Salaam wana jukwaa. Ama baada ya salaam leo katika jukwaa hili la lugha tutaongelea kuhusu lugha yetu adhimu ya Kiswahili ambayo inaendelea kukua siku baada ya siku.
Katika lugha yetu hii ya...
Nilikutana na maneno yafuatayo.
i. Kama ndoto yako haijatimia endelea kulala.
ii. We lala si tufanye kazi utakula ulichokiota.
Je, namba moja inajibu hii ya pili au ya pili ndio inajibu hii ya...
Msaada wenu uwe wa hakika maana ninataka kutumia neno hilo sehemu hivyo nimechanganywa sana na usahihi wake kwakuwa nakutana na sentensi zinazoyatumia yote kwa maana moja hivyo nikumbusheni wakuu
Mimi ni mtumiaji mpya wa twitter ila haya maneno bado sijajua maana yake wanayatumia sana huko hasa kigogo 2014.
Mwenye kujua itapendeza sana kama tutajuzana "Wapwa na MATAGA"
God and religion
2328. Abadani: mungu huijua. SPK.
'Never', only God knows that.
2328a. Abiria kwanza, thumma swifu mungu. SPK.
Cross the river first, then praise God. It is not good praising a...
Wakuu,
Inawezekana ikaonekana swali la kawaida sana lakini nahitaji nipate hitimisho la uhakika kuhusu swali hili.
Namba arobaini(40) kwa kiingereza sanifu inaandikwaje
Je ni 'Fourty' au Forty...
Hi wana jf, naomba kuelimishwa maana kuna Usemi huu "Mungu si Athuman"siuelewi. Watu wanatumia huu usemi wanapofanikiwa ktk jambo flani ambalo hawakutalajia au kuwa na uhakika nalo.
Huyu Athuman...
HELP YOURSELF OR CHILD (REN) TO MASTER PREPOSITIONS ATTACHED TO CERTAIN WORDS:
1.abide..............by
2.absorbed....... In
3.abstain ......from
4.Accomplice......with
5.accused...... (Sb)of(sth)...
Habari za asubuhi wana JF?
Kumekuwa na tatizo la kiuandishi kwa watu wengi kuanzia humu JF mpaka kwingineko kote kwenye mitandao ya kijamii mwanzo nilidhani ni kujisahau lakini sasa naona kama...
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu
Natamani Sana kuijua hiyo lugha
Anaefaham wapi nitapata mwalimu kwa hapa Tanzania tuwasiliane.
Sent using Jamii Forums mobile app
1.abide..............by
2.absorbed....... In
3.abstain ......from
4.Accomplice......with
5.accused...... (Sb)of(sth)
6.accustomed..... To
7.addicted........ To
8.adhere........ To...
Habari kwenu
ningependa tujikumbushe baadhi ya misemo iliyopata umaarufu hivi karibuni na kupotea
mfano msemo wa sipendagi ujinga mimi
watapata tabu sana
mambo ni???? motooooo kila kitu balaa...
Jamani,
Hawa wadau wetu wa lugha pendwa ya kiswahili wanatuchanganya, TBC1 siku zote matukio ya moja kwa moja wanaandika Mbashara wakati ITV wao wanaandika Mubashara, kwa anayeelewa hili neno...
Habari
Natamani sana kujua kukiongea kiswahili sanifu chenye mtiririko wa maneno. Ombi langu nijue mengi hapa JF. Naomba tuanze na neno timbwili; maana yake nini? Linatumikaje kwenye sentensi...
Maranyingi naona watu wanatumia hili neno 'Wahenga' hasa wanapotaka kutumia misemo yenye Busara.
Je Wahenga ni akina Chifu Mangungo au Mkwawa?
Au ni akina Nyerere au Sokoine?
Na kwa nini...
Nikiwa darasa la Sita nilisoma riwaya hii, wakati huo dadangu alikuwa form one Msalato Girls school - nilipata nafasi ya kumhadithia yote, na nilimsisitiza mno pale Rosa alipoanza kulewa na...
Hii english imekaaje pale mtumiaji anapomaanisha "ili kurahisisha biashara "ila kwa english akasema "in order to easy business " ipo sahihi hasa kwa lugha ya kiuchumi au kidiplomasia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.