Salaam JF,
Katika kukua kwangu, tangu nikiwa mtoto mpaka sasa mtu mzima nimeitazama mara nyingi filamu ya Yesu "Passion of Jesus"
Lakini aliyefasiri maneno katika filamu ile kwa lugha ya...
Kama walivyo waendesha vyombo vya moto huwa na majina rasmi mfano:
Muendesha ndege ni Rubani
Muendesha gari ni Dereva
Muendesha meli ni Nahodha
Je muendesha treni au garimoshi anaitwa nani?
Habari...
Yawezekana nisieleweke hapo juu kwenye heading lakini vyovyote utakavyoiweka sawa tu ilimradi utanielewa kwenye maelezo
Unakuta neno la Kiingereza linakuwa na tafsiri (definition)...
Nimekuwa nalitumia, kusikia sana msemo huu "CHAMTEMA KUNI" kwa muda mrefu sasa katika maisha yangu ya kila siku. Najua kuna maneno yanatumika kwa maana hiyo hiyo kama vile; kilichomtoa kanga...
Nimepewa taarifa na mjukuu'angu mmoja ya kwamba kuna uharibifu mkubwa sana wa lugha yetu ya kiswahili humu jamvini. Kwa hiyo nimekuja hapa kuwa adhibu wale wote wanaoharibu lugha yetu takatifu...
Kuna ripoti fulani nilikuwa nasoma nikakutana na neno "vifaranga" ikimaanisha samaki wachanga. Ni sawa samaki wachanga kuitwa vifaranga?
Majina mengine ya watoto (vikembe) wa wanyama mbalimbali...
Nimekuwa nausikia sana ukitumiwa sehemu mbalimbali lakini nimeshindwa kabisa kujua maana yake na matumizi yake.
"Kumkoma nyani giladi"
Kumkoma na giladi huwa ina maana gani na inatumikaje?
Mnamo mwaka 1995 hivi, palikuwa na uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi nchini Tanzania. Uchaguzi ule ulikuwa na ushindani. Nyakati hizo, runinga ndio zinaingia Tanzania-bara. Palikuwa ni...
Wanajamvi salam!
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Na mtoto wangu anasoma darasa la pili sasa kuna kazi wamepewa yakuandika maneno ya kiswahili yenye maana yanayo anziwa na Mwa, mwe, mwi, mwo...
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania;
Kwanini maneno...
Nasikia nimesikia kuwa kenya kuna kiswahili kuzuri, lakini mbona asilimia 80 ya ninaowasikia kuzungumza naona wanazungumza vibaya na kuandika pia.
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Mtu wa karibu kaachiwa hii note, ila imeandikwa kinyakyusa, hajui kukisoma akadhani mi najua; ila mi pia sifahamu.
Masaada basi kutafsili
Ngutufwa lelo jo nkinde
Ugwise gwa bololo
Umpela fyosa...
Jamani mimi napenda sana kingereza najifunza taratibu,naomba mnaojua mnirekebishe nilipokosea na upande gani unanisumbua zaidi natuma hiki kipande hapo chini
Leo katika kupita zangu mtandaoni nikakutana na Maswali mawili ambayo ni
~KATI YA BIBI YAKE MAMA NA MAMA YAKE BIBI NANI MKUBWA?~
~BABA YAKO NA BABA MKWE WAKO WANAITANAJE?~
SIKIA
Bissmillah naanza, kwa jina lake manani,
Kwa maneno nakufunza, na wala sina utani,
Umeshageuka funza,kutukuza ushetani.
Ewe kiumbe sikia, yalo mazuri chukua.
Unaliza waungwana, kwa kuupenda...
Wahenga walisema, “Ukitaka kujua njia ya mkato kula nauli,” "Usipopambana ujanani historia ya marehemu itakuwa fupi" na “Marehemu alizaliwa, akakua, akazura, akafa.”
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.