akatanyukuile
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 314
- 308
Kama inavosomeka hapo juu kwenye pitapita zangu za kusaka maarifa ya kidunia nimekutana na maneno hayo mawili yakionesha utofauti mkubwa.
Katika utofauti wa hayo maneno walienda mbali zaid na kuonesha yakua rich mwisho wake ni umasikini na wealth mwishowake ni good life.
Sasa nikajiuliza unaweza kua wealth bila kua rich? Wataalamu wa Economics tusaidizane kidogo asante na karibuni
Katika utofauti wa hayo maneno walienda mbali zaid na kuonesha yakua rich mwisho wake ni umasikini na wealth mwishowake ni good life.
Sasa nikajiuliza unaweza kua wealth bila kua rich? Wataalamu wa Economics tusaidizane kidogo asante na karibuni