LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,152
- 27,183
Nimekuja Muscat Oman and i wonder jinsi Kiswahili kilivyo enea hapa Oman. People speak Swahili like they don't mean nothing.
Interestingly Kuna waoman wamezaliwa Oman.wamekulia Oman na hawajawahi kufika Tanzania,Mombasa wala Zanzibar but they speak fluent Swahili.
Nyimbo za kibongo ndo usiseme, Alikiba, Diamond etc.
It's high time now mamlaka za Oman zikitangaze Kiswahili Kama moja Kati ya lugha zake za Taifa.
Kama hilo litatokea basi Oman itakuwa ndio nchi ya kwanza nje ya bara la Afrika kuofficialize Kiswahili.
Manegers wa wanamuziki wa Bongo nendeni Omani mkafanye research nyimbo za wasanii wenu zinapigwa Sana huko na zinapendwa Sana.. Mkiwa serious mnaweza kufanya biashara kubwa Sana huku.
Interestingly Kuna waoman wamezaliwa Oman.wamekulia Oman na hawajawahi kufika Tanzania,Mombasa wala Zanzibar but they speak fluent Swahili.
Nyimbo za kibongo ndo usiseme, Alikiba, Diamond etc.
It's high time now mamlaka za Oman zikitangaze Kiswahili Kama moja Kati ya lugha zake za Taifa.
Kama hilo litatokea basi Oman itakuwa ndio nchi ya kwanza nje ya bara la Afrika kuofficialize Kiswahili.
Manegers wa wanamuziki wa Bongo nendeni Omani mkafanye research nyimbo za wasanii wenu zinapigwa Sana huko na zinapendwa Sana.. Mkiwa serious mnaweza kufanya biashara kubwa Sana huku.