"Don't go no where!"

"Don't go no where!"

josephwaara

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2016
Posts
304
Reaction score
640
Wasalaam wanabodi, dhumuni la uzi huu ni kueleza kero yangu kwa watangazaji ea kizazi hiki, kero zipo nyingi ila kwa leo ni haka katabia ka kuchomekea vimaneno vya kiingereza kwenye mazungumzo yao, kauli tajwa hapo juu nmekuwa naisikia mara nyingi hasa wanapomtaka msikilizaji/ mtazamaji asibadili channel. Punde tu naangalia ITV hapa mtangazaji kanambia "don't go no where" tena kwa mbwembwe kwani lazima tuchomekee kiingereza?

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Watu wenye visirani bhana..

Mkuu Leo weekend njoo tunywe juisi cola hapa..
 
Umeona la kisirani tu..? Hujaona karibu ya juisi kola..?
Hebu tusichoshane njoo tunywe juisi cola na skonzi hapa kuna makande pia..
Ccm wamesababisha jamaa awe hivyo
 
Hahah ni Farhia Middle uyo,ata Mimi nimemuoana hapa
Wasalaam wanabodi, dhumuni la uzi huu ni kueleza kero yangu kwa watangazaji ea kizazi hiki, kero zipo nyingi ila kwa leo ni haka katabia ka kuchomekea vimaneno vya kiingereza kwenye mazungumzo yao, kauli tajwa hapo juu nmekuwa naisikia mara nyingi hasa wanapomtaka msikilizaji/ mtazamaji asibadili channel. Punde tu naangalia ITV hapa mtangazaji kanambia "don't go no where" tena kwa mbwembwe kwani lazima tuchomekee kiingereza?

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Grammatically yupo sahihi ametumia double negation japo ni grammar ya kizamani lakini yupo sahihi
Mfano unaweza sema
I haven't done nothing ikimaanisha sijafanya chochote..

Learn more keep learning
1:We don't do no talking
2:You don't do no *** with me
Double Negation
 
Grammatically yupo sahihi ametumia double negation japo ni grammar ya kizamani lakini yupo sahihi
Mfano unaweza sema
I haven't done nothing ikimaanisha sijafanya chochote..

Learn more keep learning
Hamna usahihi hapo.
 
Wasalaam wanabodi, dhumuni la uzi huu ni kueleza kero yangu kwa watangazaji ea kizazi hiki, kero zipo nyingi ila kwa leo ni haka katabia ka kuchomekea vimaneno vya kiingereza kwenye mazungumzo yao, kauli tajwa hapo juu nmekuwa naisikia mara nyingi hasa wanapomtaka msikilizaji/ mtazamaji asibadili channel. Punde tu naangalia ITV hapa mtangazaji kanambia "don't go no where" tena kwa mbwembwe kwani lazima tuchomekee kiingereza?

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Watangazaji wengi hawana elimu ya utangazaji kwa hyo wanaropoka tu kwa kuwa wana majina fulani mtaaani basi tabtupu
 
Grammatically yupo sahihi ametumia double negation japo ni grammar ya kizamani lakini yupo sahihi
Mfano unaweza sema
I haven't done nothing ikimaanisha sijafanya chochote..

Learn more keep learning
Sidhan kama ni ya kizamani, wamarekani bado wanaitumia sana hiyo "double negation"
 
Back
Top Bottom