Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Salaam JF, Katika kukua kwangu, tangu nikiwa mtoto mpaka sasa mtu mzima nimeitazama mara nyingi filamu ya Yesu "Passion of Jesus" Lakini aliyefasiri maneno katika filamu ile kwa lugha ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama walivyo waendesha vyombo vya moto huwa na majina rasmi mfano: Muendesha ndege ni Rubani Muendesha gari ni Dereva Muendesha meli ni Nahodha Je muendesha treni au garimoshi anaitwa nani?
0 Reactions
30 Replies
108K Views
Wakuu, naomba kujuzwa the best Swahili to English(and vice versa) Translation software. Google Translator haifanyi vizuri sana.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari... Yawezekana nisieleweke hapo juu kwenye heading lakini vyovyote utakavyoiweka sawa tu ilimradi utanielewa kwenye maelezo Unakuta neno la Kiingereza linakuwa na tafsiri (definition)...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nimekuwa nalitumia, kusikia sana msemo huu "CHAMTEMA KUNI" kwa muda mrefu sasa katika maisha yangu ya kila siku. Najua kuna maneno yanatumika kwa maana hiyo hiyo kama vile; kilichomtoa kanga...
2 Reactions
140 Replies
61K Views
Mama mh. SSH ameshatupatia neno jipya kusahafu (kusaafu?) ng’ombe. Kazi Ina endelea na darasa humo humo!
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimepewa taarifa na mjukuu'angu mmoja ya kwamba kuna uharibifu mkubwa sana wa lugha yetu ya kiswahili humu jamvini. Kwa hiyo nimekuja hapa kuwa adhibu wale wote wanaoharibu lugha yetu takatifu...
1 Reactions
53 Replies
19K Views
Kuna ripoti fulani nilikuwa nasoma nikakutana na neno "vifaranga" ikimaanisha samaki wachanga. Ni sawa samaki wachanga kuitwa vifaranga? Majina mengine ya watoto (vikembe) wa wanyama mbalimbali...
3 Reactions
44 Replies
291K Views
Nimekuwa nausikia sana ukitumiwa sehemu mbalimbali lakini nimeshindwa kabisa kujua maana yake na matumizi yake. "Kumkoma nyani giladi" Kumkoma na giladi huwa ina maana gani na inatumikaje?
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Paka kiwepo pahala,panya hawana pirika, Pale kakamata dola, panya wanadhoofika. Mashimoni wanalala, kero tunapumzika. Tangu paka kuondoka,panya nyumba watawala. Paka walikuwa jela,kifungo...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Mnamo mwaka 1995 hivi, palikuwa na uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi nchini Tanzania. Uchaguzi ule ulikuwa na ushindani. Nyakati hizo, runinga ndio zinaingia Tanzania-bara. Palikuwa ni...
8 Reactions
9 Replies
3K Views
Wanajamvi salam! Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Na mtoto wangu anasoma darasa la pili sasa kuna kazi wamepewa yakuandika maneno ya kiswahili yenye maana yanayo anziwa na Mwa, mwe, mwi, mwo...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania; Kwanini maneno...
3 Reactions
58 Replies
11K Views
Nasikia nimesikia kuwa kenya kuna kiswahili kuzuri, lakini mbona asilimia 80 ya ninaowasikia kuzungumza naona wanazungumza vibaya na kuandika pia. Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
0 Reactions
4 Replies
942 Views
Mtu wa karibu kaachiwa hii note, ila imeandikwa kinyakyusa, hajui kukisoma akadhani mi najua; ila mi pia sifahamu. Masaada basi kutafsili Ngutufwa lelo jo nkinde Ugwise gwa bololo Umpela fyosa...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Jamani mimi napenda sana kingereza najifunza taratibu,naomba mnaojua mnirekebishe nilipokosea na upande gani unanisumbua zaidi natuma hiki kipande hapo chini
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Leo katika kupita zangu mtandaoni nikakutana na Maswali mawili ambayo ni ~KATI YA BIBI YAKE MAMA NA MAMA YAKE BIBI NANI MKUBWA?~ ~BABA YAKO NA BABA MKWE WAKO WANAITANAJE?~
0 Reactions
1 Replies
698 Views
SIKIA Bissmillah naanza, kwa jina lake manani, Kwa maneno nakufunza, na wala sina utani, Umeshageuka funza,kutukuza ushetani. Ewe kiumbe sikia, yalo mazuri chukua. Unaliza waungwana, kwa kuupenda...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Wahenga walisema, “Ukitaka kujua njia ya mkato kula nauli,” "Usipopambana ujanani historia ya marehemu itakuwa fupi" na “Marehemu alizaliwa, akakua, akazura, akafa.”
1 Reactions
0 Replies
735 Views
Unamhitaji Ila huna shida naye Na Una shida naye Ila humhitaji
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom