Sheillah Sheillah
JF-Expert Member
- Jun 17, 2020
- 583
- 1,478
Question tags, ni maswali mafupi mwisho wa sentensi. Tunatumia question tags pale ambapo tunategemea msikilizaji au msomaji kukubaliana na maelezo yetu. Mfano isn't it?, can you? wasn't it? Have they? Nakuendelea
Ili kuweza kutengeneza hizi question tags inabidi ujue kama sentensi ni "positive au negative statement". Kama statement ni positive tunatumia question tag ya negative na kinyume chake ni sahihi.
Mfano, She is a teacher, isn't she?
"She is a teacher" ni positive statement hivyo question tag yake lazima iwe negative "isn't she"?
She isn't a teacher, is she?
She isn't a teacher ni negative statement, na "is she" ni positive tag
Kuna wengine wanajiuliza watajuaje kama wanatakiwa watumie Isn't she, didn't she, wasn't it? Njia ni rahisi.
Unaangalia kama kuna auxiliary verb katika hiyo sentence mfano (be, have, do, is, etc), au model verb kama (could, can, should, etc.).
Mfano
She is a teacher. Is ni auxiliary verb . Kwahiyo ili kukanusha unatumia hiyo "is"= isn't she?
He wasn't relaxed, was he?
We must go, mustn't we?
Au pia sentence unaweza ikawa ina verb tu. Verb ni kitendo. Hapa tutatumia (don't kwa wakati uliopo, doesn't kwa wakati uliopo ila kwa " he ,she, na it" na didn't kwa wakati uliopita).
Utaangalia hiyo verb ipo kwenye wakati gani.
Kwa mfano,
You speak English . Hapo speak ni verb na ipo katika wakati uliopo. Hivo utatumia " don't you"?
Kama verb ingekuwa wakati uliopita tungetumia "didn't you"?
I said that already, didn't I? " said" ni verb ya wakati uliopita ndio maana tunatumia didn't.
Juma eats food, doesn't he? Tunatumia doesn't kwa sababu Juma ni sawa na "he" ambayo ni "nafsi ya tatu umoja" na pia statement ipo katika wakati uliopo
Lakini kuna question tags zisizofuata kanuni zilizokwisha andikwa hapo juu.
Kwa mfano,
1.Question Tag ya I am ni "aren't I". Eg, I am a teacher, aren't I? So ukishaona tu I am ujue negative tag yake ni " aren't I"
2.Let’s go to the beach, shall we?
3.Wait a minute, can you?
4.There is a mosque in that street, isn’t there?
Kwa Leo naishia hapa, naomba atakayekuwa ameelewa ajibu haya. Ambaye hajaelewa nakaribisha maswali.
I don't need to finish this today.
James is working on that.
Your parents have retired.
The phone didn't ring.
It was raining that day.
Your mum hadn't met him before.
Note, Ni kwa wasiojua tu, kwa wanaojua mnakaribishwa kuongezea au kunikosoa nilipokosea.
Ili kuweza kutengeneza hizi question tags inabidi ujue kama sentensi ni "positive au negative statement". Kama statement ni positive tunatumia question tag ya negative na kinyume chake ni sahihi.
Mfano, She is a teacher, isn't she?
"She is a teacher" ni positive statement hivyo question tag yake lazima iwe negative "isn't she"?
She isn't a teacher, is she?
She isn't a teacher ni negative statement, na "is she" ni positive tag
Kuna wengine wanajiuliza watajuaje kama wanatakiwa watumie Isn't she, didn't she, wasn't it? Njia ni rahisi.
Unaangalia kama kuna auxiliary verb katika hiyo sentence mfano (be, have, do, is, etc), au model verb kama (could, can, should, etc.).
Mfano
She is a teacher. Is ni auxiliary verb . Kwahiyo ili kukanusha unatumia hiyo "is"= isn't she?
He wasn't relaxed, was he?
We must go, mustn't we?
Au pia sentence unaweza ikawa ina verb tu. Verb ni kitendo. Hapa tutatumia (don't kwa wakati uliopo, doesn't kwa wakati uliopo ila kwa " he ,she, na it" na didn't kwa wakati uliopita).
Utaangalia hiyo verb ipo kwenye wakati gani.
Kwa mfano,
You speak English . Hapo speak ni verb na ipo katika wakati uliopo. Hivo utatumia " don't you"?
Kama verb ingekuwa wakati uliopita tungetumia "didn't you"?
I said that already, didn't I? " said" ni verb ya wakati uliopita ndio maana tunatumia didn't.
Juma eats food, doesn't he? Tunatumia doesn't kwa sababu Juma ni sawa na "he" ambayo ni "nafsi ya tatu umoja" na pia statement ipo katika wakati uliopo
Lakini kuna question tags zisizofuata kanuni zilizokwisha andikwa hapo juu.
Kwa mfano,
1.Question Tag ya I am ni "aren't I". Eg, I am a teacher, aren't I? So ukishaona tu I am ujue negative tag yake ni " aren't I"
2.Let’s go to the beach, shall we?
3.Wait a minute, can you?
4.There is a mosque in that street, isn’t there?
Kwa Leo naishia hapa, naomba atakayekuwa ameelewa ajibu haya. Ambaye hajaelewa nakaribisha maswali.
I don't need to finish this today.
James is working on that.
Your parents have retired.
The phone didn't ring.
It was raining that day.
Your mum hadn't met him before.
Note, Ni kwa wasiojua tu, kwa wanaojua mnakaribishwa kuongezea au kunikosoa nilipokosea.