Nikiwa darasa la Sita nilisoma riwaya hii, wakati huo dadangu alikuwa form one Msalato Girls school - nilipata nafasi ya kumhadithia yote, na nilimsisitiza mno pale Rosa alipoanza kulewa na kufukuzwa shule.
Nilitumia riwaya hii kumfikishia dadangu ujumbe !! Ni miaka mingi imeshapita, nataka nikisome tena, kwa hiyo mwenye nacho basi tuwasiliane ama anipatie hapa.
Nilitumia riwaya hii kumfikishia dadangu ujumbe !! Ni miaka mingi imeshapita, nataka nikisome tena, kwa hiyo mwenye nacho basi tuwasiliane ama anipatie hapa.