, msaada wenu kwa hili swali
Naomba msaada wenu juu ya swali hili, kama mjuavyo kingereza ni nyama ya tembo, hivyo kwa Mimi peke yangu nimeshindwa kupata muafaka wa lipi ni jibu sahihi

THE KING AND HIS WIVES__________________HERE
(ARE/IS. ( )

Toa sababu kwa hoja/ chaguo lako yaani kwanini jibu ni is/are?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo jibu ni "are" kwasababu ya kiunganishi "and" kikichopo kati ya maneno; the king na his wives, kama utabadilisha hicho kiunganishi kikawa "with" hapo inawezekana badala ya "are" ikawa "is", kwasababu subject hapo anakuwa ni the king na hao wakeze ambao wanakuwa ni "wapambe tu" kama ingekuwa kofia ya mfalme au koti lake nk.

That's my take.
 
Angalau mkuu umenifumbua kidogo
Hapo jibu ni "are" kwasababu ya kiunganishi "and" kikichopo kati ya maneno; the king na his wives, kama utabadilisha hicho kiunganishi kikawa "with" hapo inawezekana badala ya "are" ikawa "is", kwasababu subject hapo anakuwa ni the king na hao wakeze ambao wanakuwa ni "wapambe tu" kama ingekuwa kofia ya mfalme au koti lake nk.

That's my take.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Firstly, you need to know what these linking verbs (is and are) serve in this particular sentence.

I think any linking verb put there tries to decsribe the state of being.

While they explain a state of being, that state of being can be two things. Linking verbs serve to help rename or re-identify the subject.

In this case 'The King and his wives' is a subject.

So I would go for 'are'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu hamjambo,msaada wenu kwa hili swali
Naomba msaada wenu juu ya swali hili,kama mjuavyo kingereza ni nyama ya tembo,hivyo kwa Mimi peke yangu nimeshindwa kupata muafaka wa lipi ni jibu sahihi

THE KING AND HIS WIVES__________________HERE
(ARE/IS. ( )

Toa sababu kwa hoja/ chaguo lako yaani kwanini jibu ni is/are?

Sent using Jamii Forums mobile app


The King and his wives in this sentence are the subject ( compound subject) The conjunction (coordinating conjunction) 'and ' used here makes us use are instead of is.
 
Wakuu hamjambo,msaada wenu kwa hili swali
Naomba msaada wenu juu ya swali hili,kama mjuavyo kingereza ni nyama ya tembo,hivyo kwa Mimi peke yangu nimeshindwa kupata muafaka wa lipi ni jibu sahihi

THE KING AND HIS WIVES__________________HERE
(ARE/IS. ( )

Toa sababu kwa hoja/ chaguo lako yaani kwanini jibu ni is/are?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa tunaongelea King na mke wake kwamba wako hapa kwa hiyo are itatumika
 
Back
Top Bottom