Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Salaam wana jukwaa. Ama baada ya salaam leo katika jukwaa hili la lugha tutaongelea kuhusu lugha yetu adhimu ya Kiswahili ambayo inaendelea kukua siku baada ya siku. Katika lugha yetu hii ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari Natafuta English Course nzuri ya Bei za kawaida achana na British council na Ras Simba Mwenye mwenye Kujua hizi Zingine.
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nilikutana na maneno yafuatayo. i. Kama ndoto yako haijatimia endelea kulala. ii. We lala si tufanye kazi utakula ulichokiota. Je, namba moja inajibu hii ya pili au ya pili ndio inajibu hii ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Msaada wenu uwe wa hakika maana ninataka kutumia neno hilo sehemu hivyo nimechanganywa sana na usahihi wake kwakuwa nakutana na sentensi zinazoyatumia yote kwa maana moja hivyo nikumbusheni wakuu
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mimi ni mtumiaji mpya wa twitter ila haya maneno bado sijajua maana yake wanayatumia sana huko hasa kigogo 2014. Mwenye kujua itapendeza sana kama tutajuzana "Wapwa na MATAGA"
1 Reactions
5 Replies
4K Views
God and religion 2328. Abadani: mungu huijua. SPK. 'Never', only God knows that. 2328a. Abiria kwanza, thumma swifu mungu. SPK. Cross the river first, then praise God. It is not good praising a...
2 Reactions
8 Replies
6K Views
Wakuu, Inawezekana ikaonekana swali la kawaida sana lakini nahitaji nipate hitimisho la uhakika kuhusu swali hili. Namba arobaini(40) kwa kiingereza sanifu inaandikwaje Je ni 'Fourty' au Forty...
2 Reactions
14 Replies
4K Views
Wakuu, Neno Samaki lipo kwenye ngeli ipi? Je ni ngeli ya a-wa Au ngeli ya i-zi Ahsante
0 Reactions
106 Replies
11K Views
Hi wana jf, naomba kuelimishwa maana kuna Usemi huu "Mungu si Athuman"siuelewi. Watu wanatumia huu usemi wanapofanikiwa ktk jambo flani ambalo hawakutalajia au kuwa na uhakika nalo. Huyu Athuman...
2 Reactions
31 Replies
38K Views
HELP YOURSELF OR CHILD (REN) TO MASTER PREPOSITIONS ATTACHED TO CERTAIN WORDS: 1.abide..............by 2.absorbed....... In 3.abstain ......from 4.Accomplice......with 5.accused...... (Sb)of(sth)...
2 Reactions
3 Replies
877 Views
Habari za asubuhi wana JF? Kumekuwa na tatizo la kiuandishi kwa watu wengi kuanzia humu JF mpaka kwingineko kote kwenye mitandao ya kijamii mwanzo nilidhani ni kujisahau lakini sasa naona kama...
16 Reactions
113 Replies
20K Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu Natamani Sana kuijua hiyo lugha Anaefaham wapi nitapata mwalimu kwa hapa Tanzania tuwasiliane. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
1.abide..............by 2.absorbed....... In 3.abstain ......from 4.Accomplice......with 5.accused...... (Sb)of(sth) 6.accustomed..... To 7.addicted........ To 8.adhere........ To...
1 Reactions
1 Replies
737 Views
Je, mtu anapokuwa 'impeached', huwa ina maana gani? Na nini humtokea mtu huyo, lets say Rais kwa mfano.
1 Reactions
53 Replies
11K Views
Habari kwenu ningependa tujikumbushe baadhi ya misemo iliyopata umaarufu hivi karibuni na kupotea mfano msemo wa sipendagi ujinga mimi watapata tabu sana mambo ni???? motooooo kila kitu balaa...
2 Reactions
63 Replies
11K Views
Jamani, Hawa wadau wetu wa lugha pendwa ya kiswahili wanatuchanganya, TBC1 siku zote matukio ya moja kwa moja wanaandika Mbashara wakati ITV wao wanaandika Mubashara, kwa anayeelewa hili neno...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari Natamani sana kujua kukiongea kiswahili sanifu chenye mtiririko wa maneno. Ombi langu nijue mengi hapa JF. Naomba tuanze na neno timbwili; maana yake nini? Linatumikaje kwenye sentensi...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Maranyingi naona watu wanatumia hili neno 'Wahenga' hasa wanapotaka kutumia misemo yenye Busara. Je Wahenga ni akina Chifu Mangungo au Mkwawa? Au ni akina Nyerere au Sokoine? Na kwa nini...
0 Reactions
36 Replies
26K Views
Nikiwa darasa la Sita nilisoma riwaya hii, wakati huo dadangu alikuwa form one Msalato Girls school - nilipata nafasi ya kumhadithia yote, na nilimsisitiza mno pale Rosa alipoanza kulewa na...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Hii english imekaaje pale mtumiaji anapomaanisha "ili kurahisisha biashara "ila kwa english akasema "in order to easy business " ipo sahihi hasa kwa lugha ya kiuchumi au kidiplomasia?
0 Reactions
4 Replies
819 Views
Back
Top Bottom